The Naval Infantry Command (Spanish: Comando de la Infantería de Marina, COIM), also known as the Naval Infantry of the Navy of the Argentine Republic (Spanish: Infantería de Marina de la Armada de la República Argentina, IMARA) and generally referred to in English as the Argentine marines are the amphibious warfare branch of the Argentine Navy and one of its four operational commands.
The Argentine marines trace their origins to the Spanish Naval Infantry, which took part in conflicts in South America in the eighteenth and nineteenth centuries. Argentine marines took part in various conflicts of the nineteenth and twentieth century, notably the War of the Triple Alliance and the Falklands War. The marines (represented by the 5th Naval Infantry Battalion) are considered to have been among the best Argentine combat units present in the Falklands. The most recent war in which Argentine naval infantry took part was the Gulf War of 1990.
Today Argentine naval infantry are frequently deployed on UN peace-keeping missions.
Dr Slaa siku ya leo jioni akiwa Club house amesema yeye ataendelea kutetea sera nzuri za chama cha CDM kwa kuwa ana uzoefu nao na amekijenga kutoka zero mpaka hapa kinapewa heshima.
Kwa upande mwingine amesema yeye sio tena mwanachama hai wa chadema na hata hivyo vyama sita vimemuomba ajiunge...
Balozi wa Utalii wa Tanzania, Nangasu Warema leo Februari 10,2023 ametoa maoni yake kuhusu mwelekeo wa uchumi kutokana na mjadala ulioibuka bungeni mwanzoni mwa wiki hii.
Balozi wa Utalii Nangasu Warema
Balozi huyo wa utalii amesema kwamba mataifa mengi duniani yameathirika kiuchumi ikiwamo...
UCHUMI IMARA HUJENGWA NA WANANCHI WENYE AFYA IMARA.
Na Konakuze Bodi 0759754034
mswaada wa bima ya Afya kwa wote ni sera ambayo inalenga kuijenga, kuisuka, kuimarisha sekta ya Afya na kuwakomboa watanzania kuiuchumi kutokana na uondoaji wa
msululu na Utitili wa gharama kubwa kwa...
Nimeamka nikiwaza hali ya upepo wa siasa za Tanzania. Tanzania yenye vyama vingi vya siasa, vingi vyenye viongozi wanaoangalia maslahi yao wenyewe, wasiojenga vyama kwa nia ya kuliendeleza taifa bali kwa maslahi yao binafsi.
CCM ipo sana bado, haing'olewi leo wala kesho. Vyama vingi ni vizuri...
Rais wa Tanzania Dk. Samia Suluhu anazidi kuchukua hatua kubwa ili kulipeleka taifa la Tanzania katika mustakabali mwema. Samia Suluhu ameelekeza nguvu zake katika kuendeleza ajenda za maendeleo za mtangulizi wake, John Magufuli, huku akitanguliza utawala bora na haki za binadamu.
Baadhi ya...
Wakuu JF ndio kila kitu, kabla ya kukurupuka kwenda shopping ni vyema ukipata muongozo JF.
Nimenunuwa Mara mbili majiko makubwa West Point yenye plate mbili gase na plate mbili umeme chini oven lakini yote yamezinguwa, hili la Pili Sasa hivi halitowi moto wa blue linatowa moto kama koroboi na...
TENGENEZA SAFU IMARA; PEKEAKO HUTOWEZA!
Anaandika Robert Heriel
Mastermind!
Moja ya changamoto inayowakabili Vijana wengi ni kukosa SAFU nzuri au kukosa kabisa SAFU katika Maisha Yao.
Unakuta kakijana kawatu kapokapo tuu! Hakajui kaelekee wapi, hakajui kafanye nini, hakana watu walioupande...
Nyerere aliwahi kutamka wazi, Kwamba maadui watatu wa taifa letu ni maradhi,ujinga na umasikini.Hivi vinapaswa kuwa kipimo kwa kiongozi yeyote aliyepo madarakani.
Ni ukweli kwamba siasa zina umuhimu na nafasi ya kipekee katika kuwaletea wananchi maendeleo ya kweli, Lakini porojo zisizo na...
Kwa kuangalia malumbano yanayoendelea kwa muda mrefu sana humu JF, kuhusu uimara wa hivi vyama viwili, CHADEMA na CCM, nimeona ni bora tukawa na kura ya maoni kuangalia kwa maoni ya watu wa JF kipi ni chama Imara kwa kufuata mambo yafuatayo.
1. Usahihi wa maamuzi ya vikao vya chama.
2. Uwezo wa...
Nafikiri hakuna timu yoyote inayoweza kupaki basi dk 90 zote mbele ya yanga na ikahimili mashambulizi ya yanga kwa muda wote zaidi ya Tanzania prisons, Leo wamepaki basi lao na almanusura waokote alama kwa Mkapa, Pongezi nyingi kwa timu ya wananchi kuondoka na alama 3 muhimu licha ya upinzani...
Habari wakuu, poleni na majukumu pia.
Kuna Uzi alileta mdau mmoja kulalamikia mfumo wa TRA kuwa ifikapo muda wa kufile return Huwa unasumbua na kuchukua muda mwingi kupokea (mfumo kupakia data) hivyo huleta usumbufu kwa watumiaji
Hivi pia nmeona makampuni kadhaa nitatolea mfano katika...
Majuzi hapa tumemsikia katibu wa propaganda wa CCM akijimwambafy kuhusu uimarishwaji wa kila sekta nchini kupitia serikali ya CCM.
Ameenda mbali zaidi kutuita sisi wakosoaji kama.maadui wa mama na tunamtakia mabaya hivyo azibe masikio achape kazi aachane na sisi wanafiki.
Katika posti zangu...
Wa Iran wanawake kwa wanaume wamesimama imara kupigania haki zao.
Hijab haziwahusu wanaume ila haki za wanawake ni jukumu la wote. Kwetu haki zina macho. Ubinafsi umetamalaki.
"Kwetu polisi na wauwe watakavyo alimradi watasema wameuwa panya road hiyo ni sawa."
Mbaya zaidi ubinafsi huo...
Uchumi ni mali iliyopatikana kutokana na mali za nchi au watu. Vitu viwili vikubwa vinavyoweza kumsaidia mtu kufikia malengo yake kiuchumi na kimaisha ni Nidhamu binafsi na Nidhamu ya maisha; lakini huwezi kutengeneza nidhamu ya maisha bila ya kuwa na nidhamu binafsi.
Nidhamu binafsi ni uwezo...
Wadau naomba tujuzane mbinu za kupata bati za kampuni bora kabisa ili tuokoane kwa hasara tunazozipata mara kwa mara.
Maana kuna utitiri wa viwanda vya mabati jambo ambalo limepelekea tunapaua nyumba zetu kwa kununua bati kichwa kichwa,bati zenyewe zikipigwa na jua miezi 6 tu zinapauka balaa...
Kuna muda naongea Kiutani ila hapa nimevaa Uhalisia wangu wa Kiuchambuzi na Kimchezo.
Ushindi wa Azam FC leo ni Sare ila Kufungwa na Yanga SC ni lazima kama Israeli anavyoihitaji Roho ya Binadamu.
Imeisha hiyo.
Wakuu naomba kuuliza.
Ni kampuni ipi ina majiko imara ya umeme/gas?
Jiko linalohitajika la umeme, liwe na plate 2 za umeme na 2 za gas.
Natanguliza shukurani.
Tanzania ni moja ya nchi zilizopo mashariki mwa bara la Africa. Na ndani yake huishi Watanzania na asilimia ndogo ya watu kutoka nchi zingine duniani. Tanzania sasa angalau haipo katika nchi maskini duniani, sasa ni nchi ya uchumi wa kati.
Nchi hii imebarikiwa sana, ina rasilimali nyingi ambazo...
UTANGULIZI
Maisha ya mwanadamu yamejikita katika ngazi mbalimbali za kijamii kulingana na muundo au mfumo ambao jamii husika hujiwekea. Ukubwa wa jamii zetu huanzia chini kabisa na hatimae kupanda juu kutoka ngazi moja had Ngazi nyingine. Ngazi hizi ni kama vile, familia, ukoo, kabila, taifa...
Simba queens imekuwa timu ya kwanza ya wanawake kutoka Tanzania kwenda kushiriki ligi ya mabingwa Africa.
Hapo unaona uwekezaji mkubwa unaofanywa na mo dewji ukisimamiwa na mwanamama babra Gonzalez ambaye ni moto wa kuotea mbali kwenye usimamizi wa taasisi ya mpira. Simba kwa sasa sio level...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.