hadithi

  1. THE SPIRIT THINKER

    Riwaya na hadithi za John Wisse zote mpya utazipata hapa

    UZI HUU NI MAALUM KWA AJIRI YA KUSOMA NA KUPATA RIWAYA ZA JOHN WISSE. UKIHITAJI KITABU CHOCHOTE UTAKIPATA KWA KUULIZA HAPA NAWE UTAJIBIWA HARAKA NA KUPATA KILE UNAKIHITAJI.
  2. Jumanne Mwita

    Maisha yangu ni chaguo langu, maisha yangu yamekuwa ni hadithi ya kusimulia. Kila baada ya mwaka mpya. Heri ya siku yangu ya kuzaliwa

    Habari za leo rafiki naitwa Jumanne Mwita, Leo ni tarehe 06/06/2022 Kila ifikapo siku yangu ya kuzaliwa, huwa naandika moja ya makala kwa ajili yangu, kwa sasa nimetimiza miaka kadhaa ambayo kwangu mimi ni miaka mingi kidogo sihaba hapa nilipofikia pia namshukuru Mungu niko hai bado. Miaka hii...
  3. Kichwamoto

    Wanawake Mabonge zaidi ya ubonge wenyewe hawavibe lolote. Sana sana ukubwa wa hekaya la hadith.i

    Vibonge ziii! Hawa vibonge kisa vibration na miujazo wanajibutua huko road ila wakiingia parking hawana vibe Lolote. Namliza mtu weekend hii anakula mlenda hadi kero uvinza kajaa uji kila dakika chumvini huwezi kuzama na ukaibuka. Tuwe makini wala mlenda wana makusudi. Naendelea...
  4. Akaliza

    Simulizi: Nusu ya Uhai

    Simulizi: Nusu Ya Uhai Mwandishi: Akaliza Tuanze. 2017, KASANGA-KIGOMA. Majira ya usiku shughuli za uvuvi zilikuwa zikiendelea kama kawaida, boti nyingi na mitumbwi zilikuwa na idadi kubwa ya wavuvi waliokuwa wakielekea katika sehemu ambako waliamini kungelikuwa na samaki. Sehemu ya Kasanga...
  5. K

    Mtoto wa Kambo(Part 1)

    Dina (sio jina halisi) ni mama wa watoto 3 ambao wote kwa sasa wanafanya shughuli zao na wako vizuri. Wakati anaolewa alimkuta mumewe na watoto wawili. Katika malezi aliwalea wote kwa usawa bila kubagua na watoto wakawa wanapendana sana, igawa wote kwa sasa ni watu wazima wanajitegemea lakini...
  6. Lycaon pictus

    Hadithi: Ndoto ya Alinacha

    Pia unaweza kuisoma hadithi hii na nyingine nyingi bure ndani ya maktaba app(by pictus). install toka playstore. KISA CHA NDUGUYE KINYOZI WA TANO MIMI ni Kinyozi na nina ndugu sita. Hiki ni kisa cha ndugu yangu wa tano, Alnacha. Katika siku alizokuwa hai baba yetu, Alnacha alikuwa mvivu sana...
  7. Crocodiletooth

    Tuchangamshe jukwaa kidogo,kwa hadithi za kichawi

    Endapo upo ndani ya chumba au nyumba yako,nyakati za usiku ukawa unahisi maluwe luwe as if kuna mtu kaingia ndani but you don't see anything lakini timbwili zinazidi Fanya hivi kesho yake,japo ni hatari sana endapo muhusika atakuwa ni ndg yako - Fagia chumba vizuri sana kila pembe kusanya taka...
  8. Chachasteven

    Hadithi: Tabia

    JINA: Tabia. MWANDISHI: Chiamaro Mokiri. Umri wake ulikuwa ni miaka 19. Alikuwa hazidi hapo. Labda kama ni chini ya hapo. Na kama ingelikuwa ni kampuni ya bima, basi wangempatia miaka mingine 60 ya kuishi. Ila mimi nilikadiria labda masaa 36, au dakika 36 ndizo alikuwa nazo kama mambo...
  9. S

    Natafuta mtu wa kunitengezea hadithi fupi

    Natafuta mtu wa kutunga hadithi fupi fupi kwa ajili ya watoto. Ni hadithi ya maneno 1000 hadi 2000. Kwa wenye huo ujuzi anicheki PM tufanye maelewano.
  10. Chachasteven

    Hadithi: A Confession of a Madman

    Tittle: A confession of a mad man Author: DIZASTA VINA Jina lake silikumbuki kwa sababu sikumuuliza anaitwa nani. Lakini kwa sasa hivi nikitafakari, ninaweza kumbatiza jina la Malaika. Ndiyo! Malaika kwa sababu ya mionekano yake. Lazima nikiri nimeona wanawake wengi warembo wa kila rangi na...
  11. Richard

    Ujerumani kuwa na Serikali mseto, vyama vyote yakubaliana Scholz kuwa Kansela, Tanzania bado hizi ni hadithi miaka 60 yaenda ya uhuru

    Chemba ndogo ya bunge au "Lower House" ya Ujerumani imepitisha kwa pamoja uamuzi wa kumfanya bwana Olaf Scholz kuwa Kansela mpya wa Ujerumani. Vyama vya SPD cha Scholz, Green na FDP kwa pamoja leo asubuhi hii vimemuidhinisha bwana Olaf Scholz kuwa kansela mpya na kuondpoa uhafidhina wa chama...
  12. Robert Heriel Mtibeli

    Sikukukataa mwanangu; Umasikini ulifanya mama yako anikimbie

    SIKUKUKATAA MWANANGU; UMASIKINI ULIFANYA MAMA YAKO ANIKIMBIE. Kwa Mkono wa, ROBERT HERIEL. © maandishi ya Robert Heriel Kwa lugha ya Kiswahili. Taikon wa Fasihi Anawasilisha "Sasa nimebaki Peke yangu, hata waliowangu hawanitaki, sio wangu tena, ingawaje ni Mali yangu kiasili lakini dunia...
  13. Lycaon pictus

    Hadithi: Lulu

    Haditi hii ni tafsiri ya hadithi inayoitwa The Pearl iliyoandikwa na John Steinbeck. Unaweza kusoma hadithi hii na nyingine nyingi kwenye app yetu. huu uzi una maelezo zaidi. https://www.jamiiforums.com/threads/jisomee-vitabu-vya-kiswahili-bure-ndani-ya-app-hii.1887408/ LULU Sura ya Kwanza...
  14. adden

    Title gani ya kitabu, novel au hadithi linayokuvutia sana?

    Habari za wikiendi.. Kama nilivyouliza hapo juu ni jina lipi la hadithi,kitabu au novel huwa linakuvutia sana au unalipenda. Mimi napenda sana Why men love bitches. Manipulated man. Tutarudi na roho zetu. Tai kwenye mzoga. Zubaa uzikwe. Ongezea na zako zingine
  15. Kasomi

    YouTube Yaja na YouTube story/status

    Mtandao wa YouTube unao milikiwa na Google waja na YouTube story. Youtube story ni kipengele cha kumruhusu mtumiaji wa YouTube mwenye account yaani youtuber kuweka hadithi kama ilivyo mitandao mbalimbali ya kijamii mfano Facebook na Instagram wao pia wanatumia Facebook story au instagram story...
  16. Superbug

    Hadithi: Utamu wa kutokujipanga Polisewa atapigwa na Jeiwewatezada

    Hii hadithi ni tamu na ya mapenzi. Kuna mtu mjinga anaitwa Polisewa na mwingine anaitwa Jeiwewatezada. Wote ni wenye nguvu na maarifa, ila tofauti Polisewa ni mjinga na asie na misuli kumzidi Jeiwewatezada mwenye akili, weledi, mpole, mtiifu na mwenye kila aina ya nguvu. Mpaka sasa Polisewa...
  17. comte

    Hadithi ya Mkenya huyu inatupa somo kubwa-wezi waliumbwa na kuzaliwa

    An undated file image of former bank manager Ben Mwangi This is the case of one Ben Mwangi, whose story can only be visualised in a movie-style act. Once a very successful bank manager in the 1970s and having amassed wealth over years, Mwangi would later lead a life of solitude and eventually...
  18. Kitumba_

    SoC01 Maisha halisi vs maisha ya hadithi

    Naam, tuanze kwa kupeana shule kidogo. Kuna aina mbili za maisha. Maisha ya hadithi na maisha halisi. Maisha ya hadithi ndio yale uliyoambiwa na wale kipindi uko chuo wanapokuelezea jinsi kilimo cha matikiti kinavyolipa. Wanakwambia, ukiwa na milioni moja tu unalima ekari ya matikiti, ukivuna...
  19. SAYVILLE

    Hadithi za Kulwa na Doto

    Wakuu, Najaribu kuzikumbuka hadithi za Kulwa na Doto amabazo zilivuma sana miaka ya nyuma. Embu tukumbushane hizi hadithi, misingi yake, mafundisho yake, nk.
  20. Lycaon pictus

    Hadithi: Kalume-Kenge, Bibi Tarabushi etc.

    Hadithi hizi zinapatikana katika kitabu Someni kwa furaha kitabu cha kwanza. Unaweza kuzisoma na nyingine nyingi bure ndani ya Maktaba app(by pictus), Icheki playstore. Kalume-Kenge Kalume-Kenge alikataa kwenda shule, baba yake akamwambia mbwa: je, mbwa, wataka kumwuma Kalume-Kenge...
Back
Top Bottom