hezbollah

  1. Ritz

    Yanayojiri vita yaIsrael dhidi ya Hezbollah

    Wanaukumbi. 🚨 🇮🇱🇱🇧HEZBOLLAH MISSILE IMPACT IN ISRAEL KASKAZINI Manara: Zaidi ya 50% ya nyumba, jumla ya majengo 86, yameharibiwa. Metula: Nyumba 9 zimeharibiwa. Waliopoteza maisha wameripotiwa kuwa wanajeshi 5 wa Israel na wapiganaji 18 katika mzozo huo. Zaidi ya Waisraeli 20,000...
  2. MK254

    Hezbollah waanza kutoroka Kusini baada ya kuhofia mashambulizi ya IDF

    Wamehofia kwamba IDF inafanya mpango wa kuwavamia, mpaka sasa wamepoteza wapiganaji 123. ==== Hezbollah has begun withdrawing its specila Radwan forces from southern Lebanon over the weekend, amid fears over a surprise IDF attack and escalation of the conflict in Israel's northern border...
  3. Jackal

    Netanyahu Awaonya Hezbollah Ataibadili Beirut Kuwa Gaza Kama Wakianzisha Vita Nyingine Dhidi Ya Israeli

    Israel's Prime Minister Benjamin Netanyahu has said that if Lebanon's Hezbollah opened a second front in the ongoing war between Israel and Hamas, then he would bring devastation in southern Lebanon and turn Beirut into today's Gaza. "If Hezbollah decides to open an all-out war, then with its...
  4. M

    Hezbollah yaonya vita vya kikanda ikiwa mashambulizi Gaza yataendelea

    Maelezo ya picha, Naibu Mkuu wa Hezbollah, Sheikh Naim Qassem, ameiambia BBC hatari ya mzozo wa kikanda ni ya kweli wakati huu vita vya Israel-Hamas vikiendelea Saa 2 zilizopita Kamanda wa pili wa Hezbollah - wanamgambo wenye nguvu wanaoungwa mkono na Iran nchini Lebanon - amesema mauaji ya...
  5. MK254

    Hezbollah ilisubiriwa kuingia kwenye vita, kiongozi wao kabwatuka mikwara kisha kaenda kulala zake

    Itakua kuna mtu kamtonya kiongozi wa Hezbollah kwamba kwa sasa Israel wana hasira isiyo na kifani na kujaribu ugomvi nao ni kujitakia kipigo cha mbwa, walisubiriwa watangaze vita, nyuzi zikaanzishwa humu, mzee wa watu alipopewa mic atangaze vita, akabwatuka mikwara kisha muda wa kulala ulipofika...
  6. mugah di matheo

    Hezbollah waanza kupewa dawa ya moto

    Mapigano yanaendelea kwenye mpaka wa Israel na Lebanon, ambapo hadi dasa wanamgambo 40 wa hezbollah wameuawa. Source: CRI Kiswahili
  7. 100 others

    Hezbollah wana nguvu kiasi gani kama Jeshi?

    Hezbollah ilianzishwa rasmi mnamo mwaka 1985 huku lengo kuu ikiwa ni kulinda ardhi ya Lebanon dhidi ya utawala wa Israel kuivamia Lebanon. Hezbollah ina askari ambao ni muslims, shia, sunni na wakristo. Hezbollah wapo vizuri hasa katika kuilinda Lebanon dhidi ya uvamizi kama ilivyotokea First...
  8. MK254

    Aibu nyingine - Urusi inapata msaada kutoka kwa wakimbizi wa Palestina na magaidi wa Hezbollah

    Supapawa anapata tabu sana, mpaka amefuata msaada kwa wakimbizi na magaidi wa kidini...... Most Palestinians sent to the front lines in Ukraine are from Ein Al-Khalwa, the biggest camp for Palestinian refugees in Lebanon Russian organizations reportedly offered $350 to convince Palestinian...
  9. jollyman91

    Second tanker ship carrying Iranian fuel to Lebanon arrives in Syria’s Baniyas port: Hezbollah

    The Lebanese Hezbollah resistance movement has announced the arrival of a second Iranian tanker ship loaded with diesel in Syria in order to help ease crippling fuel shortages in crisis-stricken Lebanon amid a dire economic crisis. Hezbollah's media relations office, in a statement released...
  10. STRUGGLE MAN

    Hezbollah ililenga roketi 20 Israel kama majibu ya roketi zilizolengwa katika ardhi ya Lebanon

    Hizbullah: Shambulio la Muqawama dhidi ya utawala wa Kizayuni ni jibu kwa uchokozi wake Naibu Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesema: shambulio la maroketi lililofanywa jana asubuhi kulenga ardhi za Palestina inayokaliwa kwa mabavu (Israel), lilikuwa jibu mwafaka kwa uchokozi wa siku ya...
  11. Sam Gidori

    Mwaka mmoja baada ya kuuawa kwa Jenerali Qasem Soleimani: Iran yaapa kulipiza kisasi, Marekani yajihami

    Umetimia mwaka mmoja tangu kuuawa kwa Kiongozi wa ngazi ya juu wa Jeshi la Iran, Brigedia Jenerali Qasem Soleimani, aliyeuawa kwa shambulio la ndege ya Marekani isiyokuwa na rubani alfajiri ya Januari 3, 2020 mjini Baghdad nchini Iraq, akiwa na Abu Mahdi al-Muhandis, kiongozi wa kundi la Kata'ib...
Back
Top Bottom