Najua mnaweza kuja na claim ya kuwa unakuta bwana ni mkorofi, aaah waapi!? Ebu jaribu kuwa mpole wa kupitiliza uone jinsi gani mwanamke atakavyokuendesha.
Tatizo kuwa hamtaki tena role ya "traditional woman" iliozoeleka katika mapenzi, mnataka mapenzi ya instagram, ukweli ni kuwa mwanaume...
Unaweza kuwaelewa watumiaji kama wanafunzi kutumia matoleo ya kuchakachua ila inakuwa too much mtu anaitumia idm miaka zaidi ya 10 na uwezo anao bado hataki kuinunua anakomaa na matoleo ya crack yenye changamoto nyingi kuanzia virus, ujumbe kutokea mara kwa mara wa kuinunua, ku expire, n.k.
Wana-JF, mimi nawasalimia. Kwa muda sana natafakari haya maisha ya hawa vijana hususani wa kitanzania, ambao wanakataa ndoa. Kwa tafiti zangu 'informal', nimebaini kuna tatizo kubwa sana linapelekea hili. Nalo si jingine, ni NJAA.
NI wazi, usipokula lishe bora, hata akili yako haifikiri vema...
Salaam na heshima kwako Mh Waziri Elimu Prof Mkenda.
Awali ya yote nawapa pongezi sana kwa jitihada zenu kuboresha elimu tangu msingi hadi sekondari..hongera sana awamu hii pongezi kwa Mama Samia.
Wazazi tuna malalamiko hasa kwa shule binafsi za bweni shulw msingi na sekondari....kwa nini...
Dadadeki!
Wajumbe pambaneni kwa kweli. Kama mnajijua mpo kwa mazoea zoea na kupenda kuendeleana.
Au kupeana peana vinafasi hata kama hamna uwezo Basi hakikishenj huyu Lisu hapiti.
Mimi sijui mtoto wa Mwenyekiti.
Sijui mtoto wa muasisi.
Sijui hawara wa kiongozi Fulani nipewe viti maalumu...
Kwanza enzi hizo tulizoea jina moja tu la hoteli. Hili neno mgahawa lilikuja kama jipya/geni hivi na tukazoea taratibu kwahiyo hapa nitatumia neno mgahawa au hoteli kumaanisha kitu kimoja.
Sizungumzii makitu makubwa makubwa hapa nazungumzia vimigahawa vya kawaida vinavyopatikana uswahilini...
Nipo Moshi kwa mapumziko ya sikukuu aisee wazee wa Moshi wamegoma kabisa kumuunga mkono Mbowe
Nimejaribu kuanzia home kwa majirani na kila mtu ninayepiga naye story anaonyesha kuuzunishwa na Mbowe !!
Hai kipindi kile kumbe Kuna watu kibao walipoteza Mali zao sababu ya chama sasahivi...
Unajua kuna principle moja kwenye moja ya physchosocial model inasema "we are the product of our decision".
Turudi kwenye mada, wanawake wa kisasa ukiwa naye wanapenda kugegeduana pekupeku, yaani wanapenda kuisikilizia skin to skin vibaya sana, ila likija suala la kumshauri kutumia uzazi wa...
Habari wadau
Naona Yanga wametoa jezi mpya kwa kwa ajili ya total caf champions league..
Wamefuta nyota zao walizoweka juu ya logo yao kwenye jezi zao za msimu huu walizochezea hatua za awali za caf champions league na ligi kuu ya tanzania.
Watu wengi walishangaa why jezi ya mamelodi iwe na...
ANDIKA hii, kuna wadada wanazaa na watu ili wapate kuhudumiwa kwa mgongo wa mtoto na wakiombwa mtoto wanamng'ang'ania hawataki kwasababu huduma itakata😀 na watapauka wanatafuta mwanaume mwenye pesa wanazaa naye ili wapate maisha kupitia yule mtoto wake
Andika na hii ya mwisho, wapo wadada...
Wanajua show wakimbizi wa gaza waliofanya lebanon na Jordan.
Wanajua jinsi wakimbizi wa gaza waishio marekani wanavyoondana na kuvunja amani huko.
Wanajua #freepalestine ni utapeli
May all souls find enlightment.
Aise mwaka huu waarabu maji wataita mma. Yani ni bampa to bampa Mayahudi wachafukwa wameamua kuonyesha nani ni baba na mtoto ni nani adabu ifuate mkondo wake.
Naona waarabu na hata hawa wasuasi wa waarabu huku Kolomije kimoyo moyoni wametambua Israel sio size...
aljazeeraenglish
The fact that the cumulative weight of bombs dropped on #Gaza exceeds that of those dropped during World War II is “extraordinary”, Will Hutton, political economist and journalist, tells Al Jazeera.
.
#Israel could not have done this without US military aid, but it could have...
Wakuu kama kuna mtu wa crdb humu au mwenye taarifa kamili naomba atujuze hili suala.
Mimi ni mtumishi wa serikali nilifanya maombi ya mkopo toka jumatatu kupitia mfumo wa ess ila maombi yakawa yamekwama level ya service provider ku accept ili afisa utumishi aweze kuona na kupitisha, kesho yake...
Wote tumedanganywa kwamba eti waliofanilikwa ni wavivu na wanapenda kurahisisha mambo ndo maana wamefanikiwa where ukweli ni vice versa waliofanikiwa ndo watu wanaopambana kupita kiasi
Point yangu ni nini
Put in more time than what will be required.
Chanzo cha matatizo yote ni katiba mbovu tuliyonayo haya mengine kwa sasa yanategemea sana busara za kiongozi mkuu wa nchi.
Ukiandaa maandamano ndani yake kukawa na Samia Must GO ndani ya kuomba haki tayari kuna dalili za uvunjifu wa katiba hii hii mbovu tunayo itumia ,kwa hapa huwezi walaumu...
Leo nimeona nyomi ile ya watu aliowakusanya Mwamposa kule Arusha hakika nimelisikitia kanisa langu. Kadri maaskofu na mapadre wanavyompinga mwamposa ndo anazidi kuchanja mbuga.
Imekuwaje kanisa katoliki likakosa mvuto hivyo ghafla jamani.
Ni mtangazaji wa Redio huko Kesho na umri wa miaka 26 na madenti wenyewe wana 20.
Madenti wanasema hawajawi kutenganishwa tangu utoto, shuleni hadi ukubwani.
Mabaharia wa JF naona tayari mmeshaanza fantasies zenu za threesome hahahah.
Jamaa anasema:
“Niliona wanafanana kwa kila kitu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.