hezbollah

  1. MK254

    Watu 9 waripotiwa kufariki baada ya vifaa vya mawasiliano (Pager) za Hezbollah kulipuka kwa mkupuo; Balozi wa Iran nchini Lebanon aripotiwa kujeruhiwa

    Hili shambulizi ni bab-kubwa, sijui Israel kachezaje, magaidi wa Kiislamu 1,200 walipukiwa na pagers zao, wengine walitokwa na damu kwenye maskio, akiwemo balozi wa Iran. _----------+ Iranian ambassador Mojtaba Amani was reportedly injured in a Hezbollah explosion, according to state-owned...
  2. I

    Israel imefanya mashambulizi kadhaa ya anga kusini mwa Lebanon na kumuua kamanda wa kikosi maalum cha Hezbollah

    Israel imeanzisha mashambulizi kadhaa kusini mwa Lebanon katika siku ya mwisho, likiwemo lililomuua kamanda mkuu wa Hezbollah. Mohammed Qassem Al-Shaer, kamanda wa kikosi cha wasomi wa Hezbollah cha Radwan Force, aliuawa katika shambulio katika kijiji cha Qaraoun katika wilaya ya Beqaa...
  3. Mlaleo

    Hezbollah bado wapo kwenye mshtuko wa moyo hawaamini mashambulio yao yamefelije! Waliwahiwa mapema kiufundi na IAF

    Kanali Anan Abbas, Mkuu wa Udhibiti katika chumba kikuu cha operesheni cha Kamandi ya Kaskazini, alifichua katika mahojiano na chombo cha habari cha Maariv siku ya Jumanne kwamba operesheni ya hivi majuzi dhidi ya Hezbollah ilihitaji miezi ya maandalizi ya kina. "Hezbollah inajaribu kutathmini...
  4. G

    Kitendo Cha Hezbollah kushambulia kuku wa Israel kwa Roketi za mamilion sio poa

    Nafikiri hata sponsor wao ajitafakari misaada anayowapa Kama inafikia lengo, unalengaje Banda la kuku Wakati adui wako anaua viongozi wa rank za juu Kila siku. Hadi second commander KUTOKA kwa first commender anayeongeaga kwa tahadhari akiwa zake shimoni Kama kuku aliona mwewe 😀😀😀
  5. Mathanzua

    Israel assassinates another Iran official, then commences "Pre-emptive attacks" against Hezbollah in Lebanon

    ISRAEL ASSASSINATES ANOTHER IRAN OFFICIAL, THEN COMMENCES "PRE-EMPTIVE ATTACKS" AGAINST HEZBOLLAH IN LEBANON August 24, 2024 Israel has assassinated the head of Iran's KHASH (Intelligence) Agency, in front of his home in Iran, and then commenced "pre-emptive" attacks against Hezbollah in...
  6. U

    Breaking News Kiongozi Mkuu upinzani Lebanon ataka Hezbollah wapokonywe silaha kuepusha majanga zaidi, magaidi hawezi ishinda Israel

    Wadau hamjamboni nyote? Taarifa kutokea Lebanon Wenye nchi yao sasa wamecharuka wanataka Hezbollah wafurushwe nchini mwao na Serikali yao iwe na mamlaka kamili ya kutawala Kwa nchi yote ya Lebanon Madhara ya Hezbollah kuendesha shughuli zao ni makubwa sana hivyo ni wakati muafaka kikundi...
  7. G

    Hamas / hezbollah wanapenda kutumia raia kama ngao, kwa maksudi wanatunza na kurusha silaha kwenye makazi ya watu, Gaidi ni gaidi hata awe ndugu !!

    Siku chache zilizopita Israel imelipua ghala kuu la silaha wanazotumia Hezbollah kushambulia miji ya Israel, Ghala limejengwa kati kati ya mji wenye makazi ya watu wengine, Israel iliposhambulio kuna makombora yalianza kufyatuka bila mpangilio, Watu kadhaa wamefariki lakini hii imefichwa sababu...
  8. U

    Kiongozi Mkuu wa magaidi ya Hezbollah Hassan Nasrallah kuzungumza na vyombo vya habari Duniani kote leo saa 12 jioni

    Wadau hamjamboni nyote? Kiongozi Mkuu wa Hezbollah ataongea na waandishi habari Leo jioni saa 12 Itakuwa hutuba ya kihistoria itakayotikisa Dunia yote Tutakujuza Live UpdateFrom the Liveblog of Sunday, August 25, 2024 Nasrallah expected to give speech at 6 p.m. Today, 10:25 am 3...
  9. U

    IDF yaandika historia tena, ndege zake 100 zasambaratisha kambi za Hezbollah, walikuwa wanajiandaa kuishambulia Israel

    Wadau hamjamboni nyote? Israel yafanya kufuru Leo asubuhi Iko hivi Hezbollah walishajiandaa kuisambaratisha Israel hasa maeneo ya kati na kaskazini Hata hivyo idarayaza ujasusi za Israel zilipata taarifa kamili ya mipango hiyo ya magaidi Sasa walichofanya IDF ni kuwawahi Kwa kuishambulia...
  10. Ritz

    Israel waomba msaada wa kimataifa kwa Israel dhidi ya Iran na Hezbollah

    Wanaukumbi. Hezbollah wanaendelea kushambulia maeneo muhimu ya jeshi ndani ya Israel. 🚨🇱🇧🇮🇱 FM KATZ AWATAKA MSAADA WA KIMATAIFA KWA ISRAEL DHIDI YA IRAN NA HEZBOLLAH Waziri wa mambo ya nje Israel Katz amewaandikia makumi ya mawaziri wa mambo ya nje akitaka kuungwa mkono na hatua za Israel...
  11. U

    Kwa mara nyingine leo ijumaa kiongozi mwingine wa Hezbollah Saeed Mahmoud Diab auawa kwa drone ya IDF, akiendesha gari

    Wadau hamjamboni nyote? IDF wameamua na wamedhamiria kuhakikisha kuwa Viongozi white wa magaidi wanatangulia mbele za haki Nia wanayo, sababu wanayo na uwezo wanao! Leo kwa mara nyingine tena wamefanikiwa kuliua kubwa lingine la magaidi likiwa ndani ya gari lake huko Lebanon ya Kusini IDF...
  12. Mlaleo

    Israel yalipua Ghala la Hezbollah Nchini Lebanon- Moto wa milipuko unaendelea kuwaka

    Explosions after an Israeli airstrike that reportedly targeted ‘Hezbollah weapons depot’ in Lebanon An Israeli strike on Monday evening targeted a Hezbollah arms depot in Lebanon's eastern Bekaa Valley, two security sources told Reuters. There were no immediate reports of casualties, the...
  13. Ritz

    Mossad wakamatwa wakitaka kuingia Lebanon kumuua kiongozi wa Hezbollah

    Wanaukumbi. Majasusi wa Israel wa Mossad wadakwa wakijaribu kuingia Lebanon kwenda kumuua Syed Nasrullah kiongozi wa Hezbollah.
  14. U

    Hezbollah yaanza kuishambulia Israel kwa roketi nzito za angani na ardhini, kulipa kisasi mauaji ya makamanda wake

    Wadau hamjamboni nyote? Hezbollah imeanza kuishambulia vikali Israel kama walivyoahidi Ili kulipa kisasi dhidi ya mauaji ya makamanda wao wawili Ismail haniyeh na shukru Hadi muda huu bado hali ni tete nchini Israel kufuatia shambulizi hilo la nguvu kutokea angani na ardhini We will keep you...
  15. U

    Kiongozi Hezbollah kanda ya Kusini Lebanon wa kundi la Southern Front auawa na shambulio la ndege zisizo na rubani za IDF

    Wadau hamjamboni nyote? Kazi inaendelea kuyaua magaidi yasiyo na Huruma Kiongozi huyo mwandamizi anaeyenda kwa jina la Ali Abd Ali ameuawa kwenye shambulizi katika mji wa Bazourieh karibu na pwani ya jiji la Tyre Ali Abd Ali. Aliongoza brigedi ya Kusini na akihusika kupanga na kuteketeza...
  16. U

    Kiongozi mwingine Hezbollah auawa kwa drone, aliongoza kurusha maroketi Israel, yote yametunguliwa angani na kudondokea Lebanon

    Wadau hamjamboni nyote? Taarifa za muda mfupi uliopita Gaidi mwingine wa Hezbollah ameuawa kwa drone ya IDF baada ya kuongoza kurusha maroketi ya kadhaa kuelekea kaskazini mwa Israel. Hata hivyo hakuna roketi hata moja lililofanikiwa kutua Israel kwani yalitunguliwa yote yakiwa hewani na...
  17. N

    Fuad Shukr, 2nd commander wa Hezbollah na Mshauri mkuu wa kiongozi wa Hezbollah Hassan Nasrallah auwawa na IDF nchini Lebanon. Hezbollah wathibitisha

    Hezbollah wamethibitisha kuuwawa kwa kamanda wao muhimu ambaye ni moja ya waasisi wake na Mshauri mkuu wa kiongozi wa Hezbollah Hassan Nasrallah , Fuad Shukr katika shambulizi la anga la kushtukiza katika maficho yake mjini Beirut, Lebanon Jumanne tarehe 30, Julai 2024. Shambulizi la anga...
  18. U

    Mkuu wa kundi la Hezbollah Dokta Nassan Nasrallah aagiza Jeshi lake kuanza kuishambulia Israel kuanzia kesho Agosti 2, 2024

    Wadau hamjamboni nyote? Kumekucha na amri imeshatolewa kwa magaidi kuanza kuichakaza Israel kesho kulipa kisasi mauaji ya Ismael haniyeh Muda wa mashambuluzi ni baada ya maziko ya Ismael haniyeh/ sala ya ijumaa, hivyo ni takribani kuanzia saa 7 mchana na kuendelea kwa saa za kwetu Afrika...
  19. GENTAMYCINE

    Kwahiyo Lebanon wanaowahifadhi Magaidi wa Hezbollah Kuishambulia Israeli walikuwa wanasubiri Kiongozi wao Auliwe leo ndiyo waseme hawataki Vita?

    BBC: Lebanon yasema haitaki Vita kwa sasa Kudadadeki zao waambieni Israeli ndiyo Kwanza imeanza Kazi na leo Netanyahu kasema Vita ndiyo imeanza rasmi.
  20. H

    Huu ni wakati Hezbollah anaipiga Israel vibaya mno

    Narudia tena Israel anaenda kupigwa vibaya mno na Wana Lebanon Hezbollah. Kwa kilichowahi kutoka 2006 ambako Israel alipigwa na Hezbollah Hadi akakimbia ndio naona hii inatokea tena, Hezbollah hawa watu ni hatari sana. Hadi Marekani amemwambia Israel asiingie vitan na Hezbollah Kwa sababu...
Back
Top Bottom