Salaam,Shalom!!
Kujiuzulu nyadhifa yoyote katika utumishi wa umma,Si lazima utokane na mapungufu binafsi katika ofisi Yako, la hasha, inawezekana kabisa kujiuzulu Kwa makosa ya Walio chini Yako Kwa uwajibikaji wa pamoja,
Mtu anapotea, ndugu wanazunguka vituo vyote vya polisi, polisi wanadai...