hesabu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. OLS

    CAG akague hesabu za zoezi zima la Sensa…

    Agosti 23, 2022 tunatarajia kuwa na zoezi la sensa ya watu na makazi. Zoezi muhimu katika mipango ya sera na maendeleo ya Taifa. Hata hivyo mwaka huu tumeona matangazo yamekuwa mengi sana hadi inaleta maswali kama fedha za umma zimetukima ipasavyo. Uhamasishaji umekuwa mkubwa kama kuna mgomo...
  2. Swahili AI

    Tarehe ya harusi na tarehe ya kuzaliwa: imedhamiriwa kwa kutumia hesabu

    Wasichana wengi hawawezi kubaki gizani kwa muda mrefu na wanataka kujua haraka iwezekanavyo wakati sherehe ya harusi iliyosubiriwa kwa muda mrefu itafanyika. Sayansi ya hesabu inaweza kusaidia na hili, ambayo inakuwezesha kujua tarehe ya harusi ya baadaye kwa tarehe ya kuzaliwa. Wasichana...
  3. Mpinzire

    Wataalam wa Tally, Excel, QuickBook na Hesabu mtusaidie ile 100.01% ya Chebukati imekaaje?

    Utata umeibuka Kenya mara baada ya kutangazwa kwa matokeo ya uchaguzi! Hoja zilizoibuliwa mara baada ha kutangazwa matokeo ni asilimia zilizopatikana kwa kila mgombea kiasi ukijumlisha unapata 100.01% na sio 100%! Kila mmoja anasema lake huko Kenya, wengine wanadai Error za kawaida wengine...
  4. Getrude Mollel

    Rais Samia Suluhu kufanyia kazi hoja za Mdhibiti wa Hesabu za Serikali (CAG) Bandarini

    Mamlaka ya Bandari (TPA) imefanya upembuzi wa mifumo yake ili kushughulikia hoja za Mdhibiti wa Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kwa mwaka 2022/21 ya kuwa mifumo inasomana na hivyo kudhibiti upotevu wa mapato. Vilevile, imebainisha kuwa kipindi cha kuanzia Julai 2021 hadi Juni 2022...
  5. MSAGA SUMU

    Swali la kizushi: Je, unaweza kumfundisha mwanao hesabu hadi darasa la ngapi?

    Tuseme Mtoto wako anapenda hesabu Ile balaa na anataka msaada wa baba/ mama. Je, wewe kama mzazi unaweza kumpigia namba mpaka darasa la ngapi bila kudesa?
  6. Roving Journalist

    Kenya 2022 Uchaguzi Kenya: Matokeo rasmi ya kura za Urais Kenya 2022

    William Ruto (UDA) 50.49% 7,176,121 Votes Raila Odinga (AZIMIO) 48.85% 6,942,930 Votes George Wajackoyah (RPK) 0.44% 61,969 Votes David Waihiga (AGANO) 0.23% 31,987 Votes ============== Wakati Wakenya wakisubiri majibu ya Uchaguzi wa Urais, upande wa timu ya Raila Odinga wamedai kuwa...
  7. M

    Mmeshamaliza hesabu zenu sasa tulieni Wanamume wamalize na Makombora yao Matatu tu Matakatifu

    Tofauti yenu Mazuzu na Sisi Werevu ni kwamba nyie (Mazuzu) mnasajili Kimihemko na kwa Kukurupuka wakati Sisi Werevu tunasajili Kiutaalam, Kiufundi na Kimkakati hasa. Tunaenda Kukamilisha na Makombora yetu Matatu tu kisha tukutane Ngao ya Jamii Mwezi ujao ( August 2022 ) na endeleeni tu Kukariri...
  8. R

    Wataalamu wa vikokotoo, Bilioni 100 imepunguza Ukali wa Bei ya Mafuta kwa kiasi Gani? Kuna Haja ya kuendelea na hii Ruzuku?

    Habari JF, Bei mpya zimetangazwa kuanza kutumika Tar 6/7/2022, hivi hizi pesa tulikopo IFM na Benki ya Dunia bilioni 100 za ruzuku zimepunguza ukali wa bei ya Mafuta kwa kiasi Gani? Ukiringanisha na kabla ya bilioni 100. Je, kuna Haja ya kuendelea kukopa?
  9. Gordian Anduru

    Naomba kueleweshwa CLEAN SHEET za makipa wa YANGA hesabu zinakataa

    Clean sheet inahesabika pale unapotoka na ushindi bila kuruhusu goli takwimu zinadai kuwa makipa wa Yanga Diarra na Mshery wana Clean sheet 15 na 12 jumla unapata clean sheet 27 hata hivyo Yanga haina Clean sheet 27, Yanga ina clean sheet 22 tu kuna mechi 8 Yanga imeruhusu magoli Nakumbuka ni...
  10. ziggibro

    Dereva - Natafuta gari ya hesabu (Bolt & Uber)

    Naitwa Ayoub, Natafuta gari ya hesabu kwa ajili ya Bolt na Uber. Ninazo account zote za kuendesha tax online (Uber, Bolt, Paisha, Little, Moovn etc) Nipo tayari kwa kazi nachohitaji ni gari tu. Mawasiliano 0767553726
  11. cpb

    Natafuta bajaji ya kuleta hesabu Dodoma

    Habari wapendwa, Niko Dodoma natafuta bajaji ya kuendesha na kuleta hesabu niko Dodoma. Naomba mwenye connection tuwasiliane.
  12. H

    Naomba ufafanuzi kuhusu Afisa Hesabu Daraja la II (Account Officer II)

    Naomba ufafanuzi kuhusu sifa Kuajiriwa wenye “Intermidiet Certificate” (Module D) inayotolewa na NBAA au sifa nyingine zinazolingana na hizo zinazotambulika na NBAA, Shahada ya Biashara au Sanaa aliyejiimarisha kwenye fani ya Uhasibu, Stashahada ya Juu ya Uhasibu kutoka taasisi yoyote...
  13. Tumia akili

    Kitabu kilichoanza kuandikwa kisha kikaachwa kitamaliziwa katika hesabu hii

    Wakuu 'The clinic' walikutana wakiwa wanne. Recrato, Logasto na Financo walikuwa ndio wajumbe. Upande wa pili alikuwa amekaa Director akiongoza. Alianza kuwaambia majukumu yao, "miaka miwili ijayo sitaendelea tena, mnatakiwa kusimamia ogani." Ingawa haipo, itahakikisha kwamba hakuna...
  14. chiembe

    CHADEMA tunahitaji hesabu ya fedha zinazokusanywa mitaani kwenye mifuko ya rambo, hazitolewi risiti, tunaweza kupigwa na wajanja!

    Tangu hii kampeni ianze, hakuna hata siku moja tuneambiwa makusanyo ni shilingi ngapi. Hela zinakusanywa kwenye mifuko ya rambo, anayezihesabu hajulikani ni nani, ni rahisi watu kujichotea tu na kuweka mifukoni mwao, hakuna risiti. Hakuna ufafanuzi nani anaongoza nini, na gharama za operesheni...
  15. Roving Journalist

    Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) 2020/21

    Charles Kichere (CAG) Hii ndiyo ripoti kamili ya Mdhibiti na Mkaguzi wa Hesabu za Serikali (CAG), Charles Kichere kwa Mwaka wa Fedha 2020/21, imewekwa hadharani Jumanne Aprili 12, 2022. Baadhi ya mambo yaliyoguswa: Mashirika ya Umma kutopeleka michango Sh bilioni 129.33 Mashirika ya umma...
  16. Jamii Opportunities

    Msaidizi wa Hesabu (Accounts Assistant), Halmashauri ya Wilaya ya Musoma (1 Post)

    MSAIDIZI WA HESABU (ACCOUNTS ASSISTANT) - 1 POST POST CATEGORY(S) ACCOUNTING AND AUDITING EMPLOYER Halmashauri ya Wilaya ya Musoma APPLICATION TIMELINE: 2022-04-12 2022-04-25 JOB SUMMARY N/A DUTIES AND RESPONSIBILITIES Kuandika na kutunza “register” zinazohusu shughuli za uhasibu...
  17. S

    Nafasi ya kazi kwa walimu wa hesabu

    Tunahitaji walimu wa hesabu kuanzia form 1 hadi 6. Kazi inafanyika online na utapewa test kabla ya kuanza. Kwa mwenye uhitaji tuma email: rubysinc2012@gmail.com
  18. Kasomi

    6174: 'Kaprekar's Constant' uvumbuzi uliowatatiza wataalamu wa hesabu kwa zaidi ya miongo 7

    6174: Kwanini takwimu hii imewatatiza wataalamu wa hesabu kwa zaidi ya miongo 7? Itazame takwimu hii: 6174. Kwa mtazamo wa kwanza, huenda sio kitu kikubwa - lakini imewatatiza wataalamu wa hesabu tangu mwaka 1949. Kwanini? Haya ni mambo ya kustaajabisha na unayostahili kuyafahamu mwenyewe...
  19. J

    Putin atafanya nini baada ya kuiangusha Serikali ya Ukraine? Au alikurupuka kwa hasira?

    Wakuu habari, Russia yupo na uwezekano mkubwa wa kuiangusha Serikali ya Ukraine, japo Ukraine anaonyesha ustahimilivu lakini hawezi kudumu milele. Sasa tukiangalia kiini cha hii vita ni Serikali ya Ukraine kukataa ,matakwa ya Putin ambayo yangemfanya Putin kuwa na control na sera za Ukraine...
  20. M

    Hesabu hii ndiyo inawaumiza Vichwa wa Magogoni na Chamwino na wale wa Kisutu na Lumumba kuhusu Gaidi wa Kusingiziwa

    1. Je, akiachiwa hatosababisha HATARI ya Kiusalama? 2. Je, akiachiwa hatotumika na Maadui wa Mzanzibari Kumdhoofisha Kisiasa? 3. Je, akiachiwa hawezi kutumia kuwepo Kwake Lupango kama Turufu ya kutuomba Watanzania tumpe nchi 2025? 4. Je, akiachiwa sasa Chama chake hakitokuwa kimepata Agenda...
Back
Top Bottom