Wanaukumbi.
🚨 🇮🇱🇱🇧HEZBOLLAH MISSILE IMPACT IN ISRAEL KASKAZINI
Manara: Zaidi ya 50% ya nyumba, jumla ya majengo 86, yameharibiwa.
Metula: Nyumba 9 zimeharibiwa.
Waliopoteza maisha wameripotiwa kuwa wanajeshi 5 wa Israel na wapiganaji 18 katika mzozo huo.
Zaidi ya Waisraeli 20,000...
Wamehofia kwamba IDF inafanya mpango wa kuwavamia, mpaka sasa wamepoteza wapiganaji 123.
====
Hezbollah has begun withdrawing its specila Radwan forces from southern Lebanon over the weekend, amid fears over a surprise IDF attack and escalation of the conflict in Israel's northern border...
Israel's Prime Minister Benjamin Netanyahu has said that if Lebanon's Hezbollah opened a second front in the ongoing war between Israel and Hamas, then he would bring devastation in southern Lebanon and turn Beirut into today's Gaza.
"If Hezbollah decides to open an all-out war, then with its...
Maelezo ya picha,
Naibu Mkuu wa Hezbollah, Sheikh Naim Qassem, ameiambia BBC hatari ya mzozo wa kikanda ni ya kweli wakati huu vita vya Israel-Hamas vikiendelea
Saa 2 zilizopita
Kamanda wa pili wa Hezbollah - wanamgambo wenye nguvu wanaoungwa mkono na Iran nchini Lebanon - amesema mauaji ya...
Itakua kuna mtu kamtonya kiongozi wa Hezbollah kwamba kwa sasa Israel wana hasira isiyo na kifani na kujaribu ugomvi nao ni kujitakia kipigo cha mbwa, walisubiriwa watangaze vita, nyuzi zikaanzishwa humu, mzee wa watu alipopewa mic atangaze vita, akabwatuka mikwara kisha muda wa kulala ulipofika...
Hezbollah ilianzishwa rasmi mnamo mwaka 1985 huku lengo kuu ikiwa ni kulinda ardhi ya Lebanon dhidi ya utawala wa Israel kuivamia Lebanon.
Hezbollah ina askari ambao ni muslims, shia, sunni na wakristo.
Hezbollah wapo vizuri hasa katika kuilinda Lebanon dhidi ya uvamizi kama ilivyotokea First...
Supapawa anapata tabu sana, mpaka amefuata msaada kwa wakimbizi na magaidi wa kidini......
Most Palestinians sent to the front lines in Ukraine are from Ein Al-Khalwa, the biggest camp for Palestinian refugees in Lebanon
Russian organizations reportedly offered $350 to convince Palestinian...
The Lebanese Hezbollah resistance movement has announced the arrival of a second Iranian tanker ship loaded with diesel in Syria in order to help ease crippling fuel shortages in crisis-stricken Lebanon amid a dire economic crisis.
Hezbollah's media relations office, in a statement released...
Hizbullah: Shambulio la Muqawama dhidi ya utawala wa Kizayuni ni jibu kwa uchokozi wake
Naibu Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesema: shambulio la maroketi lililofanywa jana asubuhi kulenga ardhi za Palestina inayokaliwa kwa mabavu (Israel), lilikuwa jibu mwafaka kwa uchokozi wa siku ya...
Umetimia mwaka mmoja tangu kuuawa kwa Kiongozi wa ngazi ya juu wa Jeshi la Iran, Brigedia Jenerali Qasem Soleimani, aliyeuawa kwa shambulio la ndege ya Marekani isiyokuwa na rubani alfajiri ya Januari 3, 2020 mjini Baghdad nchini Iraq, akiwa na Abu Mahdi al-Muhandis, kiongozi wa kundi la Kata'ib...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.