THISDAY CORRESPONDENT
Musoma
THE former Minister for Defence and National Service, Prof. Philemon Sarungi, has denied any personal involvement or criminal wrongdoing in the controversial dealings surrounding the Buhemba gold mine in Mara Region.
Sarungi recently came under sharp criticism...
Paul Rusesabagina aliyeonyeshwa kama Shujaa katika filamu kuhusu mauaji ya kimbari ya 1994 amekutwa na hatia katika Mashtaka yanayohusiana na ugaidi.
Anatuhumiwa kuwa mfadhili wa kundi la waasi ambalo lilifanya mashambulizi Nchini Rwanda na kuua Raia kadhaa mwaka 2018.
Familia ya Rusesabagina...
A Maasai Mara tented camp, Mahali Mzuri, owned by British tycoon Sir Richard Branson has been ranked as the number one hotel in the world. The Travel + Leisure World’s Best Awards released on Monday shows that people love the hotel for its rooms, location, service, food, and value.
The...
A Maasai Mara tented camp, Mahali Mzuri, owned by British tycoon Sir Richard Branson has been ranked as the number one hotel in the world.
The Travel + Leisure World’s Best Awards released on Monday shows that people love the hotel for its rooms, location, service, food, and value.
The...
Hii ndio Taarifa iliyotolewa na waandaaji wa kongamano hilo
Magwiji kadhaa wa Mambo ya katiba watakuwepo na watatoa mada
MUHIMU : Tufuate mwongozo wa WHO wa kujikinga na Corona
Nipo Restaurant moja maarufu katikati ya Jiji. Mbele yangu kimekaa kivulana (ingawa anaonekana kuwa na umri wa kuitwa Mwanaume) kipumbavu.
Toka kimefika kinapiga kelele kwenye simu kuonesha kinatukana wafanyakazi wake, kina ongea deals kubwa kubwa za millions of money na mizigo mingi iliyopo...
Joseph Mfugale ambaye alikuwa mmiliki mwenza wa Peacock hoteli amefariki dunia leo asubuhi.
========
Mmiliki wa hoteli ya Peacock, Joseph Mfugale amefariki dunia leo jijini Dar es Salaam.
Mmoja wa ndugu za Mfugale aliyetajwa kuwa msemaji wa familia, Expedito Mfugale alipoulizwa kuhusu taarifa...
Habari wanajamii?
Poleni na majukumu ya week nzima!
Niende moja kwa moja kwenye uzi husika, mwaka 2013 nilianza mahusiano na binti mmoja ambae familia yao ilikua karibu sana na familia yetu.
Tulidumu kwenye mahusiano kwa muda kidogo mpaka 2017 ambapo tuliamua kuachana, sababu kubwa ikiwa yeye...
Serikali yetu hembu tusaidieni sisi wanyonge na hii tabia ya madereva inazidi shamiri sna kwa wale ndugu zetu wanao safiri mikoa ya mbali
#Dar_to_mwnza,
#Dar_to_mbya,
#Dar_to_kgma,
#Dar_to_Arusha
kuna tabia na utaratibu wa mabasi walio jiwekea bila kuhofia abiria wao na sio rafiki kabisa...
Nimekuwa naangalia jengo la iliyokuwa Embassy Hotel kwa muda mrefu sana sasa imefungwa na hakuna hata dalili yoyote ya kufufuliwa au kutumika kwa shughuli nyingine ya kibiashara.
Jengo lipo mahali pazuri sana lakini linasikitisha sana linavyochakaa na sina hakika kama linalipiwa kodo stahili...
Wakuu Nina tafuta kazi ya kusimamia lodge,mgahawa au hotel nina uzoefu wa kutosha usiopungua miaka kumi hasa upande wa restaurant pia nimeshafanya kazi Katika migahawa mikubwa ya kimataifa ya jijini Dar es Salaam na Arusha.
Nina uwezo wa kuwafundisha wafanyakazi mbinu za kukuza biashara...
Wenzetu hao!
You see, the hotel is going to be in space. No, seriously. A California-based company called Orbital Assembly is currently working on what would be the first-ever hotel orbiting Earth, and they want to have it up and running as early as 2027. The hotel will be part of a massive...
Serikali ya Zanzibar imesema itawachukulia hatua wamiliki wa hoteli ambao wageni wao watatoka hotelini wakiwa hawajavaa nguo za stara. Waziri wa Utalii na Mambo ya Kale amewataka wageni hasa watalii kutovaa nguo zinazokiuka maadili wawapo maeneo ya umma, mfano sokoni.
Chanzo: Swahili Times
Serikali iko kwenye mchakato wa kutayarisha bajeti ya 2021/22.
Kwa heshima na taadhima ninaiomba Serikali katika bajeti ijayo aidha ifute HOTEL LEVY katika Mamlaka ya Halmashauri au iweke tozo ya flat rate badala ya makadirio ambayo inaashiria harufu ya rushwa.
Mashabiki wa kikosi cha As Vita wamevamia kambi ya Simba iliyopo katika hoteli ya Rayol hapa Kinshasa muda mchache kabla ya kwenda uwanjani.
Mashabiki hao mara baada ya kufika hapa hotelini saa 11:10 jioni kwa saa za Kinshasa walianza kuimba nyimbo zao mbalimbali.
Wakiwa wanaimba nyimbo hizo...
Hotel ya kisasa ya nyota 3 ya Desderia iliyoko Jijini Mbeya imejiongezea majukumu yake baada ya sasa kuanza kutumika kwenye masomo ya Chuo Kikuu nchi Tanzania.
Pichani ni wasomi kutoka Ardhi University ya Dar es Salaam wakiwa na MD wa Hotel hiyo Mh Joseph Mbilinyi walipofika Hotelini hapo...
Nataka kwenda Mwanza for personal issues. Naomba kufahamu the best hotel, located at the beach front na ambayo ina big rooms, madirisha makubwa facing the beach. Price siyo tatizo. Umbali kwenda mjini au airport siyo tatizo pia.
Shukrani sana.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Mhe, Selemani Jafo amesema ndani ya miaka mitatu ijayo matamanio yake ni kuona Halmashauri zinajitegemea zenyewe kupitia mapato ya ndani na kwamba ifike muda ziwe zinalipa watumishi wake mishahara.
“Nikiangalia hoteli...
Rais Mzalendo na anayejali wawekezaji leo kupitia Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Albert Chalamila ametoa tamko au salamu kuwa SUGU au Mbunge mstaafu wa Mbeya Joseph Mbilinyi ni muwekezaji hivyo atalindwa na hotel yake haitabomolewa na mtu yeyote.
Kulikuwa na uzushi mitandaoni kuwa hotel imejengwa kwenye...
Naomba kuchukua fursa hii kuuliza juu ya mafunzo yanayotolewa vyuo vya ufundi,na kwa umuhimu wa pekee natafuta kujua ni muda upi unahusika kwa mtu kusoma hadi kuhitimu course ya Hotel Management.
Swali langu linajengwa na utata uliopo kwa vyuo hivi huku mitaani. Kuna vyuo kwenye matangazo yao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.