Tarehe 21 Feb ,ICT commission ilitoa tuzo muhimu tatu kwa kampuni ya YAS(zamani Tigo)
Walishinda Tuzo tatu kama zilivyo hapa chini
1. Huduma Bora za Intaneti (Best Internet Service Provider)
2. Kampuni Bora ya Mawasiliano (Best Mobile Network Provider)
3. Mtumiaji Bora wa TEHAMA & Manufaa kwa...
Reporting Line
MANAGER WAN & LAN
Location
Tanzania Head Office
Department
DEPARTMENT OF ICT
Job Purpose
Manage networks to ensure they function efficiently. Tasks such as collecting network performance data, monitoring network security, troubleshooting issues, anticipating problems and...
Wadau habarini!!!
Niende moja kwa moja kwenye title. Nina mpango wa kusoma short course inayohusiana na mambo ya ICT, ili nije nijiajiri kutokana na huo ujuzi nitakaoupata. Nimeshafanya tafiti zangu binafsi kwa vyuo wanavyotoa hizi short course, na nime-decide nipige ATC coz nipo chuga kwa...
Naombeni ushauri chuo gani kizuri kwa kozi ya ICT kati ya vyuo hivyo hapo kwa level ya degree!. Chuo kizuri kwa kozi ya ict kati ya must, arusha tech na ardhi
Habari, mimi nimeanzisha kampuni ya kutoa huduma za ki ICT. Ofisi ya kampuni ipo Dar es Salaam, kuna vifaa vya kazi kama Computer 5, printer 2, ofisi kubwa yenye AC, mashine nyingine kama mashine za Stationery servies pia zipo kama, lamination machine, binder, paper cutter nk. ipo miradi kadhaa...
Kama kichwa cha habari kinavyosema hebu tutoe maoni kwanini vijana wa sayansi especially ICT wanahangaika sana wakati Kwa elimu yao wangekuwa na uwezo wa kubuni apps ambazo zingewakwamua kiuchumi badala yake wanahangaika na bahasha kama wahitimu wa procurement & supply.
Mfano wa kijana wa...
Habari, mfumo wa ajira portal umekua kero kwa watumiaji kwani endapo kuna kosa basi mfumo hauna optiona ya kufuta kosa hilo (hasa kipengele cha accademic qualification) pia ukiwapigia simu hawapokei unapata ujembe the caller is busy ama wanakuwekea vijinyimbo vya hovyo huku ukipoteza salio lako...
Wakuu pole na majukumu.
Mimi nimehitimu kidato cha sita mwaka huu natarajia kujiunga na chuo mwezi wa kumi. Naomba natamani kujua kozi gani ni nzuri na yenye nafasi kubwa ya kujiajiri nikimaliza masomo yangu.
Kozi hizo ni kozi ya IT na kozi ya ICT
Naomba ushauri wenu wanaJF
ASANTE
UTANGULIZI
Kuboresha sekta ya teknolojia ya habari na mawasiliano (ICT) ni muhimu katika kufikia Tanzania tunayoitaka kwa miaka 25 ijayo na ya sasa. Yafutayo ni maelezo ya kina kuhusu jinsi ya kuboresha sekta hii:
Uwekezaji katika Miundombinu ya ICT: Tanzania y tutakayo inahitaji kuwekeza...
haki
huduma
ict
katika
kidijitali
kuimarisha
kutunga
matumizi
mtandao
sekta
sera
serikali
sheria
tanzania
tanzania tuitakayo
tehama
tuitakayo
tunahitaji
usalama
uwezo
uzalishaji
viwandani
watumiaji
Tunatafuta Tutor wa kufundisha Kozi za ICT mwenye Uzoefu mkubwa sana kufundisha vyuo vya kati,Tunataka mtu ambaye anajua na practical katika kufundisha kozi hizo za ICT.
Pia tunaitaji Tutor wa kufundish kozi za Clearing and Forwarding, Nursery school teaching, Hotel Management mwenye utaalamu...
Embracing innovative ICT opportunities in Tanzania has the potential to transform the economic landscape over the next 5 to 25 years. By integrating technologies such as remote work platforms, digital marketing strategies, e-commerce platforms, and software development into the workforce...
ᴍᴏᴅᴇʀᴀᴛᴏʀ ᴇɴᴛᴇʀꜱ ᴀ ᴍᴇᴇᴛɪɴɢ ʀᴏᴏᴍ , ᴇᴠᴇʀyᴏɴᴇ ɪꜱ ʀᴇᴀᴅy ;ᴀɴᴅ ᴛʜᴇ ᴍᴇᴇᴛɪɴɢ ʙᴇɢɪɴꜱ
Moderator: Welcome, everyone, to this discussion on Transforming Tanzania through ICT. Let's start with the government representative. How is Tanzania currently leveraging ICT for economic growth?
Government...
Natamani kujua kuhusu open university ni chuo bora kwa kusoma natamani nikasomee hapo maswala ya ICT?
Lakini pia natamani kujua kuhusu course ya ICT soko lake la kuweza kuajiriwa na kujiajiri lina upana kiasi gani?
Na mwisho natamani kujua kama mtu alikuwa anasoma degree then akaamuwa tu...
Habarii wanaJF
Nilikuwa naomba msaada kwa yeyote ambaye alishawahii kufanya practical interview utumishi ya VOCATIONAL TEACHER II -ICT wanaletaga practical ya namna gani maake sijawahii kufanya interview ya namna hii ya teacher .
JOB ADVERTISEMENT (INTERNS)
The College of Business Education was established by the College of Business Education Act CAP 315 R.E. 2002 (CBE Act). It is a Public Higher Learning Institution which provides Teaching, Research and Consultancy Services in the fields of Accountancy, Procurement and...
DUTIES AND RESPONSIBILITIES
i. To facilitate learners up to basic technician certificate (NTA level 4;
ii. To assess learners acquired competences at NTA level 4;
iii. To assist in conducting practical exercises for learners under close supervision up to technician certificate (NTA level 5);
iv...
Mimi ni kijana wa Umri Miaka 28 Education Level Degree nina uzoefu wa zaidi ya Miaka kwenye maeneo hayo mawili kwenye Graphics Design Kazi nazoweza kufanya
-Desiging All Digital Printing Material such as Vipeperush, Roll up Banner, Logo,Product Label, etc.
-Sticker(Car)...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.