Ukweli ni kwamba, Mama anahujumiwa sana tena sana. Tukumbuke kuwa Mama anapohujumiwa, Nchi ndo inayohujumiwa. Nchi inapohujumiwa, Watanzania wote mmoja wanahujumiwa kwa kukosa huduma za kijamii.
Lakini ni akina nani wanakuhujumu?
Ni wale wale uliowapa nafasi katika utawala wako. Kwa mfano, kuna...