inahitajika

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. SlimFit

    Mijusi ndani ya nyumba; Dawa inahitajika

    Wakuu habari ya uzima? Kama mada inavyojieleza, ningependa kujua kutoka kwa yeyote anayefahamu dawa za hawa mijusi wanaozurula ndani ya nyumba naomba anijuze tafadhali.
  2. Scars

    Ntapata wapi motherboard ya HP Compaq 6710b

    Isiwe na kasoro yeyote
  3. benja

    4E Engine inahitajika

    Wakuu habari za Asubuhi, nna tafuta engine 4E yenye distributor, ya kufunga kwenye Starlet. Niko Dar es Salaam
  4. Crook

    Frame inahitajika - Kurasini

    Habari zenu wakuu, Binafsi najihusisha na kutoa ushauri wa kibiashara pamoja na huduma zingine za kiuhasibu na kodi jijini Dar es Salaam pamoja na huduma zinginezo. Katika kutekeleza mpangokazi wangu wa mwaka 2020/2021 nina mpango wa kufungua ofisi maeneo ya kurasini (Along Nelson Mandela au...
  5. CUF Habari

    CUF: Liwale inahitajika Tume huru ya Uchaguzi

    CUF-CHAMA CHA WANANCHI. TAARIFA KWA UMMA. LIWALE INAHITAJIKA TUME HURU YA UCHUNGUZI.
  6. Alex Hamadi Hamis

    Nyumba ya kupanga inahitajika (Goba/ Mbezi)

    Habari za leo wanaJF, Natafuta nyumba ya kupanga maeneo ya Goba ama Mbezi Africana/Luis yenye vyumba viwili/vitatu vya kulala, choo, sebule, jiko na dining. Umeme uwe wa kujitegemea, maji, pamoja na ulinzi salama. Bajeti yangu mwisho ni 200k TZS, na ninahitaji ya mkataba wa kuanzia kwa miezi...
  7. J Mbungi

    Machine ya kuosha magari/pikipiki/bajaji inahitajika

    Natafuta car wash machine ya umeme. Mwenye details anitafute +255784355775 DAR ES SALAAM /ZANZIBAR
  8. IAMangula

    Tecno camon 11 inahitajika

    Wajamen anayeuza simu tecno camon 11 aje hapa na ofa yake hapa Location: DSM Mobile: 0715 445298.
  9. PAZIA 3

    Magufuli na Lissu kukutana Kigoma kwa mara ya kwanza leo

    Kwa mjibu wa ratiba Tundu Lissu atakuwa na kampeni Kigoma mjini leo jioni katika maeneo ya Mwanga center. Wakati huo huo Rais Magufuli atakuwa Lake Tanganyika, atakuwa na Rais wa Burundi ambaye amealikwa katika uzinduzi wa jengo la mahakama. Hofu yangu ni, je, CHADEMA wataruhusiwa kufanya...
  10. M

    Gari inahitajika haraka

    Kwa yeyote anayeuza gari aina ya Toyota Wish au Toyota Volt basi mteja ushampata. No C/D Wasiliana na mimi kwa sms/whatsapp/ call 0699494650 DSM Update1 *Nahitajii raum au ist namba d offer ya mteja million 6, Whatsap picha 0699494650
  11. GENTAMYCINE

    Madereva / Waendesha 'Magari' hii 'Kitu' nimeisikia sana tu 'Kijiweni School' je, ina Ukweli wowote ule labda?

    Kwamba eti ukiwa unaendesha Gari, umebeba Watu/ Abiria na uko mwendo mkali sana ( bati kinoma ) kisha ukaona Mtu anakatisha mbele yako iwe kwa Miguu au akiwa katika Baiskeli au Pikipiki 'Sheria' inakuruhusu kuwa kuliko 'Kujihatarishia' Maisha yako na ya wale 'uliowabeba' basi 'uwagonge' na...
  12. M

    Single room inahitajika Dar

    Habari zenu wadau, kama kuna mtu anahama hivi karibuni maeneo ya Makumbusho, Ubungo, Kijitonyama na maeneo ya karibu naomba anicheki. Kama kodi imebaki miezi kadhaa tutamlipa.
  13. WENYELE

    Msaada: Shule ya wasichana Advanced Level inahitajika haraka

    Wakuu, naomba msaada kupata shule ya wasichana ya Bweni ya bei kawaida Advance, itakua nzuri ikipatikana kanda ya ziwa au sehemu nyingine Tanzania. Iko hivi, mimi ni mwenyeji wa kanda ya ziwa, jana nilipigiwa simu na binti wa pale kijijini kwetu kamaliza form 4 akapata DIV III ya 25 bahati...
  14. Miss Zomboko

    Serikali: Mechi ya Simba na Yanga imeonesha elimu zaidi bado inahitajika kuhusu CoronaVirus

    SERIKALI imesema changamoto ya kupeana nafasi kwa mashabiki walioingia uwanjani katika mchezo wa Simba na Yanga inaashiria elimu zaidi inahitaji ili kuchukua tahadhari ya janga la maambukizi ya virusi vya corona viwanjani. Katika mchezo huo wa nusu fainali ya Kombe la Shirikisho la Azam...
  15. Ndama dume

    Gari ya kukodi inahitajika

    Habari za jioni wakubwa na wadogo. Naomba kuzamia kwenye mada Nahitaji gari kwa ajili ya mizunguko ya hapa na pale kwenye mkoa wa Singida si unajuwa tena kipindi cha kampeni, gari hiyo ikipatikana itafanya kazi mkoa wa Singida ila anaeitaka kwa sasa yupo Kahama unakuja nyumbani mnaweka mkataba...
  16. Erythrocyte

    Ili RPC afukuzwe kazi au ahamishiwe Makao Makuu inahitajika matukio mangapi ya kihalifu yatokee kwenye Mkoa wake?

    Hili ni swali ninalompelekea IGP Simon Sirro, kwamba Ili RPC aonekane ameshindwa kazi ya kulinda usalama wa Raia na mali zao kunahitajika uhalifu wa kiwango gani utokee? Jana ni Lissu, leo ni Mbowe, kesho ni nani? Ili ionekane RPC kishashindwa kazi ni kipi kinatakiwa kitokee, na je ni Umri upi...
  17. TheChoji

    Hili la kunawa mikono elimu bado inahitajika

    Nianze kwa kuipongeza serikali na mamlaka husika kwa kutilia mkazo suala la kuweka vifaa vya kunawia mikono karibu katika maeneo yote ambayo watu wanaingia. Utekelezaji wa hili umekua mkubwa na kwa sasa maeneo mengi sana wameweka vifaa vya kunawia mikono. Kilichofanya niandike uzi huu, ni...
  18. Mr Kazembe

    Graphic card inahitajika

    NAHITAJI Graphic card ya low profile NAMANISHA INAYO FITI KWENYE MASHINE YA KULALA NIPE BEI NUMBER YAKO... NB: ISIWE CHINI YA 1 GB
  19. mugah di matheo

    Natafuta Samsung mpya kwa Dodoma

    Habarini za muda huu, naomba kujuzwa ni duka gani Dodoma, morogoro au iringa na weza kupata simu za samsang s10+,S20 na S20+. Kwa moja ya mikoa twajwa ,shukran kwa details n PM.
Back
Top Bottom