A house is a building that functions as a home. They can range from simple dwellings such as rudimentary huts of nomadic tribes and the improvised shacks in shantytowns to complex, fixed structures of wood, masonry, concrete or other materials containing plumbing, ventilation, and electrical systems. Houses use a range of different roofing systems to keep precipitation such as rain from getting into the dwelling space. Houses may have doors or locks to secure the dwelling space and protect its inhabitants and contents from burglars or other trespassers. Most conventional modern houses in Western cultures will contain one or more bedrooms and bathrooms, a kitchen or cooking area, and a living room. A house may have a separate dining room, or the eating area may be integrated into another room. Some large houses in North America have a recreation room. In traditional agriculture-oriented societies, domestic animals such as chickens or larger livestock (like cattle) may share part of the house with humans.
The social unit that lives in a house is known as a household. Most commonly, a household is a family unit of some kind, although households may also be other social groups, such as roommates or, in a rooming house, unconnected individuals. Some houses only have a dwelling space for one family or similar-sized group; larger houses called townhouses or row houses may contain numerous family dwellings in the same structure. A house may be accompanied by outbuildings, such as a garage for vehicles or a shed for gardening equipment and tools. A house may have a backyard or front yard, which serve as additional areas where inhabitants can relax or eat.
Donald Trump aweka rekodi ya kuwa Rais wa kwanza wa Marekani kukanyaga ardhi ya Korea Kaskazini kwa mujibu wa ripoti ya White House.
Katika moja ya ziara aliyowahi kuifanya Donald Trump ambayo iliingia mpaka kwenye record za Marekani.
Ni ziara ya Donald Trump kuingia nchini Korea Kaskazini na...
Kuna hii company inaitwa Pegasus House ipo Kariakoo; inapeleka watu abroad kw trips kw exposure for business etc and cheap price; before sijapoteza hela; Nataka ushauri wenu km hawa watu wapo legit. Plz niambieni mnalojua
Kwema wadau? Nyumba kama hii inaweza cost shilingi ngapi? Nimeipenda sana nataka kuijenga...
Anyone who can estimate the cost for building a house like this in Dar es Salaam?
With much thanks in advance.
Natumai wote hamjambo humu.
Nina ndugu yangu amekuwa mlevi wa kupindukia, hapo awali alikuwa ni mtu smart na mpambanaji wa maisha, sijui kitu gani kimemkuta, anakunywa pombe muda wote hata kazi ameacha kwa sababu ya pombe.
Watu wengi wamenishauri nimpeleke sober house {Kwa kiswahili sijui...
Amani iwe kwenu nyote. Nimegundua kuwa house girl wangu anae nilelea mtoto wangu mchanga anakunywa vidonge vya HIV kwa siri. Je hawezi kuwa amemwambukiza mwanangu? Kama jibu ni hapana, mwanangu atakuwa salama kweli au niachane naye msichana huyu? Naomba ushauri wenu.
Huu ni mtazamo kulingana na ukweli kuwa, Jengo hili kubwa na zuri, limejengwa pembezeni mwa barabara inayoingia mijini Dodoma (katika ya mji) huku barabara ikiwa finyu na magari teyari ni mengi na siku zijazo barabara itahitajika kupanuliwa.
Ukiangalia, ni wazi watakuwa wamejenga nje ya hifadhi...
Wachambuzi wa kijeshi zaidi na zaidi wameingia kati kuashiria kuwa Ukraine haiwezi kushinda vita vinavyoendelea katij yaje ba Urusi.
Baadhi ya wachambuzi hao wamesema raisi wa Zelenky katika vita hivi ni kama kwamba kajiingiza kwenye boksi.Hataki kurudi nyuma na hawezi kushinda
Kwa upande wake...
Wadau hamjamboni nyote?
Kichwa cha habari chahusika
Naombeni tafsiri sahihi kwa kiswahili ya sentensi I saw him leaving the house
Aksanteni na karibuni
Habari wana Jamii,
Ninatafuta mtu anayeweza kuendesha nyumba ndogo ya wageni iliyoko mjini Mwanza, maeneo ya Buswelu. Mwombaji kazi awe na elimu na uzoefu katika mambo ya biashara na kompyuta (kwa ajili ya uendeshaji wa biashara hiyo na kuitangaza katika majukwaa tofauti tofauti likiwemo la...
Nipo Dar es Salaam kwa shughuli zangu za kutafuta mkate.
Wiki hii nimetembelea majengo mawili. Moja ni Majengo ya BOT yaliyopo karibu na Mahakama Kuu na lingine ni jengo la Mpingo House ambapo zamani ilikuwepo Wizara ya Maliasili ya Utalii.
Kilichonishangaza jengo la BOT limejengwa kwa viwango...
Nasikiliza mjadala unaondelea unahusu DP World huko Club House kwa kweli comment zote zinakataa uwepo wa Muwekezaji huyo kutoka Dubai kupewa bandari yetu, sijui kwa nini Serikali bado imekomaza shingo na kutaka watu wakubaliane nao na huku hali inaonesha wamekataa kila sababu wanayopewa na...
Amkeni akina dada. Wewe amekukuta ukiwa mtu mzima, hivyo endelea kufanya yale yote aliyokukuta ukiyafanya.
Usigeuzwe kuwa mtumwa ama mfanyakazi wa kazi za ndani baada ya kuolewa.
Wewe ni msaidizi wake. Maana yake mume ndiyo anatakiwa kupika, kufua na kusafisha nyumba, akilemewa wewe ndiyo...
Nimekuwa nikitamani kujenga hizi nyumba lakini changamoto imekuwa ni kuvuja.
Watu wengi naona wanapata tabu nyumba kuvuja pembeni, katikati na pale bati zinapochoka.
Kwa maeneo ya unyevunyevu kama pwani bati zinachoka ndani ya miaka mitatu tu zinaanza kuvuja. Hii ni kwa sababu Contemporary...
Zuhura Ramadhani ambaye ni dada wa kazi za ndani amemshitaki mwajiri wake Khadija Katusi Muoza katika Serikali za Mtaa wa Mpiji Magoe Jijini Dar es Salaam akidai kutolipwa mshahara wake kwa muda wa miaka mitano.
Akisimulia kilichotokea Zuhura ambaye kwa sasa ana umri wa miaka 30 anasema...
House For Sale
Location : Dundan Mkuranga near to neelsalt
Price : 45,000,000/ Negatiable
Details
3 bedroom 1 Master room
Big sitting room
Dinning room
Kitchen
Store
2 vallander
+
2 Flem
Plot size : 21*30 Metre
For more infomation
Call 0622408585
Nina umri wa miaka 20 mkazi wa Dar es Salaam ninatafuta kazi kati ya hizo tajwa hapo juu na uzoefu wa kuendesha magari wa miaka 2 pia nakazi za nyumbani.
Elimu yangu ni form four level pia na driving certificate ya magari madogo
Wakuu nimepata ka-trip kuelekea Zanzibar, katika kutembea kwang kote, sijawahi fika Zanzibar, hii ni mara ya kwanza, sasa naomba kujuzwa mahali pazuri pa kufikia (pasiwe gharama sana) sehemu za kwenda kupata kilaji na ku enjoy na totoz, kwa anayefahamu please ningeomba ange-share hapa nipate...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.