halotel

Viettel Tanzania Public Limited Company, trading as Halotel,is a mobile communications company, providing voice, messaging, data and communication services in Tanzania. It is owned by Viettel Global JSC which is the state-owned Investment Company from Vietnam investing in the Telecommunications market in several countries worldwide. It has invested up to $1 Billion into the Tanzania's telecommunications market. The Company was the first company in Tanzania allowed to lay its own fiber optic cable and has placed over 18,000 km of optic fibers, providing all 26 regions of Tanzania services.The Tanzanian telecom market is one of the most competitive markets in Africa and Tanzania has over 71% mobile phone penetration. The company aims to capitalize on the providing a very wide coverage as quickly as possible and the company claims to cover over 81% of the country's area soon to be the higher than any of the major providers.

View More On Wikipedia.org
  1. Kasomi

    Kuripoti utapeli Halotel

    Mtandao wa simu wa Halotel umekuja na njia rahisi ili kuripoti utapeli. Piga *148*90# kisha chagua lugha. Baada ya lugha chagua tena njia moja wapo Baada ya hapo ingiza namba ya tapeli Mfano 062xxxxxxx kisha tuma.
  2. Viol

    Kuweni makini na Halotel, wamekuwa na huduma mbovu kwenye Halopesa

    Sijui ni kwangu tu leo siku kama ya nne halotel wamekuwa na huduma mbovu kwenye Halopesa. Naona kuna baadhi ya watu pia wanalalamika, unaweza kufanya muamala au kulipia bill halafu hawaleti msg za muamala na hela inachukuliwa. Ukipiga hawapokei wanakuweka kinanda hadi simu inajikata.
  3. The MoNA

    Halotel hamuwezi kufidia hasara (kama mmepata) kwa mtindo huu

    Ndugu wana Jamuhuri ya Muungano, Kwa mnaotumia halotel limewakuta hili? Wiki iliyopita mpaka hii tuliyopo kuna uhuni halotel wanaufanya. Unajiunga GB 1 ndani ya dakika 30-60 unapata na huu ujumbe; Mpendwa mteja! Umemaliza kifurushi chako cha intaneti. Kuendelea kutumia intaneti jiunge tena...
  4. Mtu Asiyejulikana

    Kwa hili wazo Vodacom,Tigo,Airtel na Halotel Mnasemaje? Tufaidike sote

    Wadau. Mimi ni mmoja ya watu ambao huwa tunapata muda wa kufikiri. Mara nyingi nikiwa nmeshamaliza kazi zangu za ujenzi wa Taifa. Nmekula na Kunywa napata angalau masaa kadhaa ya kufikiri. Nmekuja pata ideas kadhaa za namna ya kufanya kazi na haya makampuni ya Simu. Sasa wasiwasi wangu ni je...
  5. Wernery G Kapinga

    Mtandao wa Halotel wameniibia

    Bila shaka mpo vizuri Tarehe 15 nililipia king'amuzi kupitia mtandao wa Halotel. Cha ajabu sikurudishiwa ujumbe na pesa kwenye account imeondolewa. Nikapiga simu huduma kwa wateja. Wa kwanza akaniambia system iko chini kwa hiyo itakuwa accessed baada ya muda wa dk 20 mpaka 30. Siku ikapita...
  6. TOHATO

    Haloteli kuhusu kasi ya internet mmeanza kuyumba, jirekebisheni

    Kwanza niwape hongera kwa kuwa moja ya mitandao inayotoa huduma nyingi kwa bei nafuu,kuanzia msg,dakika , kutoa na kutuma hela kwa Halopesa. Ila sasa mmezingwa na jambo la Kasi ya intenet kuwa ndogo sana. Mawazo yangu nadhani kwa vile kumekuwa na wigo kubwa na wahamiaji kwenye mtandao wenu...
  7. Mother Confessor

    Halotel mnazingua saaana aisee!

    Halotel halotel halotel Nimewaita mara 3, please hebu acheni utapeli buana,hivi hii system yenu ya kifurushi cha data kukata internet makusudi kabla ya kifurushi kuisha muda wake ndio nini? Nime note hii kitu wiki inaenda ya pili sasa ukijiunga kifurushi cha siku (data) kwa mfano kifurushi...
  8. kimsboy

    Tsh 190 unapata mb 100 masaa 24 halotel watabaki juu mawinguni

    HALOTEL WATABAKI JUU MAWINGUNI TSH 190=MB 100 MASAA 24 Hapa unakuta ndo usiku bundle limekata na kuna issue ya muhimu unataka kuwasiliana na ndugu au miamala fulani ya kifedha au kuperuzi watsaap na google kusoma soma bando limekata na simu haina hela labda 200 tu ipo na mawakala na maduka...
  9. Mawematatu

    Muwe Makini Mtandao wa Halotel kinachofanyaka ni wizi

    Niende Moja kwa Moja kwenye Hoja. Baada ya tarehe mbili Mwezi huu Aprili kupewa onyo juu ya bei ya mabando, hawa watu halotel waliweka Gharama walizodai ni za kawaida accordingly kwa wao kuzingatia waliyoiweka ndio bei kabla ya offer. Mh Rais Alivyoendelea kuwaonya HALOTEL walirejea kama...
  10. I am Groot

    Halotel tunashukuru kwa kurudisha vifurushi vya zamani, sisi wateja hatuvitaki, turudishieni vile vipya.

    Naona mnajikosha sasa siku zote hizo mlikuwa wapi? Tushazoea vile vifurushi vyetu pendwa vya 2000- mb 700 leo hii mnavitoa? Hata hivyo vya usiku pack na 4g bundle bakini navyo tupeni tulivyozoea vya mwaka huu. #kamati ya roho mbaya.
  11. IBRA wa PILI

    Asanteni Halotel sasa kama mwanzo

    Mambo murua halotel vifurushi vimerejea mahali pake nilitseka sana siku chache hizi yani movie nilishndwa kabisa kuzipakua sasa swaaaaaaaafi apo kwenye usiku pack ndio mahali pangu zaidi Leo ni kushusha movie adi kieleweke
  12. M

    Makampuni ya simu yadharau agizo la Serikali (TCRA)

    Mpaka sasa hivi makampuni ya simu yanaendelea kuuza vifurushi kwa bei ileile onevu ambayo ililalamikiwa na wananchi hapo jana. Licha ya Serikali kupitia TCRA kuagiza usitishwaji wa viwango hivyo, bado makampuni hayo yamekaidi na yanaendelea 'kuwaibia' wananchi kwa kuuza bando kwa bei ambazo...
  13. Gibeath-Elohimu

    Halotel, Network yenu leo ina shida gani?

    Enyi mtandao wa halotel, network yenu leo haisomi kabisa. Shida ni nini au tatizo ni katelephone kangu.Au ndo maboresho ya vifurushi. Naomba muongozo wenu katika hili.
  14. Kasomi

    Mabadiliko ya vifurushi kuanza tarehe 02/04/2021

    Kwa mjibu wa TCRA, mabadiliko ya vifurushi kuanza tarehe 02/04/2021. Pia mitandao itawatarifu watumiaji wake mabadiliko hayo. Baadhi ya mitandao unachanganya taarifa hizo kwa mfano rejea hapa. Vodacom Tanzania Habari, kuendelea kutoa huduma bora zaidi tutafanya marekebisho kwenye vifurushi...
  15. C

    Halotel wameshikilia hela yangu nimekusudia kwenda kushtaki

    Nilimtumia mtu fedha kutoka kwenye akaunti yangu ya halopesa Ile hela haikufika ila kwenye akaunti yangu wakaikata! Niliwasiliana na huduma kwa wateja bila mafanikio! Ni wiki sasa ile hela bado hawajanirejeshea! Wadau ninataka kwenda kuwashtaki.
  16. EvilSpirit

    Hivi Halotel mna shida gani?

    Kwa muda sasa nimekuwa ninaexperience tatizo la internet, muda mwingi network iko slow na saa nyingine kunakuwa hamna kabisa network. Imekuwa kero sana huwezi kabisa kuenjoy kusurf mtandaoni, katika dakika 10, dakika 8 internet iko down na dakika 2 ndio angalau inafanya kazi. Hali ikiwa hivi...
  17. J

    Internet halotel ni zero

    Sijui nifanyaje wadau maana simu yangu ina laini ya halotel na internet inasumbua hadi nisubiri usiku. Msaada kwa wataalam wa IT kama kuna cha kufanya ili irudi kuwa bomba.
  18. R

    Halotel na kifurushi cha Royal

    Uki _ dial *102*01# ujue salio lako, DAKIKA hazionyeshwi. Wanaonyesha Mb, na SMS. Kwanini dakika hazionyeshwi? Ni system failure au ni makusudi? kama ni makusudi, Wanaficha nini kama siyo kuwaibia wateja? Halotel rekebisha hilo!
  19. A

    Halotel msikasirike, mjitathimini na call center yenu

    Nimewapigia kuwatarifu kuwa kuna tapeli anataka kunitapeli kwa kukopi na kupaste ujumbe wenu wa Halo Win akitumia simu 0627205377 Mkaniambia niwatumie no iliyotuma ujumbe nawapigia hamtaki kupokea kwa hasira sasa nawatumia kupitia jamiiforum namba iliyotuma ujumbe hii hapa 0734269327 na Mimi...
  20. Wangari Maathai

    Sim banking ya Equity kwa mtandao wa halotel hakuna

    Bank ya Equity haina option ya kutuma hela kwenda /kutoka bank kupitia mtandao wa Halotel...usumbufu Sana!. Wahusika angalieni Hili suala!
Back
Top Bottom