ict

  1. babuumzuri

    IT & ICT

    naomba kujua kuna utofauti gani kati ya couse ya IT na ICT? msaada tafadhali.
  2. babuumzuri

    Ni ipi tofauti ya IT & ICT?

    Naomba kujua, kuna utofauti gani kati ya course ya IT na ICT? Msaada tafadhali.
  3. MK254

    A state of the art campus facility in Turkana offering free training in information and communication technologies (ICT)

    A state of the art campus facility offering free training in information and communication technologies (ICT) is offering a shinning hope to the otherwise remote county of Turkana. The Startup Lions Campus is located on the banks of Lake Turkana and has 1,416-square-metre artistic building...
  4. n00b

    LATRA ichunguzwe na mamlaka katika mfumo mzima wa tenda za kufunga Ving'amuzi (VTS), Kuna shida mahali

    KUNA MENGI YA HOVYO YANAENDELEA KWENYE HII TAASISI, TUNAJIULIZA KAMA MH. WAZIRI MKUU AMEWAWAJIBISHA MENEJA WA TANESCO NA WATU WAKE KWA TATIZO LA KUPATIKANA KWA LUKU. JE HAWA WATU WA TEHAMA WA LATRA WANAAACHWAJE KWA UBABAISHAJI WA KWENYE MFUMO WA ONLINE TICKETING NA KUTUSABABISHIA WENGINE HASARA...
  5. Influenza

    Tatizo la kununua Umeme wa LUKU: Waziri Kalemani amsimamisha kazi kwa siku 10 Meneja wa TEHAMA wa TANESCO

    Waziri wa Nishati, Medard Kalemani amewasimamisha kazi kwa siku 10 Meneja wa TEHAMA na Huduma za Biashara wa TANESCO, Lonus Feruzi na wasaidizi wake Frank Mushi na Idda Nja. Ametaka watoe maelezo ya tatizo la mifumo ya LUKU, na kuagiza maelezo yao yasipojitosheleza waondolewe kazini. == Waziri...
  6. Jamii Opportunities

    ICT Officer II (Database Administrator) at Petroleum Upstream Regulatory Authority

    POST: ICT OFFICER II (DATABASE ADMINISTRATOR ) – 1 POST POST CATEGORY(S): IT AND TELECOMS EMPLOYER: Petroleum Upstream Regulatory Authority (PURA) APPLICATION TIMELINE: 2021-02-17 2021-03-02 JOB SUMMARY NA DUTIES AND RESPONSIBILITIES To ensure day-to-day running of the computer systems in the...
  7. MK254

    Kenyan ICT students participate in Huawei’s Global ICT Competition

    Top Kenyan ICT students compete to represent Sub Saharan Africa in Huawei’s Global ICT Competition The Sub-Sahara African finals of the Huawei Global ICT Competition, under the theme of “Connection, Glory, Future”, kicked off on 10 September with an online opening ceremony. It is believed to be...
  8. mathsjery

    IT, ICT, CS students wanaokimbia chuo ili kuwa mabillgates hapa Tanzania hawawi hivyo hata kwa mtaa tu, kwanini?

    Mi nafikiri ni kutopenda kusoma na kutozitambua fursa kijamii, zaidi ya hapo ni kutojua hali ya mtaa kiuhalisia. Je, wewe unasemaje? Tuwasaidie watakao drop baadae😊
  9. 2

    Natafuta kazi ya mambo ya Information and Communication Technology (ICT)

    Habarini za asubuhi ndugu zangu, natafuta kazi ya mambo ya INFORMATION AND COMMUNICATION TECHNOLOGY (ICT), Ukiniunganishia kazi iyo nitakupa nusu ya mshahara wangu baada\kuelekea kusaini mkataba. Sehemu ambazo nina interested ya kukuza sana hii fani yangu ni: 1. Migodini 2. Sector za mawasilino...
  10. Sir Hemedi

    Mafunzo ya ICT, kozi kumi na tatu, chagua uipendayo

    Ongeza ujuzi wa kompyuta na mtandao. Lengo langu ni kukuongezea wewe ufanisi katika shughuli, biashara au miradi yako unayoifanya. Pia unaweza kujiajiri kwa kusoma kozi mbalimbali ninazozitoa. Kwa kuwa watu wameshughulishwa sana na wengi hawapati muda wa kutoka nyumbani na kwenda kujifunza...
  11. ajakai ict

    Ajakai ICT - Free helpdesk & IT support

    AJAKAI ICT - FREE HELPDESK & IT SUPPORT: [AJAKAIICT dot COM] - We are here to help our customer, students and visitors to get the best IT service for free of charge, from our office and online. We have excellent IT professional expert’s team and experienced in answering many questions asked by...
  12. Binti Abdullah

    Wataalam wa ICT, eti "THIN CLIENT" ndio nini?

    Wataalam wa ICT, eti "THIN CLIENT" ndio nini?
  13. mipangoMikubwa

    Msaada wa idea ya ICT new projects

    hello za wekend wakuu, Naomba msaada juu ya IDEA YOYOTE INAYOHUSIANA NA (WEB BASED SYSTEM) katika fani ya IT niifanyie kazi naelekea kukwama mwenzenu huku mana nilizonazo zote naambiwa hazina intelligency part ndan yake. kwenu wakuu
  14. PlanckScale

    Is there a periodic technology symposium conference in Tanzania?

    I am interested in attending conferences or symposiums where there is discussions on ICT research, opportunities, new solution seeking partners, or just a place conducive for techies to network. So, is there a periodic technology symposium conference in Tanzania that take place may be twice or...
  15. T

    Nini tofauti kati ya ICT Officer II na ICT Officer I?

    Jamani naomba kueleshwa kuhusu hizi positions mbili ICT Officer II na ICT officer I, ipi ni position ya juu kuliko nyingine?
  16. Influenza

    Museveni launches Uganda’s first mobile phone, computer assembling plant

    President Museveni Friday launched Uganda's first ICT manufacturing and assembling plant in Namanve. This comes into force after government signed an agreement with SIMI technologies to promote the manufacturing of ICT electronics in Uganda. At full capacity, the factory will run three...
  17. Jamii Opportunities

    ICT Officer at ESAMI

    ESAMI seeks the services of a suitably qualified person to fill the post of ICT Officer at its Headquarters in Arusha, Tanzania Deities and Responsibilities The position has the prime responsibility of coordinating and providing ICT technical support services through effective design...
  18. Its Pancho

    Wale mliosoma/ mnaoijua ICT msaada tafadhali

    Kwa sasa nasoma ICT, Informational Communication Technology. Bado nipo hatua za mwanzo kwa wale mliopitia mnaweza kuja kuninoa hapa kwa maswali ili kunijenga zaidi. Wataalamu nahitaji sana msaada wenu kuhusu hii course. CHIEF MKWAWA na wengine tafadhali.
  19. R

    Wewe kama Developer/Tech Company unatumia vigezo gani kuithaminisha na kuipa bei kazi yako .?

    Habari zenu JF Nimekuwa nikipitia uzi mbalimbali huku JF, pamoja na majarida mengine mbalimbali mitandaoni, na kugundua kuwa kuna utofauti mkubwa sana kati ya developers au tech companies inapofika kipindi cha kuthaminisha kazi inayoletwa na mteja. Hi ni moja ya sababu inayochangia kutokukua...
Back
Top Bottom