home

  1. K

    Rais Samia kaniponza! Ilibaki kidogo niache unga

    Samia kaniponza! Ilibaki kidogo niache unga. Leo baada ya kutoka church niliamua kwenda sokoni kununua mahitaji ya home, nikiwa sokoni katika story za hapa na pale wamama wauza nyanya wakaanza kulalamika ugumu wa maisha na kumtupia lawama Samia. " Yaani kila kitu anapeleka kwao Zanzibar,na...
  2. D

    If I die alone at home, how many hours or days will pass until my pet dog, cat or bird eats me?

    My father in-law passed a few years ago. He lived alone with two large dogs. He passed away on his bed which was more like a low cot so the dogs had easy access to him. The neighbors became concerned when the dogs were howling instead of barking. The police eventually broke down the door. He...
  3. LIKUD

    Kwanini Watanzania huwa wana "feel at home" mara tu baada ya kuingia USA?

    Sababu kuu inaweza kuwa nini wadau? how comes mtu upo kwenye "strange land" but still you feel at home. Hata ' home sickness' hakuna! Mimi sababu ninazo zihisi ni 2, mosi ;kwa sababu mhusika anakuwa tayari yupo Marekani kiakili (mentally) kwa muda mrefu so anapo fika Marekani physically...
  4. MSAGA SUMU

    Wakazi: Niliwahi kulala kwenye gari miezi miwili baada ya kufukuzwa home

    Wakazi Rapa namba mbili nchini amesema hamna wakati mbaya ambao hawezi kusahau maishani mwake Kama siku alipofukuzwa nyumbani kwao. Amesema hayo alipokuwa akiongea na mtangazaji gwiji Jabir Saleh. " Nilizinguana na mshua nilipomaliza form 4, baba akaniambia niondoke home, kwa hiyo...
  5. bongo dili

    Vitu ambavyo havinogi vinapoliwa au kutazamwa ukiwa nyumbani

    1. Mpira hata home kuwe na flat nchi 100 mpira unanoga bar au kwenye vibanda umiza,si ajabu mtu kupaki V8 mtaa wa pili akazama kibandani kutazama Simba na yanga Ile amsha amsha,vuvuzela , makelele ndio utamu wenyewe wa mpira. 2. Bia ukinywea nyumbani ugeuka juice ya miwa, Utamu wa bia bar au...
  6. JITU BANDIA

    TTCL home Internet Installation Manual

    Habarini wakuu, poleni na majukumu. Moja kwa moja kwenye mada. Ni hivi, Shida yangu ni hii nna imani tuna ma IT gurus wengi kwenye haya maswala humu. Mimi niko mkoa wa X wilayani Y, huku niliko kuna mnara wa TTCL na inatoa huduma. Sasa niliongea nao kuhusu kununua router na kufanyiwa...
  7. Mtu Asiyejulikana

    Msichana anakuambia kabisa mama anataka akufahamu Jumamosi uje home. Unaenda.Unamkuta mama yake...

    Ndo huyu. Halafu anakuuliza. "Eeenheeeh... Una mpango gani na mwanangu? Maana tujue mapema ninyi vijana siku hizi.... "
  8. Mjegejo Wa Begeju

    Dogo namwona hayupo Serious na Maisha kabisa. Nataka nimfukuze Home

    Anaamka asubuhi anajiangalia kwenye kioo. Nimemshangaa sana. Halafu anatumia dk 10 zote akinyoosha nguo. Haya maisha mtu hana kazi anategemea kula kwangu. Anataka apendeze . Ili iweje? Kama vile haitoshi kanaondoka asubuhi hii kanajipulizia na utuli. Nimekwazika sana. Huyu dogo kamaliza Chuo...
  9. Kalaga Baho Nongwa

    Nauza pazia, mashuka, foronya na taulo

    Habari ya muda huu wakuu. Kwa majina naitwa Mr. Dwelnish ni sehem ya uendeshwaji wa duka letu jipya kabisa kariakoo la Dwelnish linalojihusisha na uuzaji wa mashuka,pazia, foronya, na taulo Kwa sasa. Duka lipo KARIAKOO MTAA WA AGGREY NA SIKUKUU. Uzi huu ni maalum Kwa akili ya kupata Updates na...
  10. Melki Wamatukio

    Maalumu kwa watumiaji wa Home Internet (Wi-Fi)

    Habari za muda huu wakuu? Kwa watumiaji wa Home internet (Wi-Fi). Hivi malipo hufanyika kwa mwenendo upi? a) Nilifikiria huenda wana count idadi ya data unazotumia, hivyo unazilipa mwisho wa mwezi. Mfano GB 20 * 2500, hivyo kulipia 50k Au (b) Mnakubaliana kiwango fixed cha malipo bila kujali...
  11. K

    Mnaopokea salary take home chini ya milioni moja, huwa mnawezaje kutoboa mwezi mzima?

    Mimi take home yangu ni kama 1.29m hivi, lakini huwa sitoboi week mbili nakuwa nimefulia hatari. Sasa nyie wenzetu mnaopokea chini ya 1m huwa mnawezaje kutoboa mwezi mzima? Tupeane mbinu hizo wakuu.
  12. TutorMe Group

    Private Home tuitoring/ufundishaji wa masomo ya ziada nyumbani

  13. TutorMe Group

    Walimu wa masomo ya ziada nyumbani (private home tutors)

  14. DR HAYA LAND

    Naomba mnipe mbinu za kuingiza hela kupitia lugha pendwa ya Kiswahili kwa mtu mwenye taaluma ya ualimu wa Kiswahili

    Je, kupitia hii taaluma ya Kiswahili na kingereza, nawezaje Kupata Kipato? Hasa Kupata Kipato kupitia lugha yetu ya Kiswahili. Najua ntapata msaada hapa JF panapo Majaliwa.
  15. Binadamu Mtakatifu

    Mahususi kwa sisi ambao sikukuu hii tupo tu nyumbani wenyewe kama kawaida

    Mimi kesho nitakuwepo tu kama kawaida yangu. Basi naona tupeane moyo tu wanajamaa maana sisi wengine tunastress. Tutumie uzi huu kuwekana bize au kama kunampenzi wa game ile app ya kali linux tuitumie nimesahau jina lake. Kuwekana bize wale wa bebez nyie tugongeeni tu sisi tutapoa.
  16. rubii

    Home tips

    Wakuu njooni, kuna mtu hapendi kuishi nyumba safi nzuri na salama? Nyumba ni nyumba hata iwe chumba cha kupanga. Binafsi huwa naandaa home tips zinazogusa nje na ndani ya nyumba, sittingroom, kitchen area, Washrooms/Maliwato, bedroom. Basi karibuni nitakuwa naziweka hapa pia kama unayo unaweza...
  17. rubii

    Furniture, home decors na vyombo vya jikoni

    Heshima zenu wakuu.😊 Habari za wakati huu Karibuni Dollrubii_Decors SIsi ni wauzaji wa HomeDecors kwa bei nafuu zaidi kuliko wote nchini karibu ujione. KWA MAHITAJI YA ♦️FURNITURE ♦️ MAUA NA MAPAMBO YA NDANI ♦️PAZIA ♦️KITCHENWARE TUNATUMA MIKOA YOTE🇹🇿 WHTAP|📞 0699306065 FREE DELIVERY DAR...
  18. Visionery

    We are looking for sales person and sales commission agent for a home appliances retail shop

    To all, We are looking for sales person and 3 sales commission agents for home appliances retail shop Duty station:Ilala manicipal in Dar es salaam. Roles for sales person: 1. Welcoming and explain products to the walking in customers who visit our store or social platforms pages. 2. Open a...
  19. mdhalendo

    Miezi mitatu tangu nianze kutumia 5G Home Internet ya Voda Supakasi. Hiki ndicho nilichoki-experience so far

    Tangu mwezi Novemba mwaka jana nimekuwa miongoni mwa wateja wa kwanza wa kutumia huduma za vodacom 5G supakasi ya home internet kwa kutumia device yao mpya ya NOKIA FastMile 5G Gateway 3.1 na leo ningependa nitumie jukwaa hili kutoa uzoefu wangu kama mmojawapo wa wateja wa kwanza wa 5G internet...
  20. K

    750k(take home) ni mshahara unaweza kumfanya mtu aishi kidogo bila wasi hapa Bongo?

    Wakuu nilikuwa nauliza tu kama 750k ni takehome inayoweza kumfanya mtu aishi kidogo standard life. Maana usikute nadharau kumbe naweza kufanya kitu.
Back
Top Bottom