Kaandika hivi katika mtandao wa X:
Tuna jukumu la kihistoria la kuhakikisha tunaipatia Nchi yetu chama mbadala, na serikali mbadala itakayowatumikia watu na kuwaondoa katika umasikini wa miaka 63 ya Uhuru.Serikali na chama kitachopinga rushwa bila aibu, chama kinachochukia umasikini, chama...