ict

  1. DungaMawe

    Chuo gani kizuri kusoma ICT?

    Naombeni msaada mimi ni muhitimu kidato cha nne Naomba kufahamishwa chuo kizuri kwa kusoma ICT na gharama zake zipoje
  2. Jamii Opportunities

    Director of ict and statistics at MSD

    POST DIRECTOR OF ICT AND STATISTICS – 1 POST EMPLOYER Medical Stores Department (MSD) APPLICATION TIMELINE: 2022-07-30 2022-08-12 JOB SUMMARY NA DUTIES AND RESPONSIBILITIES i. To advise the Director General on all matters related to ICT Systems and ICT governance; ii. To coordinate and ensures...
  3. Oxpower

    Msaada kuhusu vyuo vinavyotoa kozi za ICT online

    Ndugu wana jamvi, Naombeni kujua vyuo vinavyotoa kozi za ict ngazi ya certificate au diploma kwa hapa tanzania ,kwa njia ya mtandao. Nb.nina bachelor katika fani nyingine,o level nina C ya hesabu na D ya physics je naweza kuanza na diploma au certificate msaada tafadhali kwa mnajua hili
  4. Mbomozo

    Cracking utumishi written interview: Maalum Kwa Kada za ICT

    Habari za Masiku ndg zangu, Leo hii nimekuja na thread maalum kwaajiri ya wasailiwa wote wanaoitwa Utumishi for interview hasa hasa ICT officers becoz ni kada yangu ambayo imenipatia dream job. Ila hii inatokana na kuhenyeka interview 15 zao, 13 kati ya hizo niliishia written na kuambulia...
  5. Jamii Opportunities

    Zonal ICT Specialist- Eastern Zone at CRDB Bank

    Reporting line- Manager, Card System Job Summary Provide effective technical support for Eastern zone office and branches for all ICT working tools such as computers, printers, scanners, office machines and End-User working tools. Responsible to provide the best level of support to ensure...
  6. Jamii Opportunities

    Zonal ICT Specialist- Eastern Zone at CRDB Bank May, 2022

    Reporting line- Manager, Card System Job Summary Provide effective technical support for Eastern zone office and branches for all ICT working tools such as computers, printers, scanners, office machines and End-User working tools. Responsible to provide the best level of support to ensure...
  7. Jamii Opportunities

    ICT Officer II (Developer/Programmer) at TRA (50 Posts)

    POST ICT OFFICER II (DEVELOPER/PROGRAMMER) – 50 POST POST CATEGORY(S) IT AND TELECOMS EMPLOYER Tanzania Revenue Authority (TRA) APPLICATION TIMELINE: 2022-04-09 2022-04-23 JOB SUMMARY N/A DUTIES AND RESPONSIBILITIES i. To assist in capturing user Customers Requirement Specifications; ii. To...
  8. Jamii Opportunities

    ICT Security Specialist at Institute of Accountancy Arusha

    VACANCY ADVERTISEMENT The Institute of Accountancy Arusha is a parastatal academic institution offering Undergraduate and Postgraduate training programmes. It is established by the Institute of Accountancy Arusha Act No.1 of 1990 and is located at Njiro Hill, seven kilometers Southern-East of...
  9. Binadamu Mtakatifu

    Ningependa kuwa Software developer vipi nikisoma ICT?

    Wakuu mimi ni moja ya watu ninaopenda kuwa Software developing ninampango wa kusoma ICT je nitaweza kutimiza ndoto zangu? Nakama mtu anaconnection ya chuo cha hapa Dar itakuwa poa
  10. Jamii Opportunities

    ICT Security Officer at TADB

    Overview Nature and scope: The jobholder reports to the Head of ICT. He/she will be responsible for establishing, managing, and administering the Banks ICT security policy and procedures, monitoring the security compliance of networks, servers, and applications, and responding to security events...
  11. Jamii Opportunities

    ICT Officer at HakiElimu

    Job Description Job Title ICT Officer Department Support Services and Finance Reports to Manager – Support Services and Finance Location Dar es Salaam Supervises: Mostly seasonal Interns Travel Requirements Minimal Key relationships Finance Manager, Finance Team...
  12. Zero Competition

    Waliofanya usaili wa nafasi ya Data Officer MDH

    Heshima kwenu wakuu, Kwa tuliofanya interview ya Practical nafasi ya Data Officer MDH pale Kijitonyama kuna yeyote ambae kashapigiwa simu kwenda kwenye Oral Interview?
  13. J

    Nataka kujua kwa wale waliofanya interviews za ICT Officer DUCE

    Wadau humu ndani. Nilikuwa nataka kujua kwa wale waliofanya interviews za ICT Officer DUCE tarehe 05/01/2022 mifumo ya maswali ilikuwaje kwa Kada za Business Analysts, Network Administrator, System Design and Development na User and Support kwa paper za written. Siyo mbaya kwa waliofanikiwa...
  14. MILES27

    Msaada wa chuo na course

    Nimemaliza form four na nimepata 2 katika masomo yote nimepata c kasoro math ndio nimepata f upande wa art lakini Nilikua naomba msaada wenu kuhus course GAni nzuri ambayo naweza soma upande wa MASWALA ya bandari hata kama ni diploma ipi ni nzuri Pia huwa Nina interest katika IT napo pia...
  15. AvailableIntern

    Looking For Unpaid Internship (ICT)

    Looking For: Unpaid Internship in IT fields, specifically Networking, Database Management, Web Development. Name: AvailableIntern Sex: Female Age: 26yrs Address: Kigamboni, Dar es Salaam Education: Diploma in ICT (2019) Certifications: CCNA (2020) Skills: i) Network Simulation (Packet...
  16. CodeX

    Ict officer ii (computer system administration) tupeane nondo

    Wakuu kwa wale tuliomba nafasi za kazi kwa ICT OFFICER II (COMPUTER SYSTEM ADMINISTRATION) ya TRA ,tupeane Nondo . 1. Maswali ya kusoma 2. Pepa huwa zinakuwaje . Karibuni
  17. J

    Certificate (nta 1&2)ya auto electrica(veta) au diploma ya ict (nta 4,5 & 6) nit

    Habari za ndugu zangu Nimatumaini ya ni wazima,mimi ni muhitimu wa form iv 2014 (nifaulu kwa daraja la tatu) kwa alama ya phy C,chemistry E,math C,bio C,geo C,English B a mengine D yote... Sasa mwaka huu nataka niende chuo nika apply nit first choice ordinary diploma auto...
  18. Doctor Mama Amon

    Nyerere on science, technology and innovation: A powerful Ministry of Information, Communication and Technology is a gateway to digital Tanzania

    Our drivers toward the vision of Digital Tanzania since 1961: From the Late Julius Kambarage Nyerere, through the late John Pombe Magufuli to President Samia Suluhu Hassan Abstract Today, we are celebrating the 22nd anniversary since the demise of the Tanzania’s Father of the Nation, Julius...
  19. E

    Nimeitwa usahili Utumishi kada ya ICT Officer, naomba hints nikazie wapi

    salam kwenu wana jukwaa. Nimeitwa usaili utumishi next week kada ya ICTO II post ya software developer HESLB. Hii ndo interview yangu yakwanza utumishi nlikua naomba nimepewe hints wapi pakukazia maana naona kama napapasa gizani. Asante
  20. Y

    Tips ICT Officer (Software Developer & Sys Admin)

    Wakuu salam kwenu. Niko hapa naomba tips za wapi pa kugusia kwenye written exams za utumishi kada ya ICTO upande wa software developer na Sys Admin. Hii ndo interview yangu ya kwanza utumishi naona kama napapasa gizani. Msaada wenu wadau kitaa pamekaza kinoma.
Back
Top Bottom