Wakuu Mambo.
Nataka kununua kati ya Home Theater ya Sony DAV TZ 140 5.1 au Sound Bar ya Hisense HS 281 2.1
Zote mbili bei zinafanana approximately Tsh 450,000/= kila moja.
Sony Home Theatre hiyo hapo, Wat 320. Nimeona haina Bluetooth connectivity sijui itafaa?
Na Hapa chini ni Hisense...
Soon after assassination of president John F Kennedy those days,main stream media zilimuapproach Alhaj Malik Elshabaz a.k.a Malcom X,na kumuuliza kuwa,je nin views zako kutokana na kifo hiki?
Alhaj Malik Elshabaz akawajibu very shortly kuwa his death is like now 'Chicken are coming home to...
Home Theater, Sound Bar na HI-Fi Music kilicho Bora kwa Wapenda music Majumbani. kwa wale ambao tunapenda music..... je kati ya hivi vitu ni kipi ni bora ? tuweze saidiana kama mtu anataka kununua music system ninunue kipi katika ya hivyo.
Background
Tanzania Home Economics Association (TAHEA) is a national professional organization of nutritionist, home economics, agriculturists and other related social science professions.
TAHEA envisions ‘A democratic society with better living Conditions’; with the Mission to improve the...
Wakuu habari zenu.
Natumai mu wazima.
Kutokana na mabando kuwa juu, niliamua kwenda maduka ya TTCL na Voda shop kuangalia home internet.
TTCL walinipa hii details.
Kulingana na matumizi yangu nilipenda hicho cha 55k.
Lakini sijajua wakoje kihuduma plus kununua DSL modem.
Nikaamua kucheki...
Upigaji kwa kwenda mbele!! Mazingira ya upigaji yanaandaliwa, watu muhimu kukaa vitengo vya kimkakati!! Viwanja vya wazi pole yao!!
Wenye macho hawaambiwi tazama! Namhurumia mama, wakati yeye anasema kazi (zilizokuwa zinafanyika chini ya JPM) iendelee, wenzake wanasema kazi (za kifisadi...
Nimeamini ushabiki ni kitu kibaya sana haina utofauti na urahibu wa madawa na pombe.
I'm so soooooooo happy today yaani naumaliza mwaka vizuri Mungu akipenda shukrani za pekee kwake Daisy Skye
Mwezi uliopita CEO wa marvel studios alitangaza kwamba wamebadirisha tarehe ya muvi kadhaa kutoka na...
Miaka ya 2010 hadi 2015 Home Shopping center walikuwa wao ndio TPA. Huwezi kuagiza bidhaa nje kupitia bandarini kama hawajakuruhusu wao. Huu uhuni wa kishamba wanataka kuuleta kwenye football. Wanachotaka kuiweka mfukoni mwao TFF.
Pesa zao wazitumie watuachie football yetu. Wanaleta siasa za...
Background
Tanzania Home Economics Association (TAHEA) is a national professional organization of nutritionist, home economics, agriculturists and other related social science professions.
TAHEA envisions ‘A democratic society with better living Conditions’; with the Mission to improve the...
Ni biskuti nzuri toka katika kampuni ya bakemate inayoitwa Kreme-E! Imetengenezwa na kuwa Imported from India.
Taste yake ni ya pekee ikiwa katika flavors mbili tofauti:
1.Chocolate
2.Orange
Ina ujazo na ladha nzuri zaidi compared na ambazo ziko madukani kama Royal, Cremelo na zinginezo, 82g...
A 12-year-old Primary Three pupil has fled their home in Miraa Village, Masafu Sub-county, Busia District, after allegedly beating his 19-year-old brother to death following a disagreement over a home-made ball.
The suspect, who is a juvenile, is said to have fatally punched Umar Nsubuga who...
President Samia Suluhu Hassan keeps boosting the role of women in her government as she entrusts them with key ministerial roles that could ultimately define her legacy as the first woman Head of State in the history of the country.
Apart from Dr Stergomena Tax - who was yesterday sworn-in as...
Kilimanjaro Regional Commissioner has given seven days to more than 500 youths, allegedly scammed by Alliance Motion in Global, in Moshi, to return home.
The RC issued the order on Wednesday, September 15, 2021 while speaking to the youths where he said those who will violate the order and...
Naomba msaada jinsi ninavyoweza tengeneza bio gas digest ndogo nyumbani, nataka tengeneza kwa kutumia tank ya lita 100 kwa kutumia malighafi(materials) ninayoweza kupata kwa urahisi ni garama nafuu.
Nashukuru kwa msaada nitakaopata
Salamu za asubuhi, hiki kiumbe nimekuta kimefukiwa nyumbani kwangu sehemu ya kuingilia kibarazani bado sijaelewa ni kiumbe gani. Msaada kwa ambae amewahi kukutana na kitu Kama hiki. Ukiangalia kwa umakini utaona mkia Kama wa samaki, kichwa Kama binadamu na mikono kabisa.
Hebu angalia gharama hizi za huu muamala hapa chini[emoji116]
👉Gharama ya muamala(kodi) = 3500/=
👉Tozo ya mshikamano = 7500/=
Hii uliona wapi? Hata kama ni uzalendo huu sasa ni unyanyasaji, hata kama ni mshikamano huu sasa ni mshikwamano. Yani tozo ambayo kiuhalisia ilipaswa iwe hiari...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.