harmonize

  1. Suley2019

    Mtayarisha muziki wa Kenya amshutumu Harmonize kwa kumuibia mdundo katika wimbo wa "Uno"

    Mtaarishaji wa muziki wa Kenya anayeitwa Magix Enga amemshutumu mwanamuziki wa Tanzania Harmonize kwa kumuibia biti alilolitumia katika wimbo wake mpya unaoitwa "Uno". Katika posti yake ya Instagram Magix amemuonya Harmonize kwa kumsisitiza kuuondoa wimbo huo katika mitandao yote ndani ya wiki...
  2. EINSTEIN112

    Ali Kiba, Harmonize wamjibu Diamond kuhusu tamasha la Wasafi Festival

    ALI KIBA ANA MAJIBU YA KIKE, KAMA KUNA UMAFIA ALIFANYIWA NA MOND SI AFUNGUKE??
  3. Kibumbula

    Naona wajuaji wameshaanza kulivalia njuga sakata la WCB na Harmonize

    Katika kile kinachoonekana misimamo tofauti juu ya sakata la WCB na Harmonize,tayari wajuaji wameshaanza kumwaga upupu wao kwa WCB. Yetu macho na masikio. ---- Mkataba wa Harmonize, WCB ulivunjika tangu 2016 Harmonize amethibitisha kilichonong’onwa muda mrefu kwamba menejimenti ya Wasafi...
  4. Nobunaga

    Mbosso ndiye mrithi wa Harmonize pale WCB

    Hili liko wazi kabisa, wala halihitaji ubishi. Kijana huyu ana cheche na moto haswaa wa kuweza kukamata siti iliyoachwa wazi na Harmonize. Najua matarajio ya wengi ni kwamba Rayvany ndio ataziba hilo gap, lakini nionavyo mimi uwezo wake ndipo ulipoishia. Kama ni kumfikia Harmonize basi alipaswa...
  5. GENTAMYCINE

    Je, Msanii Harmonize anatengenezwa kimakusudi ili kuumaliza Ufalme wa Diamond baada ya Kiba kujimaliza mwenyewe?

    Kwa niliyoyasikia juu ya hawa Watatu ni mengi ila kati yao makubwa matatu yanahusu nyanja za kisiasa hasa kwa Uchaguzi Mkuu ujao wa mwaka 2020, chuki yenye kisasi dhidi ya Vyombo Viwili vikubwa vya Habari nchini Tanzania vilivyopo hapa Mkoani Dar es Salaam Wilaya ya ‘Kitajiri‘ ya Kinondoni na la...
  6. idawa

    Harmonize: Nimewalipa Wasafi Tshs milioni 500 kuvunja mkataba

    Akihojiwa na Clouds FM kwenye XXL amesema imemlazimu kulipa million 500 ili kuvunja mkaba na Kampuni ya Wasafi. Amesema kampuni ya Wasafi walimzuia kutumia chochote kilichotokana na Wasafi ikiwemo jina la Harmonize, nyimbo zake, akaunti za mitandao ya kijamii na mengineyo. Ili kuendelea...
  7. CONTROLA

    Diamond : Sina ujinga wa kununua nguo Milioni 6 au 7 katika maisha yangu yote ila kwa Harmonize ni tofauti

    “Harmonize ana nguo ameshanunua kwa gharama ya Tsh. Milioni 6-7 na zipo zimekaaa kabatini, kitu ambacho mimi katika maisha yangu yote sijawahi kukifanya na wala ujinga huo kwanza sina” Hayo sio maneno yangu mimi ni maneno ya Diamond mwenyewe akimuongelea Harmonize Unajifunza nini katika...
  8. Jimmy De Lite

    Harmonize kujiondoa WCB ni deal la kibiashara na Tigo Fiesta

    Hey Guys, I Hope Mko Poa, Ryt? Okay Nimefuatilia hili sakata La Harmonize kujiondoa Hii lebo kubwa ya WCB halafu nikaangunisha na mwenendo wa Fiesta ulivyo kwa sasa nikagundua hapa kuna namna ya sisi mashabiki kuchezewa akili. Ukiitazama Fiesta ilivyo mwenendo wake wa show za mwaka Jana...
  9. Barcelona763

    Wacha waseme

    Sina neno kwa WasafiFestival
  10. Barcelona763

    Msanii bora Bongo flava 2018

    Mwaka wa 2018 msanii bora 2018 ni yupi na wimbo bora was mwaka kutoka kwake ni ipi ?
  11. Barcelona763

    Nyimbo bora bongo flava 2018

    Nyimbo bora 11 za bongo flava mwaka wa 2018 .Zilizofanya vizuri na ambazo ni bora kwa maoni yangu binafsi. 1.nibebe aslay 2.Harmonize ft Diamond Platnumz – Kwa Ngwaru 3.nedy music one and only 4.mvumo wa radi alikiba 5.ninogeshe nandy 6.Harmonize – Atarudi 7.mbwa koko Mr blue 8.Young Killer...
  12. Barcelona763

    Yupi ni msanii bora wa bongo flava kwa sasa?

    Msanii yupi ambae kwa sasa hivi anafanya vizuri sana kwa katika kazi zake za muziki mwaka huu ni nani ?
  13. Barcelona763

    Aslay moto wa kuotea mbali

    Aslay amefanya vizuri mwaka huu ndio maana ukisikiliza muziki wake mzuri kwenye YouTube utanielewa. Aslay yupo na sauti nzuri ya kuimba kama ya king kiba. Ukilinganisha na wasanii wafutao Jux Harmonize Baraka da prince, RayVanny timbulo neddy music abdu kiba
Back
Top Bottom