gospel

Gospel originally meant the Christian message, but in the 2nd century it came to be used also for the books in which the message was set out; in this sense a gospel can be defined as a loose-knit, episodic narrative of the words and deeds of Jesus of Nazareth, culminating in his trial and death and concluding with various reports of his post-resurrection appearances.The four canonical gospels of Matthew, Mark, Luke and John share the same basic outline: Jesus begins his public ministry in conjunction with that of John the Baptist, calls disciples, teaches and heals and confronts the Pharisees, dies on the cross, and is raised from the dead. Each has its own distinctive understanding of Jesus and his divine role: Mark never calls him "God", Luke expands on Mark while eliminating some passages entirely, but still follows his plot more faithfully than does Matthew, and John, the most overtly theological, is the first to make Christological judgements outside the context of the narrative of Jesus's life. They contain details which are irreconcilable, and attempts to harmonize them would be disruptive to their distinct theological messages. They were probably written between AD 66 and 110. All four were anonymous (the modern names were added in the 2nd century), almost certainly none were by eyewitnesses, and all are the end-products of long oral and written transmission. Mark was the first to be written, using a variety of sources; the authors of Matthew and Luke, acting independently, used Mark for their narrative of Jesus's career, supplementing it with the collection of sayings called the Q document and additional material unique to each; and there is a near-consensus that John had its origins as a "signs" source (or gospel) that circulated within a Johannine community. The contradictions and discrepancies between the first three and John make it impossible to accept both traditions as equally reliable. Modern scholars are cautious of relying on the gospels uncritically, but nevertheless they do provide a good idea of the public career of Jesus, and critical study can attempt to distinguish the original ideas of Jesus from those of the later authors.Many non-canonical gospels were also written, all later than the four canonical gospels, and like them advocating the particular theological views of their various authors. Important examples include the Gospel of Thomas, the Gospel of Peter, the Gospel of Judas, the Gospel of Mary, infancy gospels such as the Gospel of James (the first to introduce the perpetual virginity of Mary), and gospel harmonies such as the Diatessaron.

View More On Wikipedia.org
  1. Metronidazole 400mg

    Hivi Nini kinapelekea walevi ( wakishalewa ) kulia, hasa zikipigwa nyimbo za gospel

    Nimekutana na scenarios tatu za namna hii kwenye mikoa tofauti. Mara nyingi inatokeo Ile mida mibovu yaani saa7 usiku kuendelea watu washachangamka, nashindwa kuelewa Nini Huwa inapelekea hii hali kutoka Nishashuhudia mkoa Fulani huko Kanda ya ziwa, Dj alipiga nyimbo za gospel bar mzima watu...
  2. A

    Je, Naweza Kuwa Muimbaji Mzuri Wa GOSPEL Nikiwa Na Usikivu Hafifu !?

    Habari Ndugu Zangu, Kwanza Nianze Kwa Kuwashukuru Wote Mlionipatia Ushauri Wakati Napitia Hali Ngumu, Hakika Jamii Forums Kuna Watu Wema Sana. MUNGU Awabariki 🙏 Uamuzi Niliouchukua Ni Kwenda Chuo, Hivyo kwasasa Nasoma Diploma in Primary Education Katika Mtaala Mpya huu wa Elimu Na Inshallah...
  3. Oscar Wissa

    What is the meaning of Gospel?

    The meaning of Gospel is Jesus plus nothing equals everything. John 19:30
  4. masai dada

    Nyimbo zangu za kusogeza weekend

    Zangu hizi hapa za leo nasongesha nazo weekend
  5. Damaso

    Upi wimbo bora wa Gospel kwa kati ya hizi nne?

    Ni muda sasa tumepata kuona mabadiliko makubwa sana kwenye nyimbo za dini (gospel) haswa katika upande wa lugha ya kiswahili, Kuna kwaya kadhaa zimepata kuondoka na upepo mkubwa sana ndani ya jamii, Zabron Singer, Shangwe Voices, Agape Gospel Band, pamoja na The Survivors Gospel Choir...
  6. T

    Harris Kapiga na waimba gospel

    Harris Kapiga Nimeona Clouds TV ni kitu kama Haris kapiga anaagwa kistaafu kufanya kipindi Cha gospel pale Clouds TV. Nadhani amepandishwa cheo, kuna na wasanii mbalimbali wa injili wamealikwa akiwemo Christina shusho Na kina Angel Benard. Kila msanii anapanda jukwaani na kumpa mauwa yake...
  7. TODAYS

    Vijana tafuteni pesa: Mshua anapiga Gospel, akitoka Madhabahuni anaingia kutrade

    Niandike nini hapa, zaidi ya kukutaka utafute pesa kwa njia zote isipokuwa kuvunja kanuni za maisha?.
  8. M

    Naombeni mnitajie kwaya zinazotamba kwa sasa

    Kwa upande Wangu this list is my favourite Kwa nyimbo zilizotoka recently Judikay - Man of Galilee Israel Mbonyi - Malengo. Israel Mbonyi - sikiliza. Israel Mbonyi - amenisamehe. AIC chang'ombe choir - elohim Moses Bliss - You are great Mercy Vhinwo - You do this one.
  9. MKATA KIU

    Ndoa imekuwa Transactional, Muimba Gospel maarufu Nigeria Moses Blis alalamikiwa na wanawake kwa kumchumbia binti mambo safi na kuwaacha wa kanisani

    habari wadau. baada ya muimbaji wa gospel maarufu nchini Nigeria Moses Bliss kumchumbia Binti wa kighana mwenye uraia wa uingereza ambaye amejuana nae kupitia mtandao wa instagram mwaka jana. Limeibuka kundi kubwa la wanawake wa ki nigeria mtandaoni wakimlalamikia muimbaji huyo kwa...
  10. musicarlito

    Naomba kuwajua Hawa walioimba Gospel track hizi

    Naomba kujua Hawa walioimba hizi nyimbo ni Nani...najua tuu melody zao nime attach nikiwajua ntashukuru
  11. S

    Wajue waimba gospel wa kike ambao wamevunja ndoa zao baada ya kuwa maarufu

    Tulitarajia waimabji wa gospel waishi maisha ya kumpendeza Mungu (maisha ya kiuokovu). Lkn cha ajabu ni wahuni kama wahuni wengine tu. Gospel ni kichaka tu cha kufichia hulka zao za kiuasherati. Wafuatao ni baadhi ya waibaji wa gospel wa kike waliovunja ndoa zao baada ya kupata umaarufu:- 1...
  12. Niache Nteseke

    Naomba Jina la Huu Wimbo wa Gospel Please.

    Salaam/Shalom...!
  13. sky soldier

    Kucheza Makanisani na gospel: Ndombolo na viduku tushavichoka tuhamie kwenye mauno, Inaruhusiwa na wala sio kosa kwa kanisa

    Kucheza tutakavyo ni ruhusa, Ruhusa hii tumepewa kwa kanisa kubariki tukio la Mfalme Daudi alipocheza mpaka nguo zikamdondoka. Tuwe huru, Ukichukia mapendekezo haya labda uwe msabato, hakuna kucheza ni kusimama tu
  14. Mhaya

    Kwanini waimbaji wa Injili wa kike hapa Bongo hawadumu kwenye ndoa?

    Ukitizama waimbaji wa injili wengi wa kike mfano kina Beatrice Mhone, Bahati Bukuku, Angel Bernard, kina Christina Shusho, kina Flora Mbasha na wengineo wamekuwa katika wimbi la kuolewa na kuachika. Huku sisi wafuasi wao ambao tunawaona kama Role Modal wakituacha solemba tukiduwaa. Waimba...
  15. USSR

    Rose Muhando: Ruge alinuia na kujiapiza kuuwa vipaji vya wakongwe wa gospel ili aweke wake

    Star wa music wa injili afrika mashariki na Kati Rose Muhando amefanya mahojiano na Rabbi TV ya nabii Malisa wa mwanza na kusema marehemu Ruge alimtamkia kuwa wakongwe mlinga nitawanyoosha kwa kuibua vijana wapya mbele ya wasanii wakongwe wote walipokataa kupiga kazi kwenye tamasha la kidunia la...
  16. sky soldier

    Ukiachana na elimu, Wanyakyusa wa Mbeya wapewe taji lao kwenye kutoa wachungaji na waimba gospel maarufu nchini

    Ukiachana na wao kushika namba moja katika elimu kwa mikoa yote ya kusini (Rukwa, Songwe, Mbeya, Iringa, Njombe, Ruvuma, Lindi na Mtwara) huku kwenye gospel wametikisa vilivyo si kwa mikoa ya kusini tu bali ni nchi nzima. Wachungaji na waimba gospeli wapo utitiri sana lakini hawa ni baadhi yao...
  17. Nyuki Mdogo

    Tutafika mbinguni tumechoka sana. Huyu nae ni muimbaji wa Gospel huko Kenya

    Anaitwa Nica the queen Dhambi mpya zimeanza baada ya Bwana Yesu kusulubiwa msalabani
  18. Mimi Ni Mtu Wa Mungu

    Nimezoea Reggae na Hip Hop leo nimeiongeza Gospel kwenye orodha yangu

    Jioni baada ya kutoka mihangaikoni nimekaa geto, nikitafakari siku yangu imeendaje. Wakati huo wa kutafakari huwa napenda kusikiliza muziki na miziki yangu mara nyingi ni Hip Hop na Reggae ila leo nikaamua nisikilize Gospel. Dah, siku yangu imeisha vizuri mnoo. Hawa wamehusika kuniburudisha...
  19. Zabron Hamis

    Siku hizi gospel songs hazina tofauti na bongo flavor

    Nimetulia mbele ya kioo cha TV nikasema leo nisikilize nyimbo za injili ili kuiandaa ibada ya jumapili. Kama mnavyojua walevi na wapenda starehe huanza kujiandaa siku ya ijumaa hivyo nami nikasema sio vibaya nikafanya kwa upande wangu. Sina tatizo na ulevi ama starehe ya mtu, ni mfano tu...
  20. John Haramba

    Fid Q aelezea sababu ya Muziki wa Gospel kuondolewa kwenye tuzo

    Akiwa katika Kofia ya Katibu Mkuu wa Shirikisho la Muziki Tanzania, Fid Q ametolea ufafanuzi suala la kutokuwepo Vipengele vya muziki wa Injini katika Tuzo za Muziki Tanzania TMA akieleza sababu kuu mbili! 1. Aina ya Wadhamini na bidhaa zao ambazo pengine hazifungamani na itikadi za kidini...
Back
Top Bottom