POST DIRECTOR OF ICT AND STATISTICS – 1 POST
EMPLOYER Medical Stores Department (MSD)
APPLICATION TIMELINE: 2022-07-30 2022-08-12
JOB SUMMARY NA
DUTIES AND RESPONSIBILITIES
i. To advise the Director General on all matters related to ICT Systems and ICT governance;
ii. To coordinate and ensures...
Ndugu wana jamvi,
Naombeni kujua vyuo vinavyotoa kozi za ict ngazi ya certificate au diploma kwa hapa tanzania ,kwa njia ya mtandao.
Nb.nina bachelor katika fani nyingine,o level nina C ya hesabu na D ya physics je naweza kuanza na diploma au certificate msaada tafadhali kwa mnajua hili
Habari za Masiku ndg zangu,
Leo hii nimekuja na thread maalum kwaajiri ya wasailiwa wote wanaoitwa Utumishi for interview hasa hasa ICT officers becoz ni kada yangu ambayo imenipatia dream job. Ila hii inatokana na kuhenyeka interview 15 zao, 13 kati ya hizo niliishia written na kuambulia...
Reporting line- Manager, Card System
Job Summary
Provide effective technical support for Eastern zone office and branches for all ICT working tools such as computers, printers, scanners, office machines and End-User working tools. Responsible to provide the best level of support to ensure...
Reporting line- Manager, Card System
Job Summary
Provide effective technical support for Eastern zone office and branches for all ICT working tools such as computers, printers, scanners, office machines and End-User working tools. Responsible to provide the best level of support to ensure...
POST ICT OFFICER II (DEVELOPER/PROGRAMMER) – 50 POST
POST CATEGORY(S) IT AND TELECOMS
EMPLOYER Tanzania Revenue Authority (TRA)
APPLICATION TIMELINE: 2022-04-09 2022-04-23
JOB SUMMARY N/A
DUTIES AND RESPONSIBILITIES
i. To assist in capturing user Customers Requirement Specifications;
ii. To...
VACANCY ADVERTISEMENT
The Institute of Accountancy Arusha is a parastatal academic institution offering Undergraduate and Postgraduate training programmes.
It is established by the Institute of Accountancy Arusha Act No.1 of 1990 and is located at Njiro Hill, seven kilometers Southern-East of...
Wakuu mimi ni moja ya watu ninaopenda kuwa Software developing ninampango wa kusoma ICT je nitaweza kutimiza ndoto zangu?
Nakama mtu anaconnection ya chuo cha hapa Dar itakuwa poa
Overview
Nature and scope:
The jobholder reports to the Head of ICT. He/she will be responsible for establishing, managing, and administering the Banks ICT security policy and procedures, monitoring the security compliance of networks, servers, and applications, and responding to security events...
Job Description
Job Title
ICT Officer
Department
Support Services and Finance
Reports to
Manager – Support Services and Finance
Location
Dar es Salaam
Supervises:
Mostly seasonal Interns
Travel Requirements
Minimal
Key relationships
Finance Manager, Finance Team...
Heshima kwenu wakuu,
Kwa tuliofanya interview ya Practical nafasi ya Data Officer MDH pale Kijitonyama kuna yeyote ambae kashapigiwa simu kwenda kwenye Oral Interview?
Wadau humu ndani. Nilikuwa nataka kujua kwa wale waliofanya interviews za ICT Officer DUCE tarehe 05/01/2022 mifumo ya maswali ilikuwaje kwa Kada za Business Analysts, Network Administrator, System Design and Development na User and Support kwa paper za written.
Siyo mbaya kwa waliofanikiwa...
Nimemaliza form four na nimepata 2 katika masomo yote nimepata c kasoro math ndio nimepata f upande wa art lakini
Nilikua naomba msaada wenu kuhus course GAni nzuri ambayo naweza soma upande wa MASWALA ya bandari hata kama ni diploma ipi ni nzuri
Pia huwa Nina interest katika IT napo pia...
Wakuu kwa wale tuliomba nafasi za kazi kwa ICT OFFICER II (COMPUTER SYSTEM ADMINISTRATION) ya TRA ,tupeane Nondo .
1. Maswali ya kusoma
2. Pepa huwa zinakuwaje .
Karibuni
Habari za ndugu zangu
Nimatumaini ya ni wazima,mimi ni muhitimu wa form iv 2014 (nifaulu kwa daraja la tatu) kwa alama ya phy C,chemistry E,math C,bio C,geo C,English B a mengine D yote...
Sasa mwaka huu nataka niende chuo nika apply nit first choice ordinary diploma auto...
Our drivers toward the vision of Digital Tanzania since 1961: From the Late Julius Kambarage Nyerere, through the late John Pombe Magufuli to President Samia Suluhu Hassan
Abstract
Today, we are celebrating the 22nd anniversary since the demise of the Tanzania’s Father of the Nation, Julius...
salam kwenu wana jukwaa.
Nimeitwa usaili utumishi next week kada ya ICTO II post ya software developer HESLB.
Hii ndo interview yangu yakwanza utumishi nlikua naomba nimepewe hints wapi pakukazia maana naona kama napapasa gizani.
Asante
Wakuu salam kwenu. Niko hapa naomba tips za wapi pa kugusia kwenye written exams za utumishi kada ya ICTO upande wa software developer na Sys Admin.
Hii ndo interview yangu ya kwanza utumishi naona kama napapasa gizani.
Msaada wenu wadau kitaa pamekaza kinoma.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.