The Naval Infantry Command (Spanish: Comando de la Infantería de Marina, COIM), also known as the Naval Infantry of the Navy of the Argentine Republic (Spanish: Infantería de Marina de la Armada de la República Argentina, IMARA) and generally referred to in English as the Argentine marines are the amphibious warfare branch of the Argentine Navy and one of its four operational commands.
The Argentine marines trace their origins to the Spanish Naval Infantry, which took part in conflicts in South America in the eighteenth and nineteenth centuries. Argentine marines took part in various conflicts of the nineteenth and twentieth century, notably the War of the Triple Alliance and the Falklands War. The marines (represented by the 5th Naval Infantry Battalion) are considered to have been among the best Argentine combat units present in the Falklands. The most recent war in which Argentine naval infantry took part was the Gulf War of 1990.
Today Argentine naval infantry are frequently deployed on UN peace-keeping missions.
WAZIRI BASHE: TUKO KWENYE HATUA YA MWANZO YA MRADI WA KESHO IMARA.
"Nataka kukufahamisha kuhusu ‘Building a better tomorrow’ project Mradi huu uliopo hatua za mwanzo sisi wizara tutatenga fedha, kima cha chini 5B kwa kuanzia.
Kwasababu: Vijana hawaendi shambani na hawana motisha kuingia katika...
Habari zetu kupitia JF zinafika mbali sana.
Ishukuriwe platform hii kwa kutusaidia kuonekana kupitia mijadala yenye tija hasa kwa sisi eneo letu la ujenzi na hamasa tunazopeana humu.
Tunapenda kuwajuza tu kuwa Mama Dangote ni miongoni mwa wateja wetu waliofika #MbaoTanzania kuchukua mzigo wa...
GENTAMYCINE sijawahi Kukosea ama nikimpenda au nikimchukia Mtu (na hata rekodi zinanibeba) hivyo hata kama Watu wanachukua Fomu za Kugombea Uspika ila kwa Vigezo vyangu vingi na Sababu zangu nyingi namuona Naibu Spika Dk. Tulia Ackson anafaa na ndiyo Chaguo sahihi hasa kwa Bunge la sasa na...
Wana JF.
Giza Nene lenye bundi limemfunika bwana Jobo, kakutana na mabundi wasiokuwa na huruma. Haya yote ni matokeo ya kulazimisha kila kitu kiende kigizagiza kwa kukanyaga katiba. Mabundi furaha huwa wanategemea baada ya giza totolo watapata nini, kelele za atoke zilishamili sana bila...
Tunauza mashine za photocopy used pamoja na vifaa vingine vya ofisi zilizo katika hali nzuri na ubora..spea zake zipo ..toner pia upo ..na tunatoa warranty ya siku 30,Bei zetu zinatofautina na ufanyaji kazi wa mashine na ukubwa wake,tupigie tukupe ushauri ipi inakufaa kwa kazi zako na shuhuli...
Nauza engine K3- VE ( Vvti) cc 1300 na gearbox yake.
Ina changamoto ya rings kutanuka. Hiyo tu na gearbox seal yake inavujisha ni either ifungwe vizuri au ibadilishwe. Mimi nlipata engine complete na gearbox yake nikashusha na kupandisha.
Kama unahitaji au kuna mtu anahitaji tuwasiliane Please.
Samahanini wadau naomba kujua hivi kujenga gorofa bila kusimamisha nguzo za zege zile. Uimara wake ukoje?
Engineer anadai kwa aina ya udongo ukiwa na matofali imara yakajengwa kwa kulaza inatosha.
Ni kweli inaweza kuwa imara? Eneo ni tambarare.
Naombeni mawazo yenu
Kuna video inasambazwa ikionesha Rais na Amiri Jeshi Mkuu kuyumba kidogo.
Wengi wanaopost video hiyo wanatia chumvi ionekane kwamba Amiri Jeshi Mkuu ana shida ya kiafya.
Majibu kutoka Jeshini:
1. Hakuanguka. Kumbukeni pale ndio alikuwa anaingia kwenye shughuli na alionekana akiendelea na kazi...
Historia ni mwalimu bora sababu inaweza kukupa majibu ambayo sayansi ingechukua muda kuyapata.
Kila tukio lina Historia hakuna kinachotokea pasipo historia yani kila jambo lina mwanzo wake(chanzo chake).
Najiuliza hadi leo ni idadi ya watu wangapi(wabunge) wameondoka ndani ya CHADEMA ni zaidi...
Mwaka 2015 CCM ilipasuka vipande vipande baada ya mzee Lowassa kuhamia Chadema na mzee Membe kununa.
Hayati Magufuli alipokabidhiwa chama alifanikisha kuwarejesha kundini wanachama wote waliokimbia CCM akiwemo mzee Lowassa mwenyewe na kundi lake lowe wakiwemo Ole milya, Masha, Dr Mollel, Mgeja...
Mbunge wa Jimbo la Simanjiro, Mkoani Manyara, Christopher Ole Sendeka amewataka vijana wanachama wa CCM kujitokeza kwa wingi kugombea nafasi mbalimbali za chama hicho mwaka 2022.
Uchaguzi mkuu wa CCM kugombea nafasi kuanzia ngazi ya tawi, kata, wilaya, mkoa hadi Taifa unatarajia kufanyika mwaka...
Siweki neno:
Lakini ukitaka kujua kwa nini wamachinga walimlilia sana, kujitokeza kwa wingi njiani kumzika ni hii hapo juu
Hata Rais wa awanu ya pili mzee Ali Hassan Mwinyi wakati akisoma Tanzia yake huko Chato, alimsifu Hayati kwa kutowasumbua wamachinga kwenye utawala wake!
Wamachinga...
Hii mambo ya vijana kuchukuana na kuanza maisha bila kutushirikisha wazazi imekaaje?
Binti unajiskiaje kuishi na mtu asiyejulikana kwenu?
Kijana wa kiume unapata amani kuishi na binti bila kufuata taratibu? Ni kushindwa kulipa mahari au kushindwa kujua faida za kufuata taratibu?
Wazazi...
Najua kama tulivyo Wanadamu wote Mimi na Wewe (Nyie) hatukosi Kasoro kwa Sisi siyo Malaika na hatujakamilika.
Kama kuna Kitu ambacho huenda ndiyo huwa kinamfanya Profesa Mbarawa asieleweke ni Uungwana wake wa Kiasili.
Ila kama kuna Mtendaji ambaye katika Wizara (Dockets) alizopita alikubalika...
Muundo wa uongozi wa CHADEMA unapata nguvu kutokana na aina ya watu waliokaa juu, mfumo wao una watu wenye nguvu ya kisiasa na kiuchumi mmoja Wapo Mwenyekiti na una watu wenye akili nyingi na maarifa mmoja Wapo Tundu Lisu.
Serikali ilipoaanza kupambana na Mwenye akili walidhani Mwenye fedha...
[A.] Mahojiano ya BBC na Rais wa Tanzania, Bi. Samia Suluhu Hassan yanatafakarisha sana...
Mimi sifanyi tathmini ya aidha amejibu maswali vibaya au vizuri. Ninchotaka kusema ni kuwa, yamefunua vitu vipya incase kama mtu haja - notice. Nitaeleza;
1. Huyu mama kuna kila dalili kuwa she's a...
Imeelezwa mara nyingi kuwatofautisha wajumbe JF na vyama vya siasa.
Kama ilivyo kwa vyama vingine, CHADEMA ni taasisi kubwa yenye kuendesha shughuli zake rasmi ofisini na siyo mitandaoni chini ya wajumbe fake.
Ikumbukwe kuwa CHADEMA imekuwa mshirika wa dhati wa wananchi dhidi ya Corona...
Japo ukweli unabaki wewe mwenyewe ndio unawajibika kwa afya yako, hivyo wewe ndio muamuzi wa jambo lolote kuhusiana na afya yako na wala mtu mwingine asikuchagulie linalohusiana na afya yako
Kufutia kuumwa kama tulivyoambiwa na familia ugonjwa wa changamoto ya kupumua, Mama yetu Mghwira Mungu...
Naomba niwawleze CHADEMA ni mpango wa Mungu kwa watanzania, hakuna ataeshindana na hiki chama akakiweza. Hakuna,hakuna na hatatokea.
Wanaopambana na CHADEMA wanapambana na nguvu za Mungu na ndio maana hiki chama mpaka leo kipo imara. Wanapoteza muda tu na resources zao bure tu.
Yule aliesema...
Wadau, hakika ili taifa liwe imara mfumo wa elimu yake lazima ubadilike, tuko hivi tulivyo kutokana na aina ya elimu yetu tunavyoitoa ikiwemo mitaala yetu! wakati nimeona hili shindano nikadhani ni bora nilete mjadala huu mpana katika nchi yetu namna ya kuleta elimu yenye tija! na yafuatayo ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.