Tangu kuanza kujazwa maji katika bwawa la nyerere ni takribani mwaka mmoja umepita, na maendeleo ya ujenzi wa bwawa la nyerere limefikia asilimia takribani 90. Sasa toka maji yameanza kujazwa disemba 2022 maji yameingia mengi mno, na ujazo umefikia mita takribani 160+, hawa google kwanini...
Habarini za kila mmoja mwenye kusoma uzi huu
Kama ilivyo katika kichwa cha habari hapo juu, ni kwamba inahitajika mashine(hapa mafundi simu tu ndo watanielewa zaidi nikisema mashine) ya google pixel 6. Kwa maana ya kwamba mtu anaweza kuwa na google pixel 6 yake mbovu, kwa hivyo anaweza kutupatia...
Yani google ni majasusi waliokubuhu, Sina tatizo kwa google kutunza baadhi ya taarifa zangu kama cintacts zangu lakini kuna muda wanavuka mipaka kuchungulia hata visivyowahusu.
Google chrome ukiitumia historia yako ya kila kitu ulichosechi kitaonekana,
Google chrome inatunza passwords za...
Habari , nauza simu tajwa hapo juu ipp clean mpya ,, sifa za hizi simu picha zake zipo clean as reality...for more ni cheki 067270132...pia po moshi KCMC
price 360,000...RAM 6 GB, INT.64 GB
Habari zenu wakuu Hope mko powa kabisa. Kwanza naomba ifahamike kabisa kwamba kuwa na UKIMWI sio mwisho wa maisha kwakua wapo watu wengi wanaoishi na ugonjwa huu lakini bado wanaendelea kuishi vizuri kwa kufuata ushauri wa madaktari.
Pia uzi huu haupo kwaajiri ya kuwanyanyapaa watu waishio na...
Jipatie Google Pixel 5 yenye 5G iliyotumika USA (Second Hand)
Warranty 6 Months
Imenyooka sana Grade A imetumika kwa upendo sana
0764081567
Free Charger
Free Cover
Free delivery in Dar es salaam
Wakuu, nimepata google adsense lakini sipati ads kwa sababu ya lugha nifanye nini ku switch toka Swahili to English?
Blog yangu ni ya Kiswahili, sasa baada wao kureview inaleta ujumbe wa kutopata ads kwa sababu ya lugha, naombeni msaada wenu.
"Your blog isn't ready to show ads and needs...
Watanzania tuna safari ndefu sana kufikia maendeleo ya fikra; majaji waliohusika katika hukumu hii wamefanya mambo mepesi kuwa magumu. Wameandika maamuzi yaliyojaa maneno ya kiingereza magumu bila hata sababu ya msingi.
Nikisoma hii hukumu nabaini hata maneno baadhi yaliyoandikwa wao wenyewe...
Kwa wale wapenzi wa hizi Smart watch, Samsung na Google hawana mpinzani. Designing zao ni za sayari nyingine kabisa.
Binafsi navutiwa sana na hizi Smart watch za Android hasa kutoka Google na Samsung.
Apple nadhani kitu kinaitwa designing sio kipaumbele chake.
Huyu ndio CEO wa Google na alphabet Inc. Ni mtu mwenye asili ya kihindi na marekani, alizaliwa June, 10, 1972 huko Tamir Nadu India, alipata shahada yake ya Kwanza Katika chuo cha Stanford university na baadae akaongeza elimu yake katika master ya maswala ya biashara chuo cha pessylvania...
Naomba kujua kwa watumiaji wa Google pixel 7 pro,pamoja na wadau wenye uelewa wa hii simu. Je, nawezaje kuitambua kama ni simu original?
Je Kuna test ambazo naweza kuzifanya kutofautisha copy na original
Nikiwa dukani kwangu napitia mahesabu ya mapato na matumizi ya wiki iliyopita, akaja mteja anataka madawa fulani, madawa hayo ni slow moving items hivyo huwa yanakaa store, hayapangwi dukani.
Basi nikaona si mbaya huyo mteja akiwa anahudumiwa (akisubiri dawa zake) aje ofisini kwangu anywe walau...
Bidhaa zote za kielectronic Simu, Pc, Tablet, Sabufa, Tv na Fridge vinapatikana kwa bei rahisi sana, simu zetu zipo used from Dubai na Full boxed mpya kabisa tunauza Iphone, Samsung, Google pixel, Sony, Oppo na Infinix warranty ni uhakika Tv pia zipo Hisense, Samsung ukubwa tofauti tofauti...
Imeripotiwa kuwa Samsung wana mpango wa kuanza kutumia Bing ya Microsoft kama default search engine.
Taarifa zinasema kutokana na kuongezeka kwa matumizi ya AI ambapo ChatGPT iliyo chini ya Microsoft kuonekana kuwavutia wengi imefanya Samsung wafikirie kutumia Bing kama default search engine...