Tuesday , 10th May , 2016
Mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara kati ya wenyeji Ndanda FC na Yanga uliokuwa ufanyike Uwanja wa Nangwanda Sijaona, Mtwara sasa utafanyika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam Jumamosi.
Afisa habari wa Shirikisho la Soka nchini (TFF) Alfred...
Printer hp 7500 a wide format------laki 3
Tt560 speed lite neewer------------laki na nusu
Sigma lense 170-500----------------laki 4
Studio light na background yake laki 4
Kwa maelezo zaidi wasiliana nasi kwa 0717 040 837 au 0767 267
664
Isije ikawa mlikuwa mnafurahia tu kuja kupata futru jioni. Halafu baadaye muanze kutusumbua sisi. Mmepata nafasi ya kuongea na Rasi je mmemwambia haya...
1. Vijana wenu hatuna kazi
2. Hamjalipwa au mnasumbuliwa mafao
3. Mna matatizo kwenye kupata huduma za Afya
4. Vijana wenu wanaonewa na Vyombo...
Lazaro Nyalandu wa CHADEMA amerejea CCM kupitia mkutano mkuu wa CCM leo jijini Dodoma.
Nyalandu aliyekuwa mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA amesema walikuwa wamechukuliwa na walilazimishwa kumwimbia bwana lakini wao pamoja na mzee Lowassa, Sumaye na Dkt. Slaa wamegoma kuimba kwani bwana yuko CCM...
Wakuu nauza home theater yangu,
Watts 800
Haina blootuth
Inahitaji marekebisho kidogo upande wa cd
Zaidi ya hapo kila kitu kinafanya kazi, bei 350,000
Picha na mawasiliano zaidi 0658644485
140 tourists from Israel to jet into Tanzania in May
THURSDAY APRIL 08 2021
ADVERTISEMENT
By Zephania Ubwani
More by this Author
Arusha. In a renewed bid to woo back visitors after the devastating impact of Covid-19, 140 tourists from Israel will jet into the country next month.
The...
Wakuu kwema?
Jana jioni nimetoka kwenye shughuli zangu, kufika home nikakuta wife amejifungia chumbani akiwa anacheza mziki akiwa uchi wa mnyama huku anajiangalia kwenye kioo cha kwenye dressing table.
Ni jambo la kawaida kweli hili wakuu au naishi na chizi?
Asalaam aleikum. Najivunia jf lakin najivunia zaidi watanzania wana moyo wa kutoa ushauri inapobidi. Mambo ya mind your own bussiness si utamaduni wetu. Nimenufaika mno na ushauri ninaopataga jf.
Leo naomba ushauri wa kitaalam na kimazoea ukitaka kununua home theatre ya sony dz 950.
Je kuna...
Hawa mbwa nawapenda ni very strong. Imagije dume anafika kilo 80 asili yao ni South Africa. Kwa Makaburu huko Wanaitwa Boerboel.
Hawa jamaa hawana woga kabisa. Na miaka ya nyuma walikuwa wakitumika mpaka kupambana na leopards au mbwa mwitu.
Home ninao watatu na nlipata kutoka kwa rafiki yangu...
Wakuu, nimebadilisha life style, sasa napenda kuangalia documentaries hivyo nataka kununua vifaa vya kisasa vya kielektroniki vyenye viwango vya kimataifa.
Sasa nimeshauriwa kua kuna home theater system ambazo sio za mawaya waya, na mimi sitaki sebule yangu ijae mawaya waya.
Hivyo naomba...
Kama ilivyo desturi ya ndugu zetu Wachaga nasi tumeanza kwenda home Bukoba city kipindi Cha mwisho wa mwaka (kwa njia mbalimbali hususani Ndege-Scheduled and chartered, private expensive cars na kidooogo mabasi).
NB: Tunaendelea na mazungumzo na KLM na Emirates walete ndege direct Bukoba...
HOMEBASE SMART TV INCH 43 FULL HD
INATUMIA:
HDMI PORTS 2
USB PORTS 2
VGA
AUDIO INPUT
INAINGIA:
You Tube
Netflix
Location: ubungo external.
Nipigie: 0744033555
Wakenya wanaoishi nje ya nchi wametuma nyumbani pesa kiasi cha dola bilioni tatu katika mwaka wa 2020. Hii idadi ni kubwa kushinda idadi ya pesa waliyotuma katika mwaka wa 2019. Kinachoshangaza ni kuwa mwaka wa 2020 uliathiriwa vibaya sana na corona virus lakini licha ya hayo bado Wakenya...
Mie ni muhitimu wa Degree ya Kwanza ya Banking na Finance mwaka huu wa 2020 na nimepata GPA kubwa. Kinachonishtua ni ofa zinazo patikana ni mishahara kiduchu mno!
Kiukweli, over my dead body, sipo tayari kwa ajira ambayo take home yake ni chini ya milioni moja.
Hope zinapatikana bila shaka.
Priti Patel repeatedly backed company accused of obtaining Nigerian gas contract through corruption
Priti Patel repeatedly backed company accused of obtaining Nigerian gas contract through corruption (msn.com)
Priti Patel sought to publicly intervene three times on behalf of an offshore company...
Heshima kwenu wanabodi.
Muda huu katika kuperuzi peruzi huku mtandaoni nimekutana na sponsored ads kwa kampuni inayoitwa Home contruction. Inasema ina miaka mitano hapa nchini. Ila binafsi ndio nimekutana nayo.
Imetoa nafasi za kazi kwa fani mbali mbali. Kwa nafsi yangu nikasema ngoja nikapply...
Habari! Mimi nmejenga sehemu moja hapa Dar kms 16 kufika Posta kwenye Mnara wa Askari. Nachelea kusema ni mbali na Jiji au si mbali sana.
Kiwanja nilinunua kikubwa sana.of course Mzee alitununulia miaka hiyo ya 90s then nami nikaja ongezea so nina eneo la kutosha hasa. Nmejenga na nimepata...
Kun tatizo ambalo nimeliona sana kipindi hiki
Kuna mabinti wengi sana ambao wanaona ni sawa na kawaida kabisa kuwa na uhusiano na mume wa mtu na vijana ambao pia wanaona ni sawa kabisa kuwa na uhusiano na mke wa mtu.Tena kwa ujasiri kabisa wanasema kwaba WAKO IN LOVE
Hili swala limefanya...
Mheshimiwa Tundu Lissu aamuru Barabara ya Chato Kufungwa baada ya wafuasi wa CCM kushambulia kwa mawe msafara wake na kuharibiwa gari la vifaa vya muziki (PA).
Uchaguzi 2020 - Chato: Yaliyojiri Mapokezi ya mgombea Urais wa JMT kupitia CHADEMA, Tundu Lissu
Wakuu, msaada kwa ambae amewahi kutumia Sony home theater Watt 300 vipi ubora wake wa sound na performance machaguo yangu ni kama mnovoona kwenye picha nikamate sony au hilo subwoofer nakaribisha majibu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.