hadithi

  1. Lycaon pictus

    Hadithi fupi sana

    Siku moja mbwa mwitu alipita karibu na hema la wachungaji. Hapo aliwaona wakila nyama ya kondoo. Akawaambia: "Siyo kelele hizo, iwapo mimi ndiyo ningekuwa nafanya hivyo."
  2. mahunduhamza

    Hadithi za zamani

    Imesimuliwa na Zubeda Abdalla Omar Alitokea Chanjagaa akajenga nyumba akakaa, mwanangu Mwanasiti kijino kama chikichi, cha kujengea vikuta na vilango vya kupita. Hapo zamani za kale alikuwepo bwana mmoja, aliekuwa na wake watatu mmoja alikuwa mwizi. Yule bwana alikuwa anafuga mbuzi, siku moja...
  3. Lycaon pictus

    Hadithi: Robinson Kruso na kisiwa chake

    Hadithi hii ni tafsiri ya kitabu Robinson Crusoe, iliyoandikwa mwaka 1719 na muandishi muingereza, Daniel Defoe, miaka ya sitini ilitafsiriwa kwa kiswahili. Nitaiweka hapa yote, pia unaweza kuisoma bure ndani ya app ya maktaba(by pictuss) iliyopo playstore. Ni nzuri kuisoma kujikumbusha zamani...
  4. Lycaon pictus

    Unazikumbuka hizi hadithi?

    Utii wa Roda Mama yumo nyumbani, anapika chakula chetu. Roda yuko nje, anacheza na wenzi wake. Sasa mama anamwita Roda aje kumsaidia. — Roda, njoo hapa. — Ndiyo mama. Lakini haji. Anacheza na wenzi wake. Mama ana- mwita tena : — Roda, njoo ; ukapasue kuni. — Ndiyo mama, nakuja sasa hivi...
  5. Yoda

    Story gani katika kitabu cha dini yako unafikiri ni hadithi ya ngano tu?

    Ngano ni hadithi fupi inayosimuliwa kwa kusudi la burudani na pia mafundisho. Ni mambo ambayo hayajawahi kutokea kuhalisia. Ukitafakari kwa kina utagundua sehemu kubwa ya dini nyingi zimejengwa katika msingi huu. Story gani ujawahi kuiamini kama ni ya kweli na halisi katika kitabu cha dini yako?
  6. Mohamed Said

    Kisa cha ''magaidi'' wawili: Sheikh Ramadhani Rajab Chambuso na Sheikh Ahmada Kidege

    KISA CHA ''MAGAIDI'' WAWILI: SHEIKH RAMADHANI RAJAB CHAMBUSO NA SHEIKH AHMADA KIDEGE ''Akauliza muulizaji katika kuwahoji kwa shutuma za ugaidi ni nani anawalipa kwa kazi hiyo ya kusomesha Qur'an. Jibu likatoka kuwa hakuna anaewalipa ila wanaifanya kazi hiyo ili Allah awaridhie na kesho kiama...
  7. Mlenge

    Kizimbani Sura ya 1: Kukamatwa - Mazungumzo na Bibi Gurubaki - Kisha Bi Basitena

    .
  8. L

    Hadithi ya Lwanda Magere katika kipindi cha Sinto sahau kinachorushwa na Redio Free Africa

    Wanabodi. Radio Free Africa wanarusha kipindi cha sito sahau kila Jumapili saa nne na kuendelea. Sasa hivi kuna hadithi ya jamaa anaye jiita Lwanda Magere! nimesikiliza hadithi yake kwa baadhi ya episode zake! Jamaa kiukweli kwa maneno yake mwenyewe, anakiri kuua watu wengi sana hasa kupitia...
  9. Bujibuji Simba Nyamaume

    Pata hadithi mbalimbali za zamani hapa

    Hii ni thread maalum ya kukuunganisha na mastory mbalimbali ya zamani, nyingi zikiwa ni zile tulisimuliwa na Deborah Mwenda akisaidiwa na Eddah Sanga kwenye kipindi cha Mama na mwana, Radio Tanzania Dar es Salaam. Zifuatazo ni hadithi ntakazozileta wiki hii, wiki ya uhasishaji wa usomaji wa...
  10. Leslie Mbena

    Hayati Magufuli tayari ameandika hadithi yake, si jambo rahisi kuifuta

    HAYATI RAIS JOHN MAGUFULI TAYARI AMEANDIKA HADITHI YAKE,SI JAMBO RAHISI KUIFUTA. Leo 11:45hrs 11/04/2021 Mzee wetu Mzee Ally Hassan Mwinyi,alisema "Maisha ni hadithi tu"ewe mwanadamu kuwa hadithi nzuri,Hayati John Pombe Magufuli yeye tayari ameshaandika hadithi yake si jambo rahisi kuifuta...
  11. Chachasteven

    Weka wazo au kisa ambacho ungependa kiandikwe kama Riwaya au hadithi fupi?

    Habari, wapendwa. Uandishi wa riwaya na simulizi ni kazi ngumu na nyepesi kwa wakati mmoja! Ngumu kama mwandishi anatazamwaa na rundo la karatasi nyeupe huku akiwa na kalamu bila uhakika anaanzia wapi. Uandishi pia ni mwepesi kama mwandishi ana 'sense' ya angalau pointi A, B na C kabla...
  12. WISDOM SEEDS

    Hadithi ya kusisimua - Turufu ya Mwiaho

    TURUFU YA MWISHO Aliporejea Tanzania baada ya kuwa nje kwa miaka saba, alikuwa na matumaini makubwa ya kumkuta mdogo wake Celine akiendelea vyema na masomo. Hakuamini baada ya kugundua alichofanyiwa Celine ambacho kilimuweka katika hatari ya kifo. Licha ya kupambana kumwokoa, akajikuta katikati...
  13. T

    Uchaguzi 2020 Tundu Lissu: Katika miaka hii mitano kila Mtanzania awe ni tajiri au maskini ana hadithi yake ya maumivu

    Wapwa Akiwa hapa Ifakara kwenye kampeni zake, Lissu anaendelea kutema cheche Anasema kila Mtanzania ana hadithi yake ya maumivu. Ameomba kura kutoka vyama vyote na kuahidi mambo mengi ikiwemo kufuta machozi mengi ya wana Ifakara na Tanzania nzima. Je wewe hadithi yako ni ipi.? Haki huinua Taifa.
  14. R

    Kuruka kwa ungo ni kweli au hadithi za mtaani?

    Wakuu natumaini hamjambo. Naomba mwenye kujua hili suala la watu wanaoruka kwa ungo ni la kweli au ni hadithi za kufikirika tu? Kuna mtu alishawahi kushudia hili na kuchukua ushahidi wa video hapa kwetu Tanzania. Ni jambo linanitatiza ninaposikia hizi hadithi. How do they defy gravity with...
  15. mangonifera indica

    Hadithi za Alfu Lela Ulela

    HADITHI ZA ALIF LELA U LELA HADITHI YA ALADINI NA TAA YA MSHUMAA WA AJABU Hapo zamani katika nchi moja kulikuwepo na mshona nguo yaani fundi cherahani. Fundi huyu alifahamika kwa jina la Mustapha. Mustapha alikuwa na umri 17 toka aanze kati ya kushona. Amekuwa ni fundi maarufu na mwenye...
  16. M

    Kidela: Hadithi Fupi

    STORI ZA KUPIGA RAMLI! Mtunzi: Muddyb Mwanaharakati Mawasiliano: 0713538427 ANGALIZO: Atakayekwazika, naomba ani-inbox. I will have the post deleted immediately! Kingine si kama stori ndivyo hali halisi ilivyokuwa. La hasha. Ni katika harakati za kusogeza siku zetu za kuishi tu. Tuendelee...
  17. M

    Zarimobetto: Hadithi Fupi

    Kimekuja na meli. Tuheshimiane! Asubuhi na mapema, hata hali-mseto haijatokea, simu mkononi kumpigia asiyempigia tangu kuzaliwa. Namba kaipata wapi, ngumu kusema kwa mtu mwenye nia na jambo fulani. Tuuuuuuuuuup! Mwito wa kwanza, hola! Wa pili, holaaaa! Hatimaye ikapokelewa! "Hello, Zari!"...
  18. Dampa

    Simulizi: Shanga za Bibi zilivyonipa umaarufu

    Mimi si mpenzi sana wa hadithi ila hii nimeipenda nimeamua kushare na nyie ndugu zangu wa JF hasa wapenda stori za machombezo drama n stuffs like that tuwemo. ======= Simulizi ya kweli: SHANGA ZA BIBI ZILIVYONIPA UMAARUFU!!! Msimuliaji: KIDAWA Mwandishi: Jack Mambo Umri: 18+ Sehemu ya 1...
  19. Kanungila Karim

    Hadithi: Happy at Last (Furaha Hatimaye)

    HAPPY AT LAST (FURAHA HATIMAYE) Eric Shigongo “Umeolewa?” “Ndio!” “Mume wako yuko wapi?” “Dar es Salaam!” “Sijawahi kumwona hata mara moja akija hapa hospitali!” “Ana kazi nyingi sana ofisini kwake, hata hivyo huwa anajitahidi kufika anapopata nafasi!” Maneno hayo yalitoka mdomoni mwa mwanamke...
  20. Kidagaa kimemwozea

    Hadithi: Bila Passport Mtoto Hataingia Nchini

    Alfajiri ya tarehe 1, tulikuwa tumepanga safari ya kwenda nje ya nchi mimi na mke wangu, maandalizi yote ya safari yalikamilika vizuri na tulitarajia kusafiri pamoja na mtoto wetu kipenzi. Tulikuwa tumepanga kwenda nchini Ugiriki katika mji wa Thessaloniki kwaajili ya mapumziko kupisha vuguvugu...
Back
Top Bottom