hip hop

  1. Kindoemmanuel

    Gwair - Singida Dodoma (Lyrics)

    Singida, Dodoma... Man, I wish ungemuona, anavyojitingisha Jinsi nyuma alivyoshona Yeah! Singida, Dodoma... Yeah, mtoto amenona na anavyotetemesha Zaidi hata tranformer/ X2 (Verse 1) Yo! Kwa jina ni Irene, huyu bonge la queen Mtoto wa ku'shine kwenye cover za magazine Age yake ni kama twenty...
  2. torvic

    Beef zilizotikisa vikundi vya hip hop kwa enzi zile

    Wadau, Nianze na motive yangu ya 2022 UTAJIRI NI SIRI NA SIRI NDIO UTAJIRI WENYEWE Twende madani, mashabiki wazamani wa hip hop wanajua kulikuwa na vikundi vya hip hop matata sana na vilikuwa vina moto na amsha amsha nyingi sana kwa kipindi iko. Kuna vikundi kama Kikosi cha mizinga chini ya...
  3. Lyrics Master

    Wimbo gani wa Hip Hop/Bongo Flava ambao hujasahau mistari yake?

    JAMANI EEEH. NYIMBO GANI YA ZAMANI YA HIP HOP BONGO FLEVA HADI LEO HAUJASAHAU MISTARI YAKE? MIMI KUNA HII HAPA CHINI YA JCB INAITWA SINA TAXI REMIX. HEBU TILILIKA NAYO HUKU UKITUPA NA WEWE LYRICS ZA NYIMBO UNAYOKUMBUKA HADI LEO. Eni sina, Wamenipukutisha mapene kichina, Usiku wa manane after...
  4. barcelonista

    Watu wa Hip-Hop ebu tukutane hapa kidogo

    Wakuu kwema? Watu wa Hip-Hop ebu tukutane hapa kidogo,,,Hivi ni versi gani kali ya Hip-Hop hapa Bongo uliwahi kuisikia mpaka ukasema yes hii ni versi bora kabisa kuwahi kuisikia hadi leo huchoki kuisikiliza,,, Kwangu mm versi yangu bora ya muda wote alifanya Albert Mangwea kwenye ngoma...
  5. Mzee Tumbo

    Si lazima uwe na Pesa ili uwe na Maendeleo: Elimu ya Matumizi ya Choo

    Doro aliimba stimu ya Kuber ndo imeshaleta matata Yeye ndo anajua jinsi ipi alikua na demu mkali ila umaarufu akauweka pembeni Akatia usanii mbele kama ule wa Prof Jize, na skills za Weusi jinsi ambavyo walimshirikishaga Chin Bees mnyama ilihali wao pia wanaimba. Na unaeza cheki skills za Joh...
  6. bahati93

    Lords eyes kama jigga kwa michano

    Huyu mwamba ni habari nyingine mazeee Ana mistari matata sana, kwenye hii sanaaa Leo nagusia sehemu ndogo sana ya mistari yake kwenye track mpya ya pamoja kutoka weusi (mbuppu) Pia nitaonyesha uhusiano wa michano yake na jigga Daah huyu jamaa anajua ukiachilia flow hatari haijawahi tokea...
  7. I_manyota

    EVE - (Ruff Ryders First-lady )

    Eve Jihan Jeffers Cooper au wengin tunamjua kama EVE, rapper wa kike kutoka nchini Marekani, Philadelphia huko kwa kina Meek Mill na wengine wengi. Watoto wa 2000's ni ngumu kumjua huyu mwanamama unless uwe unapenda kusikiliza ngoma ambazo zilikua zina heat kipindi unazaliwa 😂 😂, usinune bhana...
  8. I_manyota

    Hard to choose thread nimeona niwashirikishe wakuu tuanze na ipi hapa?

    Naandika nafuta maana nikiandika hii nyingine inakuja naona kama iko mzuka kuanza nayo nikitaka kuanza nyingine inakuja sasa nimekaa hapa hata sielewi nianze ipi nimalize na ipi 😫😀😀 Wazee list yenyewe hii hapa inayovuruga kichwa Quincy Jones - Producer nambari moja dunia kwa upande wangu...
Back
Top Bottom