halima mdee

Halima James Mdee (born 18 March 1978) is a Tanzanian CHADEMA politician and Member of Parliament for Kawe constituency since 2010.

View More On Wikipedia.org
  1. Roving Journalist

    Uchaguzi 2020 Yaliyojiri upigaji kura za maoni za wagombea wa Ubunge na ujumbe wa Baraza la Wawakilishi kupitia CCM - Julai 20-21, 2020

    Haya kumeshakucha tena La mgambo likilia ujue kuna jambo. Kwa mujibu wa ratiba ya CCM, leo na kesho ni siku ya Mikutano Mikuu ya CCM ya Majimbo/Wilaya kupiga kura za maoni za wagombea wa ubunge na ujumbe wa baraza la wawakilishi Kwa Mujibu wa Mwenyekiti wa CCM, Dkt. Magufuli waliochukua...
  2. Jidu La Mabambasi

    Barabara muhimu itakayomuondoa Halima Mdee, Makonde-Baraza la Mitihani-Goba rd

    Barabara ya Makonde-Baraza la Mitihani hadi kuunga Goba rd, ni kiungo muhimu sana kwa wakazi wa Mbezi. Barabara hii ni kubwa sana na kulu Mbezi Juu kuna vigogo muhimu kama Katibu zMkuu TAMISEMI na mkuu wa TAKUKURU,ambao kwa nyadhifa zao kukaa kule ni lazima zingepata jicho la utofauti. Mbunge...
  3. DAGAA WA MWANZA

    Wanachato huyu mama Husna Amri anawafaa, ni Halima Mdee mwingine

    Nimemsikiliza huyu mama aisee anafaa kabisa kuwa mtumishi wa wananchi siyo muoga na mchumia tumbo atawafaa Wanachato.
  4. Erythrocyte

    Uchaguzi 2020 Richard Kasesela ajitosa kuutaka Ubunge wa Jimbo la Kawe

    Pamoja na Kauli ya Mwenyekiti wa CCM ya kuwataka viongozi wa kuteuliwa kuridhika na vyeo vyao , lakini taarifa za leo kutoka EA TV zinadokeza kwamba Mkuu wa Wilaya ya Iringa Ndugu Richard Kasesela ametangaza nia ya kugombea Ubunge jimbo la Kawe la Jijini Dar es Salaam. Kwa kipindi cha miaka 10...
  5. B

    Halima Mdee: Mifuko ya Jamii hoi, pensheni hatihati kulipwa

    May 22, 2020 Bungeni Dodoma Tanzania DAKIKA 17 ZA HALIMA MDEE BUNGENI LEO Mh. Halima James Mdee mbunge wa CHADEMA aichambua taarifa ya CAG aliyepita na CAG mpya ambao wote wameonesha jinsi taasisi kubwa kama Mifuko ya Jamii na National Housing kushindwa kujiendesha. Mifuko ya Jamii ipo hoi...
  6. S

    Halima Mdee: Niko imara kuliko jana

    Kaandika hivi kupitia mtandao wa twitter: Niko hewani tena, nimepata simu zangu usiku huu. Hakuna neno la Shukran ninaloweza kulisema....zaidi ya ASANTE!! kwa wema,ukarimu na upendo wenu!!! Sina cha kuwalipa. Niwahakikishie.....niko imara kuliko jana.
  7. Informer

    Dar: Halima Mdee, Bulaya, Jesca Kishoa, Meya Jacob,Henry Kilewo na wengine wafikishwa Mahakama ya Kisutu kwa tuhuma za kufanya fujo gereza la Segerea

    Meya Boniface Jacob ni mmoja kati watu 15 waliofikishwa mahakamani na Jeshi la Polisi hii leo‬. ‪Bado haijajulikana wanashtakiwa kwa kosa gani‬. Wametoka Kituo cha Polisi Stakishari ====== UPDATE: Kwenye hati ya mashtaka inaonekana kesi itakuwa washtakiwa 29. Wabunge watatu wa CHADEMA...
  8. Erythrocyte

    I wish you Hon Halima Mdee A very Happy Birthday indeed

    Pamoja na ugeni wa Corona nchini Tanzania, lakini hatutaweza kuacha kuwakumbuka na kuwatakia heri ya maisha yao Mashujaa wachache wa Taifa hili, Akiwemo Mh Halima Mdee, ambaye uwepo wake nchini Tanzania ni Makusudi maalum ya Mwenyezi Mungu. Kwa sababu ya uthubutu wake wa kuwatetea wengine na...
  9. MAFILILI

    Halima Mdee punguza ulaghai, unadanganyaje umma kuwa akaunti za benki za wabunge waliofungwa zilikuwa na kiwango chini ya Tsh. Milioni 1?

    Jana katika tukio liliofanyika makao makuu ya CHADEMA, Mheshimiwa Halima Mdoe alikaririwa akitamka serikali imezifunga akaunti zote za benki za Mwenyekiti wa CHADEMA, Mheshimiwa Mbowe kwa vile walitarajiwa yeye akiwa na ukwasi mkubwa wa pesa ataweza kulipa faini kwa wote, hivyo muafaka ni...
  10. Erythrocyte

    Segerea: Wabunge wa CHADEMA Ester Bulaya, Ester Matiko na Halima Mdee waachiwa. Wasema sasa ni saa ya ukombozi Tanzania

    Viongozi watatu; Halima Mdee (Mb), Esther Bulaya (Mb) na Esther Matiko (Mb), wametoka magereza asubuhi ya leo na watazungumza na wanahabari leo katika Ofisi za CHADEMA makao makuu Mtaa wa Ufipa, Kinondoni, jijini Dar es Salaam. Polisi wamewablock viongozi wa CHADEMA Mheshimiwa Halima Mdee...
Back
Top Bottom