hapo

High-altitude pulmonary edema (HAPE) is a life-threatening form of non-cardiogenic pulmonary edema (fluid accumulation in the lungs) that occurs in otherwise healthy people at altitudes typically above 2,500 meters (8,200 ft). However, cases have also been reported between 1,500–2,500 metres or 4,900–8,200 feet in more vulnerable subjects.
Classically, HAPE occurs in persons normally living at low altitude who travel to an altitude above 2,500 meters (8,200 feet). Re-entry HAPE is also an entity that has been described in persons who normally live at high altitude but who develop pulmonary edema after returning from a stay at low altitude, this has been called re-entry HAPE. It is severe presentation of altitude sickness.
There are many factors that can make a person more susceptible to developing HAPE, including genetic factors, but detailed understanding is lacking and currently under investigation. HAPE remains the major cause of death related to high-altitude exposure, with a high mortality rate in the absence of adequate emergency treatment.

View More On Wikipedia.org
  1. sky soldier

    Ali Kiba nae kaanza ku promote video zake kwa kulipia mtandaoni

    Wengi tunakumbuka miaka ya nyuma Diamond ndie alikuwa msanii pekee aliekuwa ana promote video zake kwenye mitandao ya kijamii kwa kulipia, hiii ikapelekea kuongezeka kwa umaarufu mpaka sasa imefikia hatua kaacha ku promote kwa malipo maana kwa sasa anafaidi mavuno ya mashabiki wapya aliowapata...
  2. Mtafiti77

    Mnadhibiti vipi harufu ya "nnya" isitapakae hapo sebuleni?

    Ninaomba ushauri. Nimechunguza nyumba zetu nyingi zina shida sana ya harufu toka msalani mtu akipiga tukio kubwa. Bora huko vyumbani mtapambana na hali zenu, hiki cha wote jirani na sebule ni changamoto jamani. Ukute una wageni kisha mtu akaenda kutupia, kisha ukute ni wale watu "nya" inanuka...
  3. Lord denning

    Rais Samia hakuna kurudi nyuma. Simamia hapo hapo, Hii nchi ukiwasikiliza watu haitaenda

    Kwanza kabisa nakupongeza kwa ukipofikia. 1. Kwenye chanjo 2. Kwenye Makato ya Kodi Tanzania ilipokuwa imefikia ilikuwa ni pabaya sana. Watu waliaminishwa ujinga na wakaendelea kuishi kwenye ujinga. Tumepoteza watu wengi sana kutokana na kuaminishwa kuwa Tiba asili inatibu Corona badala ya njia...
  4. Mad Max

    Hapo "Cutting Master Barbershop" kunyoa bei gani?

    Nauliza tu. Je, bei gani kunyoa style ya kawaida tu. Na.. Naona mtandaoni wanatupia picha za warembo wamenyolewa je wananyoa na wanaume au? Nakuja Dar karibuni, sehemu nilizopanga kutembelea moja wapo hapo.
  5. M

    Ifahamu siri ya pesa

    JAMBO 1 KTK PESA ✍🏿 Leo naomba tugusie jambo dogo sana ktk pesa. 💧 Kinacho kufanya wewe kuwa Tajiri sio kiwango cha pesa ulicho nacho ila ni matumizi kwa kile unacho kipata. 🙏 Mfano : Kama unapokea laki 3 kwa mwezi na ukatumia laki 2 na 80 na ukatunza elfu 20 M-pawa. Baada ya miezi sita...
  6. M

    Kwanini hujafanikiwa?

    ✍ KWA NINI HUJAFANIKIWA‼️ 💧 Kwanza tambua jambo 1 mungu hawezi kukutoa hapo ulipo mpka akupe elimu ya kule unapo taka kwenda ( kila elimu inalipiwa ) Mfano: Kama wahitaji kufanikiwa kibiashara lazima uwe na elimu ya kufanikiwa hapa ndo utakuta mtu anataka kuwa kama Fulani ktk biashara ila...
  7. Ego is the Enemy

    Wamiliki wa mabasi fursa mmetengenezewa hiyo hapo chukueni hela

    Habari zenu wanajukwaa! Tupeane namna ya kukwepa kutuma hela kwa simu Mana jamaa wanadai wazalendo Ila hata Mia Yao mbovu haikatwi pia hatunziwi hela wake kupewa wakizeeka Ila wewe ndiye wa kutunziwa pia ndiye wa kulipa Kodi ya kizalendo. Jamaa wamelewa Kodi zetu,kumbuka yeye hajui kuwa Kuna...
  8. Mtafiti77

    OPPO F15 halisi na mpya unaipata kwa bei gani hapo mjini kwenu?

    Ndugu Mashabiki wa OPPO nipo katika savey ya simu tajwa. Ninalinganisha bei nipate uelewa. Je, kwa sasa simu hizi zikiwa mpyaa, OG zinacheza shilingi ngapi hapo mjini kwenu? Wale mliopo jirani na maduka makubwa tafadhali ninaomba msaada kufahamu. Shukrani
  9. Shujaa Mwendazake

    Bado tunajiuliza nani alitudanganya kati ya Kamanda Sirro na Mwigulu Nchemba?

    Wakati Tundu Lissu kabla hajashambuliwa kwa risasi alikuwa analalamika kuwa kuna gari inamfuatilia. Sisi ambao siyo wanaintelijensia tulikaaa kimya kusubiri majibu ya wataalam na viongozi. Na haya yalinenwa na wakuu wetu: Waziri wa mambo ya ndani, wakati huo Mwigulu Nchemba, alisema kwamba...
  10. Acehood

    Msaada wakuu laptop yangu (DELL) imegomea hapo toka juzi

  11. C

    CEO Barbra na wenzako hapo Simba SC ni kweli mna deal kubwa zaidi ya Azam TV?

    Habari ni kwamba mlikataa kulipwa hela sawa na utopolo (hapo nawaunga mkono kabisaaa) lakini milioni 200 kwa mwezi ni nyingi sana inaweza kutumika hata kuongeza mishahara ya wachezaji na technical benchi au hata kuanza kuelekezwa kujenga majukwaa uwanjani kule Bunju. sababu ya pili ni kwamba...
  12. Komeo Lachuma

    Ni nani aliyeharibu Mchakato wa Katiba Mpya? Tuanzie hapo

    Mnakuja msumbua mama bure. Mchakato wa Katiba ilikuaje ukasitishwa? Ni nani alifanya uharibifu ule wa pesa? Je Rais aliyepo Madarakani alihusikaje katika mchakato wa Katiba? Mnataka mchakato uendelee kuanzia wapi? Kama kuna aliyeharibu mchakato achukuliwe hatua gani? Vipi Raisi aliyeko...
  13. mdudu

    Raisi wetu Mama Samia Mtumbue Ally Hapi kabla hujamuapisha

    Mama Samia Mtumbue A, Hapi atakuharibia na kutoa imani kwa Watanzania waliyonayo kwako. Alionyesha dhalau kubwa Sana kwa wazee wetu ambao ni Maraisi wasitafu, kumbuka hata wewe ni msitafu mtalajiwa. Ukimwacha hata wewe ukimaliza muda wako atakuja kukutukana. Kwani A.Hapi yeye ni nani kwenye...
  14. E

    Ni mzee gani alimpa Nyerere makochi ya kukalia ambayo yapo kwenye nyumba ya Nyerere hapo magomeni?

    Hebu wanaomshughulikia Mh. Mbowe kwa kumsababishia awe na hali ngumu ya kisiasa na kiuchumi waniambie ni Mzee gani alimpa mzee Nyerere makochi ya kukalia katika nyumba yake aliyopewa iliyopo magomeni wakati wa kudai uhuru? Nyumba hiyo ipo magomeni imekuwa kama nyumba ya mkumbusho ukienda hayo...
  15. May Day

    Kelele za fanya hiki acha kile, hapo umekosea hapo umepatia zimekuwa nyingi mitandaoni, au kwa sababu ni Mama?

    Siku hizi kila ukiingia mtandaoni utakutana na uzi wa kupinga, kupongeza, kuelekeza au kufananisha na Mtangulizi wake. Hivi haya yote ni kwa kuwa hatujawa na historia ya kuongozwa na Mama au tu ni tabia asilia ya Viumbe kulialia mbele ya Mama zao maana hata kwenye familia Watoto wanahisi uhuru...
  16. M

    wakili msomi Silas Isangi ambae ndie rais wa RT. Aongeze juhudi

    Leo nimeona nimstue kidogo wakili msomi Silas Isangi ambae ndie rais wa RT. Kiukweli tangu achaguliwe kua rais wa RT tumekua na matumaini mapya juu ya Riadha ya Tanzania. Lakini cha kusikitisha, tangu Silas achaguliwe, zaid ya kua mdandiaji wa mbio zinazoandaliwa na vyama vya mikoa mbalimbali...
  17. S

    Rais Samia awekeze kwenye utawala wa sheria, katiba mpya na tume huru ya uchaguzi

    La muhimu ni kwa Rais Samia kwa hii miaka minne, au mitatu, aipatie Tanzania katiba mpya. Asijikweze sana kutaka kugombea hapo 2025, hilo si lake. Awaachie wenyewe. Zaidi ajikite kwenye kuwekeza utawala wa sheria, Katiba mpya na tume huru ya Taifa ya Uchaguzi, mambo matatu hayo yatamuweka...
  18. J

    Je, hapo ulipo kuna dalili zozote za kimbunga Jobo!

    Nipo Pwani ya Kawe na hali ni tulivu kabisa wanajamii wakiendelea na mishe zao. Tupe taarifa hapo ulipo kama kuna dalili zozote za Jobo kuibuka. Nawatakia Dominica yenye baraka. Kazi Iendelee!
  19. jitombashisho

    Kimbuga jobo hukujipanga na sidhani kama shughuli zako utazifanya vyema hapo Tz.

    Ndugu yangu jobo kwanza salamu! Pili napenda kukupa pole hasa kwa kuchagua siku isiyo rafiki kwa kufanya shughuli zako hapo Tanzania. ...aliyekudanganya uje kufanya shughuli zako siku ya Jumapili hakukujuza kwamba Tanzania kuna manabii na mitume wasiyo na idadi na kwalo siku hiyo ndiyo wao...
  20. Mkaruka

    Makundi 4 ya Watanzania waliobaki Njiapanda baada ya Hotuba ya Rais Samia ya Aprili 22, 2021

    Hotuba ya Rais Samia hapo jana imeacha watu wengi nija panda. Binafsi naona kama ililenga zaidi kuyapooza makundi yaliyokuwa yanapiga kelele kama: Vyama vya upinzani Team Magufuli Wafanyabiashara Wananchi wengine kiukweli tumebaki njiapanda, maana hatujui ni upi uelekeo wa Rais hasa...
Back
Top Bottom