Ilani (Persian: ايلاني, also Romanized as Īlānī) is a village in Behi Dehbokri Rural District, Simmineh District, Bukan County, West Azerbaijan Province, Iran. At the 2006 census, its population was 163, in 29 families.
Mbunge Luhaga Mpina Kada wa CCM anashambuliwa na wana CCM wenzake hadi kufikia kukatwa jina lake kugombea nafasi ya Mjumbe wa Halmashauri Kuu yA tAIFA nEC kwa kosa la kusimamamia Ilani ya Uchaguzi ya Ccm ya mwaka 2020-2025 kurasa wa pili wa ilani kipengele (i) katika Bunge la Tanzania
Kupitia ripot ya Tathmini ya Athari za Gharama ya Mpango wa Mabadiliko ya Kiuchumi wa Bottom-Up 2022 hadi 2027', ofisi ya bajeti inakadiria kutumia fedha hizo kutekeleza kikamilifu ilani ya Rais Ruto ndani ya miaka 5 ya muhula wake.
======================
The Kenya Kwanza campaign clarion call...
Shaka anazungumza kwa uwazi kwamba Mwenyekiti wa CCM Taifa ameifungua nchi.
Anazunguka duniani kuipaisha Tanzania.
Ziara za Rais zimetuzawadia deni la Taifa kufikia Trillion 71+ mpaka sasa.
Shaka anataja mafanikio mengi yatokanayo na utekelezwaji wa ilani ya CCM.
Sasa hivi bidhaa muhimu...
Leo JNICC mkuu wa mkoa wa Dar, Amos Makalla akiwa kwenye kongamano la nishati ya gesi ya kupikia linalodhaminiwa na Taifa Gas ameongelea changamoto ya maji Dar mbele ya Rais Samia.
Amos Makala: Mamlaka ya hali ya hewa ilishatabiri, kwamba kutakuwa na kipindi kirefu cha ukame, kwahiyo ni kwamba...
WAKUU
Nianze KWA kunukuu
"Kule kwenye miradi ya maendeleo waliachiwa wanasiasa"
Hii ni kauli ya mwandishi ninaye mhusudu Sana HAPA jukwaani,kwamba miradi mingi Sana HAPA nchini inasimamiwa na wanasiasa walioshinda chaguzi zao tangu tupate uhuru,lakini hadi leo bado kuna kizungumkuti Sana...
Joshua Nassari amewataka wanasiasa kufuata taratibu za nchi pale wanapotaka kufanya mikusanyiko la sivyo mahabusu bado zina nafasi za kutosha, ameyasema hayo alipokuwa akishiriki mkutano wa mahitimisho ya sensa.
Amesema kabla ya mtu yeyote kuandaa mkutano ni lazima aombe kibali na akubaliwe...
Wakuu mambo si mambo. Kila goti sasa litapigwa. Na kila neno lilokuwa halijasemwa sasa litasemwa.
Ilani ya Chama cha mapinzduzi kama zilivyo ilani za vyama vingine vya kisiasa ndio hutoa picha halisi ya namna Nchi itakavyopiga hatua kimaendeleo na ktk nyanja zingine za maisha.
Huwezi kupanda...
Mhe. David Kafulila akimkabidhi Katiba ya JMT Mkuu Mpya wa Mkoa Mh. Dkt Yahya Mawanda kama nyenzo yake ya kufanyia maamuzi
Aliyekuwa Mkuu wa mkoa wa Simiyu, Mh. David Kafulila amesema kwamba Rais Samia Suluhu Hassan amevunja rekodi ya utekelezaji wa bajeti ya maji ya miaka ishirini (20)...
DKT. SAMIZI AENDELEA NA ZIARA YAKE KATA YA NYARUYOBA, AHAMASISHA SENSA NA KUFUATILIA UTEKELEZAJI WA ILANI YA CCM.
Kazi Inaendelea Jimboni Muhambwe Mkoani Kigoma ambapo Mbunge Mhe. Dkt. Florence George Samizi Jana Jumatano Julai 20, 2022 alifika Kata ya Nyaruyoba kuzungumza na Wananchi katika...
Wanabodi,
Politics is a game like any other games, that people plays, it has its rules and regulations, ukikiuka unaweka pembeni. Yaani mchezo wa siasa pia ni mchezo kama mchezo mwingine wowote, una sheria zake, taratibu na kanuni, ukikiuka, unapewa kadi nyekundu unawekwa pembeni.
Serikali ya...
Chama cha Mapinduzi kinawashukuru
na kuwapongeza wafanyakazi wote nchini kwa kuendelea kuitekeleza kwa
Vitendo Ilani yao ya Uchaguzi 2020|25,
Ifahamike kuwa kila mfanyakazi anayefanya kazi Serikalini lazima awe ni Mwana-CCM ,
SHAKA: MAFANIKIO YA UTEKELEZAJI WA ILANI NI MTAJI UNAOIUZA CCM
"Kazi kubwa inayofanywa na serikali ya CCM awamu ya sita chini ya Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan ni mtaji mkubwa unaokiuza Chama hicho" Shaka Mwenezi Taifa
"Tarehe 21 Januari, 1977 wakati TANU na ASP zinaungana kuunda Chama...
Waziri wa Afya Nassor Mazrui (ACT-Wazalendo) akimkabidhi ilani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Riziki Pembe Juma (CCM) wakati wa makabidhiano ya ofisi. Awali Mazrui alikuwa waziri wa Afya Ustawi wa Jamii, Wazee, Jinsia na Watoto.
================...
Baada ya ziara yake ya kutembelea Wananchi kwenye Vijiji mbalimbali Jimboni kwake kusikiliza na kutatua kero zao, Mbunge wa Jimbo la Muhambwe Mkoani Kigoma Mhe. Dkt. Florence George Samizi alifanya mkutano wa mwisho wa kushukuru wananchi katika Kata ya Kibondo Mjini ambapo alishukuru Kata zote...
Diwani wa kata ya Ruhuhu wilayani Ludewa mkoani Njombe kupitia CHADEMA Atanas Haule, amejitokeza katika ziara ya Naibu Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Mhandisi Godfrey Kasekenya na kuipongeza serikali kutekeleza Ilani ya CCM kwa kukamilisha ujenzi wa daraja la mto Ruhuhu.
Huu ni wito.
wapo wahuni huku mtaani walioanza kujitanabaisha na kujipendekeza kwako yaani wakijidai wamerudi kwenye "game"na wakitumia jina lako. Sisi wazalendo tunakujuza kuwa hao ni wahuni tu na ni watumia fursa.
chapa kazi na kazi iendelee na kamwe wasijitwike ujuaji eti wanasaidia au...
Kumetokea na sintofahamu baada ya ya hati JPM kuaga dunia, Mkuu wa Wilaya ya Dodoma ametangaza kuondoa makazi ya watu zaidi ya elfu 10 kata ya Kizota na bila kujali hawanchi wataenda wapi wala kuishi wapi bali wanajali kupata pesa. Wananchi wameuliza sababu za kubomoa makazi.
Shaka: Kibali Rais Samia kusafiri nje amepewa na CCM
MONDAY DECEMBER 06 2021
Summary
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Shaka Hamdu Shaka amesema kibali cha kusafiri nje ya nchi, Rais Samia Suluhu Hassan amepewa na Ilani ya Uchaguzi ya chama hicho.
Dar es Salaam. Katibu...
Wafanyabiashara Wadogo
(a) Kutengwa kwa maeneo rasmi yenye ukubwa wa hekta 15,822.64 kwa
ajili ya wajasiriamali wakiwemo mama lishe na wauza mbogamboga
kufanyia biashara katika mikoa 19 ya Arusha, Iringa, Mara, Rukwa,
Tanga, Shinyanga, Mwanza, Kilimanjaro, Singida, Morogoro, Manyara,
Njombe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.