Wanandugu wa bodini...
Nawasalimu kwa salamu yangu binafsi, uposondi...?? Mwaweza itikia... ndinandii..
Nimepata tashtwiti ya kuwashauri Chadema, hasa huu uongozi mpya...
Katika njia ya kuanza kuimarisha chama kiuchumi, mnaonaje mkitengeneza hata tisheti elfu 10 (10,000pcs) zenye picha ya...