google

  1. fungi06

    Mwenye PC iliyovunjika screen please msaada was picha, isiwe imetolewa google please

    Wakuu kama ilivyokuwa kichwa Cha ujumbe hapo juu. Niko under pressure ninatakiwa nifanye presentation kesho mchana na ninajiona kwa kila namna sijakamilisha some infos. Please msaada wenu wanajamvi...picha ya PC iliyovunjika kioo. I hope msaada nitaupata please sio za google nitadakwa.
  2. Y

    Phone4Sale Google pixel 4a on sale

    Habari wadau. Ninauza Google pixel 4a. Good condition ✅ 🛜 5g 🗄️Gb 128. 🔋Inakaa sana na charge 📷 Kamera kali 🔥 Location: Dar es salaam. Mbezi juu (kwa sanya) , Goba Road Price; 280,000/=
  3. G

    Natafuta anayeuza Google-Play Console nifanye naye biashara

    Je ? Una google play console account. 1. Nanunua google play console angalau kuanzia mwaka 1 na kuendelea(chini ya mwaka tutazungumza). 2. Nanunua google play console yenye live app kuanzia 1 na zaidi,keystore&password na source code. 3. Nanunua google play console yenye live app bila keystore...
  4. Mr Why

    Vijana wenzangu msipoteze muda wenu kusubiri hela za Google, Facebook na TikTok kwasababu ni hela za chai, mtachelewa kufanikiwa

    Vijana wenzangu, maendeleo makubwa mnayoyaona hapa Tanzania ikiwemo biashara kubwa, majumba makubwa na magari ya kifahari hayajapatikana kwa hela za mitandaoni Bali maendeleo haya yalipatikana kwa kufanya kazi kwa bidii kubwa ndipo mafanikio haya yakapatikana Nyumba mnazoziona Salasala, Mbezi...
  5. African businesses

    Msaada wadau simu yangu inasumbua google pixel

    Jamani naombeni mwenye ujuzi na hizi simu za google pixel anisaidie, in short nina google pixel 5g a hii ilikua poa tu lakini ikaanza kuna wakati naichaji inaniandikia hili neno liquid debris then inaacha kuchaji nilichokua nakifanya nikuchomoa chaja na kuirudishia tena inaendelea kufanya kazi...
  6. NetFasta

    Nanunua Google play console

    Nanunua Google Play Console bei kuanzia laki 5 hadi milioni moja na laki 5 , iwe na angalau mwaka mmoja, na app hata moja ndani, No: 0718474600
  7. Vien

    Naomba Ushauri: Nataka kununua Google pixel 8 pro

    Habari Wakuu, Nimeshawishika sana kuichukua Google pixel 8 pro mpya kutokana na features zake, na Shughuli zangu nnazozifanya naona itanifaa sana, Nahofia kitu kimoja, mwaka jana nlinunua Google pixel 5a pale china plaza, iliku ni hizi refubished ,Ile simu nlikaa nayo miezi miwili tuu ghafla...
  8. bending moment

    Nanunua google play console mpaka Tsh. Milioni 1

    Habari, nanunua google play console yenye zaidi ya mwaka bei 500,000 mpka 1M. ikiwa na live apps +sourcecode& keystore itapendeza zaidi
  9. 90sgeneration

    TV4Sale Aborder Google TV 50 INCH 650K

    Pata hii tv (full box) ufurahie maisha na family, its amazing, wafanye familia na kids wafurahi zaidi ukiwa na hii. 650k only Contact now : 0697224996
  10. sisco23

    Nahitaji Google Playstore account

    Wakuu mambo vipi nahitaji google play console mwenye nayo tuwasiliane pesa ipo nichek kwa namba 0767893175
  11. Nambarapi

    Picha zimefutika kwenye locked folder la google photos. Nawezaje kuzipata?

    Habari wakuu, nilisave picha zangu kwenye locked folder la google photo, cha ajabu lile folder limefutika na halina picha hata moja. Je, kuna uwezekano wa kuzipata?
  12. Kinyungu

    Google Watangaza kujenga Mkonga wa Internet kuunganisha Africa na Australia. Tanzania haimo

    Wakuu nisiwachoshe.. habari ndiyo hiyo... Kufuatia ziara ya Ruto huko USA, Google wametangaza kujenga mkonga wa Internet toka Kenya kupitia Uganda, Rwanda, DRC, Zambia, Zimbabwe na South Africa hadi Australia huku Tanzania ikiwekwa kando. --- Today, Google announced new investments in digital...
  13. G

    Tahadhari kwa wenye vipato vya kawaida, Vioo vya simu za Google pixel ni ghali na nadra kupata mtumba, zina ustahimilivu mdogo, ikidondoka jipange

    PIXEL 3AXL 130,000 PIXEL 3XL 140,000 PIXEL 3 130,000 PIXEL 3A 120,000 PIXEL 4 4G 300,000 PIXEL 4A 5G 290,000 PIXEL 4XL 180,000 PIXEL 5 400,000 PIXEL 5A 330,000 PIXEL 6 230,000 PIXEL 6A 300,000 PIXEL 6A 305,000 PIXEL 6PRO 240,000 PIXEL 7 320,000 PIXEL 7PRO 270,000 PIXEL 7PRO 230,000
  14. K

    Google pixel 4xl kuzimika ghafla

    Hivi karibuni nilinunua simu ya google pixel 4xl ambayo nimeitumia Kwa takribani miezi 5 then ilizima ghafla na ever since haijawaka tena despite kujaribu kuipeleka Kwa mafundi mbalimbali wa simu, huko nimekuta kwamba hili ni tatizo sugu Kwa hizi 4xl ,yaani ikizima ni matanga na msiba moja kwa...
  15. Kang

    Google wanaongeza teknolojia za kuwakwaza wezi wa simu kwenye Android

    Google wametangaza maboresho ya kupunguza wizi na kulinda data pale simu inapoibiwa. Baadhi zitakuja na Android 15 na baadhi zitakuja kwenye Android kuanzia 10 kwa kupitia update ya Play. Android’s theft protection features keep your device and data safe Theft Detection Lock Simu itatumia AI...
  16. Mad Max

    Kwanini YouTube Channel ya JamiiForums imedoda?

    [salam inakuaga hapa] Wakuu, nimekua nikitembelea mara nyingi tu Channel ya JF uko YouTube. Kusema kweli Mero na team yake kwa YT wanahitaji kubadirisha approach yake. Maana engagement ni ndogo sana. Ni wazi JF imejitengenezea fan base kubwa sana kwenye baadhi ya social network mfano...
  17. Mad Max

    Pixel 8a Made by Google

    #TeamPixel Google wamezindua Pixel 8a, ambayo ni cheap version ya Google Pixel 8, ikiwa na Tensor G3 chipset. Kimuonekano inafanana na Pixel 8 na 8 Pro. Ikiwa na kioo cha OLED cha 6.1 inch FHD. Nyuma camera mbili (64MP & 13MP) na mbele kuna 13MP. Camera zina uwezo wa kurecord 4K video at...
  18. CodeX

    Natafuta Google Developer Console

    Habari wakuu. Nahitaji mtu mwenye Google Developer Console niweze kununua. Nahitaji kwa Ajili ya kuendeshea blog. Napatikana 0692 76 33 06
  19. Mtu mbalimbali

    Contacts zimefutika kwenye Google account

    Habari za mei mosi wakuu Leo nimefungua simu nikakuta contacts zangu zilizokuwa kwenye email zimepungua kutoka 2000+ mpaka 12 contacts. Naomba muongozo wa namna ya kurudisha contacts hizo simu sio mpya nimekaa nayo takribani miaka miwili sasa ila hakujawahi tokea kitu kama hicho. Nawasilisha
  20. Stephano Mgendanyi

    Serikali Imeahidi Kufanya Jitihada za Kuhakikisha Mtandao wa Google Unakuwa na Tafsiri Sahihi na Sanifu kwa Lugha ya Kiswahili

    Serikali Imeahidi Kufanya Jitihada za Kuhakikisha Mtandao wa Google Unakuwa na Tafsiri Sahihi na Sanifu kwa Lugha ya Kiswahili "Lugha ya Kiswahili kwa sasa ni Lugha rasmi katika Jumuiya ya Afrika Mashariki(EAC), Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) na Umoja wa Afrika (AU). Kila tarehe...
Back
Top Bottom