hisia

Ghizela (Hungarian: Gizellafalva) is a commune in Timiș County, Romania. It is composed of four villages: Ghizela, Hisiaș (Hosszúág), Paniova (Panyó) and Șanovița (Sziklás).

View More On Wikipedia.org
  1. Frumence M Kyauke

    Harmonize: Natumaini urafiki wangu na Kajala Masanja utarejea

    Hivi majuzi mwanamuziki Rajab Abdul Kahali almaarufu kama Harmonize alizindua albamu yake ya pili 'High School'. Staa huyo wa Bongo alitumia ukurasa wake wa Instagram kufafanulia mashabiki wake maana ya nyimbo ishirini zilizo kwenye albamu yake mpya. Harmonize alisema wimbo nambari saba katika...
  2. Surya

    Hisia na mihemko havijawahi kumuacha mtu salama

    Mambo ni mengi, maisha yanazidi kwenda kasi sana, mfumuko wa bei, Tanzania ya viwanda vya mikopo tunazidi kusukuma gurudumu. Niende kwenye mada, Wanaume sisi ni viumbe wenye uthubutu sana, hatupendi kushindwa kupata kile tukipendacho, tutatumia nguvu nyingi, akili na muda mwingi, ili tu kupata...
  3. plan z

    Mwanaume usitumie hisia kwa mwanamke, tumia akili

    Watu wengi hufikiri wanawake wanavutiwa na wanaume ambao ni nice, wenye mali, nyumba, magari, anayejali na vitu kama hivyo. Ukijaribu kumuuliza mwanamke mmoja mmoja ni aina gani ya mwanaume anamhitaji, asilimia kubwa watakuambia tunahitaji mwanaume ambaye ni nice, anayenipa pesa, anayetuma na ya...
  4. Superbug

    Hizi ndio sex organs za mwanamke zinazoamsha hisia

    1.Uke 2.Mapaja 3.Matiti 4.Kitovu 5.Hipsi 6.Makalio 7.Lipsi 8.Macho 9.Kiunonyigu Hivi ndio vitu ambavyo kimojawapo sisi wanaume hupenda.
  5. sky soldier

    Tukiweka hisia pembeni, ni wazi hakuna anayefikia hata robo ya uwezo wa Haji Manara

    - Elimu yake watu hawana muda nayo kujua alisomea wapi maana balaa analofanya mbele ya macho yetu ni ushahidi tosha shughuli imempata anaeiweza, wapo kina gift macha wana degree zao lakini wamezimwa na nyota kali ya Manara. - Manara ndie msemaji anaelipwa mno, milioni 9 kwa mwezi, huu ni...
  6. my name is my name

    Hivi wazungu hawawezi kutengeneza movies/ series bila gay scenes?

    Movies zao karibia zote lazima ziwe na characters ambao ni gays. Nlikuwa nangalia Bridgerton, nmeangalia mpk episode ya 3 sijaona scenes zenye hyo mambo mpk nkajisemea wamejtahidi kweli 😂 Hee kufika episode ya 4 wameonyesha gays km kawaida yao. Halafu scene yenyewe ina km sekunde 5 tu hta...
  7. Maleven

    Hisia za mapenzi zinaweza kumfanya mtu asiweze kufanya kazi?

    Mdogo wangu yuko katika kilele cha balehe, sasa hakwenda shule, jana niliambiwa anaumwa, leo najuzwa kua ni ashki zimemshika sana kiasi cha kuona kuumwa. Kwakua ni mambo ya kike, na siwezi ongea nae moja kwa moja wala yeye hawezi kuniambia mimi ila nawaza huu sio ugonjwa kweli au ni kawaida kwa...
  8. C

    Atakuwa ananipenda au ananitamani tu?

    Kuishi kwingi unapitia mengi bandugu... Nime experience aina ya mahusiano ambayo sijawahi ona. Mwaka 2015 nilikutana na mdada mmoja nikiwa likizo fupi home. Hatukutongozana wala kuwa pamoja kivile but ilitokea siku moja niko tiz akataka nayeye ashiriki nikamkaribisha baada ya hapo nikajilia...
  9. scientificall

    Hana hisia kabisa na mke wake wa ndoa

    Habari za mda huu wana jamvi ameniomba nifikishe uzi huu yaezekana akapata suruhisho au ushauri kutoka kwetu kwani hili ni jukwaa muhimu sana katika hili. Ni mtoto wa mjomba angu ambae ni wakiume. Kutokana na ukaribu wangu nae haswa katika kumshaur mambo mbali mbali katika maisha toka bado...
  10. heartbeats

    Lengo kuu la kuishi/Uhai ni ku enjoy hisia zetu na kuzi balance, kifo ni matokeo ya ku over/under feelings

    Habari wakuu hope mpo njema sana na sawia, kabla sijaingia katika maada kwanza tupeane pole kwa mtikisiko wa sasa unao ikumba hii Dunia yetu, hatuna Dunia ingine ya kuhamia kwa uharaka, Hata kama ingekuwapo basi tungehamia lakini tungehamia na magonjwa yetu,dhiki zetu,njaa...
  11. P

    Makamu wa Rais Philip Mpango pole na hongera kwa hisia za Wanamtwara. Umeonesha uongozi bora

    Dkt.Mpango wewe nikiongozi uliyeonyesha UONGOZI BORA NA SI UTAWALA WA MABAVU. Hakika mbele za Mungu nakupongeza sana. Leo 26/7/2021 umehutubia wananchi wa Mtwara waliokusanyika katika kuweka jiwe la msingi hospitali ya kanda ya kusini.Katika kufuatilia waliopewa nafasi ya kuhutubia miongoni...
  12. Bazazi

    Tembea na hisia zako

    Uhusiano wa mapenzi ni aina ya mohawapo ya magonjwa ya akili. Unapoingia msombweni hakikisha unatembea na hisia zako. Siku moja nilikutana na sms ya betterhalf akimlalamikia mchepuko wake kuwa asiwe na hasira, apokee simu yake kwani ana hamu ya kusikia sauti yake. Ugomvu kuntu uliibuka maana...
  13. Mmawia

    Video: Bibi atoa ya moyoni kuhusu unyanyasaji wa Ole Sabaya Arusha

    Hakika watu walisema kuwa wakizuiliwa kusema ya moyoni basi hata mawe yatasema. Leo hii jijini Arusha kina mama wameamua kuyatoa yaliyo jaa mioyoni mwao juu ya Sabaya.
  14. M

    Hamis Tabasamu, Mbunge wa Sengerema usichokoze hisia za watu

    Leo wakati Rais wa Tanzania akihitimisha ziara yake mkoani Mwanza, aliongea na kundi muhimu sana katika jamii yoyote ile (vijana) Mh Rais aliwataka wabunge waliokuepo eneo hilo anhalau watoe salam. Mbunge wa Sengerema ndugu Tabasamu amewaambia vijana eti wasome waelewe ila serikalini hakuna...
  15. Mwamuzi wa Tanzania

    Dunia iko kasi, zamani mnachati kwa meseji na mpenzi wako usiku kucha unasikia hisia mpaka rohoni

    Daaaahhh kuna vitu ukivikumbuka unaweza kulia. Dunia iko kasi sana. Enzi zetu mnachati na mpenzi wako kwa sms mpaka unahisi Mungu dunia aliiumba kwaajili yenu tu. Sasa hivi mkichati kidogo tu mnaombana vikojoleo, mkitumiana chatting inakata kwa siku hiyo mnasubiri siku nyingine. Mkichati siku...
  16. Lager

    Baada ya hisia kuwa kali juu yake nimeamua kumrudia

    Ndio mimi nilieleta uzi humu ya kuwa nilimuacha lkn hisia juu yake zikiwa bado ni kali sana Nilijutia kumuacha na nikaona ya nini niumie angali badonampenda!, nimemrudia na mapenzi hivi Sasa ni motomoto. Nimeamua nimkubali hivyo alivyo hisia za kumpenda huyu manzi ni kali sana kumuacha ni sawa...
  17. Ethan Cruz

    Mwanamke humpenda mwanaume mwenye pesa ili maisha yake yaende, wengi hawana hisia za kimapenzi na wanaume hao

    Unavyodhani ndivyo, sivyo na huenda ukashangaa sana nikikuambia huu ukweli kuhusu wanawake. Huenda ukafikiria wanawake wengi hupenda wanaume wenye pesa na magari lakini sivyo hata kidogo. Kuna tofauti ya kuwa na hisia za mapenzi na kumpenda mtu ili aweze kuyasukuma maisha yako. Asilimia kubwa ya...
  18. Surya

    Jamani wengine tuna hisia kali

    Kuna tukio leo limenitokea. ngoja nisimulie hapa nipate kujua kiundani, nimefanyiwa makusudi au bila kujua. Leo mida ya jioni nilikua maeneo fulani kitaa nipo na washikaji zangu tunapiga story, ilikua nje ya ukumbi wa Games (PlayStation) tulikua watatu tunapiga story tumekaa kwenye bench na...
  19. Sky Eclat

    Kibonzo cha Kipanya; hekima ni kuwaacha wote watoe hisia zao

  20. ndege JOHN

    Hisia za mapenzi hamna siku hizi kwa sababu ya hizi smartphone

    Sasa hivi watu wako busy kuperuzi mitandaoni kwani dunia ni kama Kijiji mtu unapata vyote ambavyo unavihitaji.. Ukitaka kufurahi na kuvunja mbavu huitaji mpenzi akuchekeshe unaingia katika page za vituko unakutana na comedy. Ukitaka mtu wa kufanya naye sex unaingia tu katika site za X...
Back
Top Bottom