A house is a building that functions as a home. They can range from simple dwellings such as rudimentary huts of nomadic tribes and the improvised shacks in shantytowns to complex, fixed structures of wood, masonry, concrete or other materials containing plumbing, ventilation, and electrical systems. Houses use a range of different roofing systems to keep precipitation such as rain from getting into the dwelling space. Houses may have doors or locks to secure the dwelling space and protect its inhabitants and contents from burglars or other trespassers. Most conventional modern houses in Western cultures will contain one or more bedrooms and bathrooms, a kitchen or cooking area, and a living room. A house may have a separate dining room, or the eating area may be integrated into another room. Some large houses in North America have a recreation room. In traditional agriculture-oriented societies, domestic animals such as chickens or larger livestock (like cattle) may share part of the house with humans.
The social unit that lives in a house is known as a household. Most commonly, a household is a family unit of some kind, although households may also be other social groups, such as roommates or, in a rooming house, unconnected individuals. Some houses only have a dwelling space for one family or similar-sized group; larger houses called townhouses or row houses may contain numerous family dwellings in the same structure. A house may be accompanied by outbuildings, such as a garage for vehicles or a shed for gardening equipment and tools. A house may have a backyard or front yard, which serve as additional areas where inhabitants can relax or eat.
House for Sale
3 Bedrooms
1 Sitting Room
1 Kitchen
Plot size: 35 X 20
Location: Kibaha, Kwa Mathias, Tanzania
Price: 35,000,000 TZs ($15,225)
Call: +255 658 700 510
Afro Super Bags ni wauzaji na wasambazaji wa mabegi ya aina mbalimbali, mabegi kutoka China, Uturuki, India, Kenya na hapa Tanzania.
Tuna mabegi ya aina mbalimbali kama School 🚸 Bags, Sport Bags, Safari Bags, Culture Element Bags, Sleeping bags, briefcase 💼 za aina mbalimbali.
Tunapatikana...
Ni wazi kabisa kuwa Taifa Stars haivutii wengi, hivyo ni mkakati wa kulazimisha uwanja ujae.
Ndiyo maana unaona tiketi zinagawiwa bure bure tu nadhani had saivi zimefika 30,000 hivi za bure+15000 za kununua ni Kama 45,000 hivyo uwanja hutajaa kwenye mechi dhidi ya Uganda.
Hapo TFF na Serikali...
A policeman Stewart Saiba(40) force number Pf 18530 died at Mrina Shine guest house in Arusha.Saiba came to the guesthouse at midnight accompanied by a young woman.He recorded his details in the visitors book and he was given room number 5.He was carrying a bag and a walkie talkie. According to...
Rais wa Kenya, William Ruto na mkewe wametambulisha mfumo mpya wa kufanya maombi kwa ajili ya Nchi hiyo kwa kufunga kutokula na kufanya maombi mara moja kwa wiki ikidaiwa kuwa utaratibu huo pia unaweza kuanza kutumiwa na wafanyakazi wa Ikulu.
Utaratibu unatarajiwa kufanyika kila Jumatano ambapo...
Siku moja tangu utokee mkwamo wa upatikanaji wa mtandao wa Clubhouse nchini, Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imesema haikuufungia bali kulikuwa na changamoto za kiufundi, lakini umesharejea. Mtandao huo ambao watu huutumia kuwasiliana kwa sauti, kufanya mikutano na mijadala mbalimbali...
Hili jengo (pichani) Nyumba ya Maajabu (House of Wonder) ni sehemu ya urithi wa visiwa hivi vya Zanzibar, toka mkoloni alipong'olewa kuja mpaka miaka ya hivi karibuni jengo hilo limeingizia Zanzibar mapato mengi yatokanayo na utalii.
Miaka ya hivi karibuni jengo hilo lilibomoka na kuanguka hali...
Tangazo hili limekaa Kwa option zote mnunuzi au muendeshaji
Guest house ipo Kata ya Minazi mirefu Kiwalani, wilaya ya Ilala Jiji ipo katika hali nzuri kabisa ina vyumba 10 self, maji ya Dawasa na ya visima virefu connected, eneo ukubwa ni square meter 400.
Kwa mnunuzi offer ni million 60...
Habari zenu wanajamii?
Poleni na majukumu ya kutafuta riziki.
Nakuja mbele yenu nkiwa na swali ambalo linnitatiza na nadhani ninaweza pata jibu hapa JF.
Vituo vya televisheni au makampuni ya ving'ämuzi yanatumia vigezo gani katika kukubali maudhui ambayo mimi kama muandaa maudhui...
TENGERU HOUSE
Habari zenu.
Nikiwa mdau wa ubunifu na usanifu majengo, nimeona niwashirikishe kwa ufupi namna mimi na baadhi ya wasanifu majengo tunavyofikia utekelezaji wa majengo na bidhaa tunazobuni. Nitatumia design yangu ya nyumba ya vyumba vitatu isiyo ya ghorofa iliyobuniwa kuwa Tengeru...
Jeshi la Polisi mkoani Mwanza limeanza uchunguzi wa tukio la mtoto ambaye jina lake limehifadhiwa (10) anayedaiwa kukamatwa na wasamaria wema katika stendi ya mabasi ya Nyegezi jijini Mwanza katika harakati za kutoroka na mtoto wa mwajiri wake kwenda mkoani Mbeya.
Taarifa ya mtoto huyo...
Mwanadiplomasia, Padre na mwanaharakati Dr. Slaa ameonyesha Nia yake kuzirejea siasa za chadema na kuachana na siasa za CCM.
Ikumbukwe kwamba Dr. Slaa pamoja na kuteuliwa kuwa balozi hajawahi kutangaza KUJIUNGA NA chama cha mapinduzi Bali aliwahi kutangaza kuachana na siasa.
Pamoja na kuachana...
Huyu jirani yangu tunaheshimiana sana yaani katika watu safi hapa kitaa ni huyu jirani yangu, maisha safi Hana njaa na ni mtu tunapeana advice ya hapa na pale yaani Kwa kifupi jamaa ni mtu mmoja cool sana.
Jana nimekutana na jamaa tumeongea mengi sana na alinambia anataka kujenga shopping mall...
Inadaiwa baada ya kupekuliwa amekamatwa na kuwekwa safe house kama walivyofanya kwa Kapilimba.
Mtu anapekuliwa na kukaguliwa na lengo kuvunjwa zile connection zote akitoka hapo ata line za simu atasajili zingine na kuanza Maisha mapya.
Tunakuombea buddy hata kama uliwaumiza ndugu zetu🙏🙏
Mkijua Kudhihaki mjue pia na Kupongeza. Na hakuishia tu Kupiga Picha nami bali hata ile Dola Milioni 55 tuliyohaidiwa Ngozi Ngumu (Bara la Afrika) kwa anavyoipenda Tanzania Nusu yake tutapewa Sisi na Mimi kwakuwa nimeshawajua mlivyo Wanafiki wala sizileti Kwenu (siwapi) na naziweka Kibindoni ili...
Wataalam wa minyanduo, wale wanaopenda kunyandua spring chicken, tule tutoto tubichiiii, wale wanaochapa wake wa watu, na wale wote wanaoona usalama wao ni mdogo wakati wa majamboz, Airbnb ndio mpango mzima.
Ingia zako tu mtandaoni, tafuta nyumba ya uwezo wako nenda kale maisha.
Hakimu wa Mahakama ya Mwanzo Kasanga iliyopo Wilaya ya Kalambo mkoani Rukwa, Michael Royan (31) anadaiwa kujiua kwa kunywa sumu katika nyumba ya kulala wageni ya ‘gesti’ iliyopo Manispaa ya Sumbawanga mkoani humo.
Akizungumzia tukio hilo leo Jumanne Novemba 29, 2022 Kamanda wa Polisi mkoani...
Kuna App inaitwa 4SALE. Humo unauza/nunua kitu chochote ikiwemo mtu.
Kwa miaka kadhaa imetumika sana kuwauza kina dada mtandaoni. Kinachotokea ni kwamba; mabinti/dada walioenda nchi za mashariki ya kati kufanya kazi za ndani wanauzwa mtandaoni kama watumwa. Ukimtaka mfanyakazi unaingia kwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.