harakati

The National Revival Movement Party (Azerbaijani: Milli Dirçəliş Hərəkatı Partiyası) is a political party in Azerbaijan. The party's leader is Faraj Guliyev, who is well-known politician. At the 2010 parliamentary elections, it won 1 out of 125 seats. In the 2015 parliamentary elections, it won 1 out of 125 seats.

View More On Wikipedia.org
  1. Wang chung

    Harakati za kukimbia Umasikini

    kitabu hiki kinaeleza mambo yafuatayo 1. Ni jinsi gani masikini wanaweza kuukimbia umasikini kwa kuchukua hatua madhubuti . 2. Kinafundisha nidhamu na kanuni za pesa kiundani. 3. Kinafundisha jinsi ya kutambua fursa, kufanya uchunguzi na kunitumia fursa vizuri. Kinapatikana kwa muundo wa soft...
  2. Wang chung

    HARAKATI ZA KUUKIMBIA UMASIKINI

    kitabu hiki kinaeleza mambo yafuatayo 1.ni jinsi gani masikini wanaweza kuukimbia umasikini kwa kuchukua hatua madhubuti . 2.kinafundisha nidhamu na kanuni za pesa kiundani. 3.kinafundisha jinsi ya kutambua fursa, kufanya uchunguzi na kunitumia fursa vizuri. Kinapatikana kwa muundo wa soft copy...
  3. Mshana Jr

    Harakati za wanyama na wadudu

  4. Mapenzi ya Mungu

    Katika harakati za kujenga nyumba ulikutana na changamoto gani!?

    Ukiachilia uwepo wa Mafundi, na matilio kama mchanga, kokoto, sumeti na uwepo wa fedha!?
  5. KJ07

    Pre GE2025 Jiunge na Harakati za Mabadiliko: CHADEMA Inakuhitaji Leo!

    🇹🇿 CHADEMA ni chachu ya mabadiliko tunayoyahitaji! Ni muda wa kujiunga na harakati kwa vitendo. Jiunge sasa kupitia kadi za wanachama zenye hadhi tofauti: Tanzanite, Diamond, Platinum, Gold, Silver, na Bronze. Kwa nini ujiunge? 🗳️ ✅ Kuwa sehemu ya uamuzi wa kitaifa ✅ Changia harakati za...
  6. Smartkahn

    Ni katika harakati za kuhuisha, kuchanga upya kama sio kubadilisha kabisa mfumo

    Tulikua watu makini kama wa 4-5 ama 6 sikumbuki vizuri... (waandamizi wa jambo flani, sijui ni jambo gani ila ni kama jambo la maana sana) Tulikua tunakatiza mitaa fulani usiku huko kijijini, tukiwa katika njia ya vumbi inayotosha kupita gari, gafra ukaona kikosi/kikundi cha watu Sita...
  7. Twilumba

    Hapa ni wapi? Trafiki wadakwa kwenye video wakichukua Rushwa mara kadhaa

    Hapa ni wapi, hawa wanajulikana, Kamanda Mulilo, IGP Wambura hapana naona mtaharakisha kutoa press Release kama vile mwafanyaga kwenye matukio mengine. Zaidi kongole kwa camera man wa kujitegemea. Updates: Polisi yachukua hatua, yalaani vikali kitendo hicho
  8. Mikopo Consultant

    Wanaharakati wa Tanzania wanaugua ugonjwa wa ukosefu wa 'logical thinking'; haimaanishi harakati ni mbaya, tuwasaidie

    Harakati Harakatini Msingi mkubwa wa haki za binadamu ni mapokeo ya Universal Declaration of Human Rights ya mwaka 1948 ambapo humo kuna vipengele 30 vya hizi haki za binadamu. Ni document ya page 8; yeyote anaweza kuisoma na kujionea kilichomo. Ukipitia hiyo document ya haki za binadamu...
  9. Rozela

    Picha: Basi kuna mwanaharakati anaona wivu huko anatamani angeitwa yeye (niyeye)

    Kuna watu wanaugua nafsi zao wakimwona mjomba angu anafanikiwa katika juhudi zake za kulinda kikoba kwa wivu mkubwa. Kama mnadhani ni rahisi sana, anzisheni chakwenu. Makamanda najua mnamwelewa sana kamanda wa anga, mjomba angu. Makamanda msiache kutoa hela za uanachama, lipieni kadi zenu...
  10. BLACK MOVEMENT

    Lissu anavimbishwa mno Kichwa na Keybord Worrior

    Yule Maria Sarungi haijulilkani hata anaishi wapi na ni Gener wa Keybord Worrior. Humu sasa ndio kuna idadi isio hesabika ya Ma Keybord Worrior ambao front laini kamwe na daima huwezi waona na hutakaa uwaone. Lisu anavimbishwa kichwa sana na hawa Keybord worrior ambao Ujasiri wao uko kwenye...
  11. eden kimario

    Huyu mtu ni zawadi ya kipekee kwa Tanzania, ambayo Mungu ametupa. tusimkwaze na harakati zake. tushikamane naye

  12. eliakeem

    UISLAM: Mbali Na Kuwa Chombo/Mpango wa Waarabu Kueneza Tamaduni Zao. Bali Pia ni Chombo Chao Cha Harakati/Kupigania Haki/Uhuru Wao

    Miezi michache iliyopita kumekuwa na hoja nzito ikielekezwa kwa uislam. Hasa suala la kutumia lugha ya Kiarabu katika ibada. Mpaka ikaonekana kwamba uislam siyo dini, bali ni chombo au mpango wa waarabu wa kueneza tamaduni, mila na desturi zao. Pia lingine ambalo watu wengi wameanza kulimulika...
  13. Mathias Byabato

    Utitiri wa Festival za Makabila Nchini: Tumeanza Harakati za Kujitenga Kimakabila?

    Mara kadhaa hapa chini yamekuwa yakifanyika matamasha au shughuliza kijamii zinazolenga makabila fulani kama WASUKUMA FESTIVAL. https://shinyanga.go.tz/new/rc-mndeme-ashiriki-tamasha-la-sanjo-ya-busiya-shinyanga WAHAYA FESTIVAL:https://www.youtube.com/watch?v=qR_H1N7bWjo WACHAGA...
  14. BLACK MOVEMENT

    Kwa katiba iliyopo, still Lissu anaweza fanya harakati bila Chama, hilo linashindaka pia? Kuitisha maandamano huhitaji kuwa kwenye Chama cha siasa

    Ma Keybord worriour wenzangu, kwa katiba mbovu tulio nayo still bado hata bila chama unaweza anzisha harakati zako kikubwa uwe na watu nyuma yako. Unaweza hata ingiza watu Barabarani wakinukishe, sasa hili tunashindwa vipi? kwani ni lazima iwe ni ndani ya Chama? na hicho chama kiwe ni CDM...
  15. kante mp2025

    Harakati za wagonga ulimbo kwenye kutafuta ajira

    Mbele yenu ni kijana wa kitanzania mpambanaji ninayechukia kukata tamaa, Kwani kukata tamaa ndio mwanzo wa umaskini. Leo nimeona nishare visa tunavyokumbana navyo wagonga ulimbo hasa graduates katika kutafuta ajira rasmi hasa sisi tuliotokea kwenye familia duni ambazo ikihitajika laki moja basi...
  16. Bob Manson

    Maslahi binafsi yanayohujumu harakati na maisha ya vijana

    Huwenda nimechelewa kufahamu hili kwasababu ya umri wangu na uzoefu wangu, nimegundua Tanzania hakuna upinzani wa kweli. Vijana wanapoteza maisha yao, wanaumizwa hata kupotezwa, yote ni kwasababu ya kupigania haki sambamba na kuwa upande wa upinzani, ajabu viongozi wao wanafanya mambo kwa...
  17. S

    Ushauri:CHADEMA na wanaharakati mbalimbali, wakati umefika Mdude apewe tuzo ya ushujaa katika siasa za mapambano na harakati za kupigania haki za watu

    Wadau, kwa sasa, huyu bwana bila shaka ndio anaeongoza kwa kupata misukosuko kutoka na harakati za kisiasa pampja na kupinga uovu wanaofanyiwa watu mbalimbali wakiwemo wanasiasa na wasio wanasiasa. Kwa ujasiri aliona na utayari mkubwa alinao wa kubeba gharama ya hii kazi hata ikibidi kwa...
  18. Judah Tribe

    VIDEO: Mtanzania akimkimbia traffic police Zimbabwe katika harakati za kuingia South Africa

    Watanzania tunatia huruma Sana ukiiona video hii ni aibu we mtu anakimbilia porini hata hajali huko porini atakutana na nini. JIANDAE KUKUTANA NA HAYA KAMA UTAHAMIA NCHI ZA WATU BILA PASIPOTI UTAISHI KAMA DIGI DIGI Papers ni za muhimu Sana kwenye nchi za watu tusihamie kienyeji sana Ona huyu
  19. Eli Cohen

    LGE2024 Vipi harakati za siku ya kwanza ya kampeni maeneo ulipo?

    Aisee yani ni watu wanajibizana na boda boda duuh Yani vruuuuuuuu.... Tangia asubuhi!!!!!!
  20. Eli Cohen

    Wapalestina na mabosi zao wasitishie watu na harakati zao za juzi. Myahudi ameundwa katika harakati zaidi ya miaka 1000

    Mateso ya wavamizi wa Kiajemi Mateso ya wavamizi wa Kigiriki Mateso ya wavamizi wa Kituruki Mateso ya wavamizi wa Kiarabu Mateso ya wavamizi wa Intifada Mateso ya ugaidi wa Kiiran Mateso ya mauaji ya NAZI Mateso ya uhamisho na kufukuzwa Ulaya. Mateso ya waandamanaji na Wapingaji wao...
Back
Top Bottom