hezbollah

  1. U

    Kambi za magaidi wa Hezbollah Lebanon hakukaliki, waanza kuficha makombora yao, Israel yasema kipigo kiko palepale

    Wadau hamjamboni nyote? Baada ya kuona kuwa Israel haitanii sasa uongozi wa magaidi hatari wa Hezbollah umeanza kuhamisha silaha zake za hatari ikiwemo makombora huku ikijiandaa kukabiliana vikali na IDF. Serikali ya Israel imeapa kuwa iwe isiwe lazima waifundishe adabu magaidi hayo Taarifa...
  2. A

    Submarine network kutoka Lebanon to Cyprus ndio chanzo ya kuwauwa Macommander Wa Hezbullah

    Habari ndio hio, watu wanawasifia Israel oh anauwezo wa kugundua kila kitu, hamna lolote. Sababu ya Israel kuwauwa makamanda wa Hezbullah ni Cyprus, alijidai yeye ndio atagharamia kila kitu na ku control kumbe ni Israel ndio katoa pesa ili apate access ya kuwanasa Hezbullah ukweli ndio huo. ---...
  3. Jackal

    Mpaka sasa Israeli imeua nusu ya Makamanda wa Hezbollah huko Kusini mwa Lebanon

    Israel has killed 450 Hezbollah terrorists since outbreak of fighting after October 7th, including half of the Lebanese terror group’s officers on the front. --- IDF has killed half of Hezbollah commanders on Israeli border, says Defense Minister Israel has killed 450 Hezbollah terrorists since...
  4. Ritz

    Hezbollah yachoma tena Israel

    Wanaukumbi. Ripoti ya roketi kugonga hoteli ya Gosher na roketi iligonga Barja moja kwa moja Kombora la "Kornet" lilitua kwenye shabaha ya kijeshi karibu na makazi ya Avivim huko Magharibi mwa Galilaya. Pia Hezbollah ilifafanua kuwa siku ya Jumatatu tarehe 07-08-2024 Mujahidina wa Islamic...
  5. A

    Israel Kasalim Amri Kwa Hezbollah

    Waisrael huko na magazeti yao wamegundua moto unao wangojea huko Lebanon, sio Missiles tu zinawasubiria na drones, lakini kuna ndege vita kuliko F16, ambayo wanatamba nayo Israel ni drones ambazo hazina tofouti na F16 zina ruko 30,000ft. Zinauwezo wa kupita kwenye Radar bila kuonekana, na zina...
  6. Ritz

    Iran wamewaambia UN iwapo Israel itaivamia Lebanon, mashirika yote ya Kiislamu ya Mashariki ya Kati yatakwenda Lebanon na kujiunga na Hezbollah"

    Wanakumbi. MPYA: 🇮🇷🇮🇱 Iran katika Umoja wa Mataifa: "Iwapo Israel itaivamia Lebanon, mashirika yote ya Kiislamu ya Mashariki ya Kati yatakwenda Lebanon na kujiunga na Hezbollah" Iran imesema katika Umoja wa Mataifa kwamba iwapo Israel itaanzisha vita vikali dhidi ya Hizbullah nchini Lebanon...
  7. MK254

    Mataifa ya waarabu yaanza kuagiza raia wake waondoke Lebanon, huku Israel ikianza maandalizi ya kuifanya Lebanon iwe kama Gaza

    Lebanon iliachia nchi yake itumike na magaidi wa kiislamu, sasa leo hii inapotaka kufanywa kama Gaza, waarabu wanaihama badala ya kubaki wapambane dhidi ya Israel. ================== The Kuwaiti Foreign Affairs Ministry has called on its citizens who are currently in Lebanon to leave the...
  8. Ritz

    Hezbollah imekataa mazungumzo yoyote na Israel wataka vita waache kuwaonea raia wa Gaza

    Wamakumbi. BREAKING: 🇱🇧🇮🇱 Hezbollah imekataa mazungumzo yoyote na Israel. Vita vya kiwango kamili ni hakika zaidi Mjumbe Maalum wa Marekani, Amos Hochstein, anatangaza kwamba juhudi za kidiplomasia za kutuliza mivutano kati ya Israel na Hezbollah zimeshindwa rasmi, kwani Hezbollah...
  9. Ritz

    Kiongozi wa Hezbollah Nasrallah: "Ikiwa Cyprus itafungua viwanja vyake vya ndege kwa ndege za kivita za Israeli, tutashambulia Cyprus pia"

    Wanaukumbi. BREAKING: 🇱🇧🇨🇾🇮🇱 Kiongozi wa Hezbollah Nasrallah: "Ikiwa Cyprus itafungua viwanja vyake vya ndege kwa ndege za kivita za Israeli, tutashambulia Cyprus pia" Sehemu muhimu zaidi za hotuba yake ya leo: - Tuna intel kwamba Jeshi la Anga la Israeli linafanya mazoezi huko Kupro...
  10. George Betram

    Kiongozi wa Hezbollah: Hakuna sehemu itabaki salama ndani ya Israel

    Nasrallah ameipa onyo Israel kuhusu vita inayotazamiwa kutokea baina ya Lebanon na Israel, lakini pia Hezbollah imetoa onyo kwa nchi ya Cyprus endapo itakubali kutumiwa na Israel katika vita hivyo. Inaonekana Hezbollah hawatanii, Israel ana kazi kubwa ya kufanya hapo mashariki ya kati...
  11. MK254

    Mtaalam mkuu wa mizinga ya rocket ya Hezbollah auawa na Israel

    Mabkira wanaendelea kuisha kule akhera --- The Israel Defense Forces killed a senior member of Hezbollah’s rocket unit in a drone strike in southern Lebanon Monday morning, as a top Biden administration official was in Jerusalem for meetings with Israeli leaders aimed at preventing further...
  12. Kapepo

    Israel achoma Hezbollah

    Israel akitembeza kichapo kizito kwenda kwa Hesbollah kwa kutumia style zile za kizamani 😂😂😂 source aljazerra
  13. MK254

    Kiongozi mwingine wa Hezbollah auawa

    Mabikira wanaendelea kupungua kule akhera.... A senior Hezbollah official was eliminated in a strike in the village of Jennata in southern Lebanon's Tyre District Thursday night, Saudi news sources Al-Arabiya and Al-Hadath reported. Other than the Hezbollah official, another person was killed...
  14. MK254

    Hezbollah wakiri kupoteza kamanda wa ngazi ya juu

    Je, akifa kamanda naye hupewa yale majini mabikira 72 au atazidishiwa? ============ BEIRUT, June 12 (Reuters) - An Israeli strike on the village of Jouya in southern Lebanon late Tuesday killed a senior field commander of Hezbollah and three fighters for the Lebanese armed group, three...
  15. M

    Jinsi Hezbollah inavyoitembezea kichapo Israel kimyakimya

    Siongei sana. Sina maneno mengi! Video yenyewe iliyosheheni operation za Hezbollah inajisemea. Tazama! https://m.youtube.com/watch?v=JpONxjW0X9Q
  16. 100 others

    Israel: Tupo tayari kwa vita kamili na Hezbollah/ Israel yashambulia kusini mwa Hezbollah

    Leo Israel imeshambulia kusini mwa Lebanon kwa ndege vita zake kama kitendo cha kulipiza tukio la Hezbollah kushambulia kaskazini mwa Israel kwa drone kuua mtu mmoja na kujeruhi wengine 10 leo mapema. Hezbollah walifanya shambulizi hilo kujibu kauli ya Netanyahu hapa juzi baada ya Netanyahu...
  17. Ritz

    Kiongozi Hezbollah, Nasrallah anawambia Israel: "Mnataka vita, anzisheni muone

    Wanaukumbi. 🇮🇱🇱🇧 Hapo jana Israel walisema wanaelekea kwenye uamuzi wa kuivamia Lebanon, leo Hezbollah wamerusha roketi kwenye kituo chao na kuua na kujeruhi makumi ya wanajeshi. Wakati huo huo, kiongozi wa Hezbollah, Nasrallah alisema: "Mnataka vita, anzisha." Hezbollah, baada ya kutambua...
  18. U

    Israel kutangaza vita na Hezbollah muda wowote kuanzia sasa

    Wadau hamjamboni nyote? Taarifa kamili hapo chini: Mungu ibariki Israel Shmona, June 4, 2024. (Ayal Margolin/Flash90) IDF Chief of Staff Lt. Gen. Herzi Halevi said Tuesday that Israel is close to making a decision regarding Hezbollah’s daily attacks on northern Israel amid the Gaza war. “We...
  19. Sir John Roberts

    Israel yalalamika Hezbollah kupokea Mitambo ya ulinzi wa Anga (Air defense) kutoka Iran

    Katika hali ya kishangaza sana na kuuchekesha Ulimwengu taifa la mchongo Israeli leo limetoa taarifa kuwa wanamgambo wa Hezbollah kutoka nchi ya Lebanon 🇱🇧 wamepokea mitambo ya ulinzi wa anga kutoka Iran ( hii ni kweli ). Na kuelezea masikitiko yao kuwa dunia ipige kelele kitendo hicho...
  20. kimsboy

    Tokea october 7 wanajeshi zaidi ya 2000 wa Israel wameuliwa na Hezbollah

    Tokea October 07 Mashambulizi ya Hezbollah kaskazini mwa Israel yamewaangamiza wanajeshi zaidi ya 2000 wa Israel na kuwaacha maelfu wakiwa vilema Hezbollah wamefanya zaidi ya operesheni 1650 dhidi ya Israel https://twitter.com/PressTV/status/1783463849414295849?s=19 Hezbollah wenyewe...
Back
Top Bottom