Wafanyabiashara Wadogo
(a) Kutengwa kwa maeneo rasmi yenye ukubwa wa hekta 15,822.64 kwa
ajili ya wajasiriamali wakiwemo mama lishe na wauza mbogamboga
kufanyia biashara katika mikoa 19 ya Arusha, Iringa, Mara, Rukwa,
Tanga, Shinyanga, Mwanza, Kilimanjaro, Singida, Morogoro, Manyara,
Njombe...