inahitajika

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. W

    Insta Account Inahitajika

    Habari, Account ya instagram yenye followers kwanzia 10k inahitajika... Ahsante.
  2. Superfly

    Lebo ya bidhaa inahitajika

    Ambaye anaweza kudesign lebel tuwasiliane, ningependa kufahamu gharama pia.. Tuwasiliane Hata PM
  3. The Sheriff

    Jitihada Kubwa Bado Inahitajika Kuziba Pengo la Kijinsia katika Ajira

    Licha ya kuongezeka kwa mijadala inayohusu ukosefu wa usawa ambao wanawake wanakumbana nao katika maeneo ya kazi, bado kuna jitihada kubwa inayohitajika ili kuziba pengo la kijinsia katika ajira. Ikilinganishwa na wanaume, wanawake wana uwezekano mdogo wa kuajiriwa katika kazi zenye malipo ya...
  4. Spinster

    Iphone 8 plus inahitajika

    Habari wapendwa, nahitaji Iphone 8 plus.. kubwa iwe kuanzia gb128
  5. N

    Nyumba ya kupanga (vyumba vinne self contained) inahitajika jijini Mwanza

    Nyumba ya vyumba vinne (self contained) inahitajika haraka. Sifa: 1. Iwe jiji Mwanza (Ilemela na Nyamagana) 2. Hali nzuri 3. Usalama/fence 4. Inafikika bila changamoto 5. Parking ya gari 2 na kuendelea Mawasiliano piga 0769746211 Isiwe na dalali
  6. monotheist

    Inahitajika TV 25 inch Dar es Salaam

    Inahitajika tv 25 inch in good condition naifuata popote pale hapa Dar kama bei itakua nzuri zaid hata mbili nitachukua 0692402211 Karibuni
  7. S

    Gari ya kubeba container 20ft inahitajika Musoma

    GARI YA KUBEBA CONTAINER 20FT INAHITAJIKA MUSOMA Pana container linahitajika kusafirishwa ndani ya 50 km toka musoma mjini Kwa yeyote wa kupata gari hilo tuwasiliane hapa
  8. apakak

    Youtube Adsense inahitajika

    Habari wakuu, ninatafuta Youtube adsense,mwenye nayo tuwasiliane PM
  9. The Sheriff

    Nguvu ya Kila Mmoja Bado Inahitajika ili Kufikia Lengo la Ustawi Usiobagua Jinsia Katika Kila Nyanja

    Mazungumzo yanayohusu ukosefu wa usawa wa kijinsia katika sehemu kubwa ya dunia ni ngumu kuepukika. Hata hivyo, katika miaka ya hivi karibuni wanawake wamekuwa wakipambana zaidi kuliko hapo awali ili haki yao ya kuonekana na kutendewa kwa usawa izingatiwe na kutekelezwa. Ukosefu wa usawa wa...
  10. B

    Subaru Forester xt bomba mbili inahitajika, bajeti 22m

    Wakuu habari Subaru Forester xt bomba mbili inahitajika, ambayo haijasajiliwa, ya showroom nyeusi isiyo na turbo Bajeti 22m
  11. Khadija Mtalame

    Tundu Lissu kufutiwa mashtaka yote na Serikali, Katiba Mpya inahitajika

    Habari wanabodi, Nimekuwa nikifatilia siasa za ndani na nje ya Tanzania yetu hii.kiukweli juzi kitedo cha Mama kufuta mashtaka yote ya TAL ni ishara kwmba tuna katiba mbaya kuwahi kutokea ,amemruhusu aje Tz kama kaweza kufuta mashtaka thats means anaweza mpa yoyote yule mashtaka. Tubadili...
  12. S

    Nahitaji nyumba ya kupanga

    Salaam wana Jamii Forums Nina uhitaji sana wa nyumba ya kupanga Eneo la Uzunguni, Kisiwani, Vjibweni Vyumba viwili na sitting room kimoja au vyote viwe Master iwe ndani ya uzio Kuwepo na Maji na umeme Umbali kutka barabarani usizidi 1 kilometer Bajeti yangu ni laki 2 kwa mwezi fungu...
  13. Ndebile

    Laptop Used Inahitajika Haraka

    Nahitaji kompyuta mpakato yenye sifa zifuatazo: Brands: Dell au Hp Processor: Core i3 2.2Ghz au zaidi Ram: 4gb au zaidi Hard drive disc: angalau 500gb Screen size: 15" au zaidi Ukiwa kanda ya ziwa kwa maana ya Mwanza, Shinyanga, Geita itakuwa poa zaidi
  14. C

    Inahitajika Pickup ya Left Hand Drive

    Wanabodi Mwenye kumjua yeyote anayeuza pickup ya Left Hand Drive tafadhali tuwasiliane.
  15. Mnyuke Jr

    Samsung S9 inahitajika haraka sana

    Offer yangu ni 280,000/= Chapu kwa haraka njoo tufanye biashara
  16. R

    Nyama ya kondoo inahitajika

    Habari Wakuu. Kwa mwenye uwezo wa ku-supply nyama ya kondoo DUME kiIlo 5000 kwa wiki tafadhali tuwasiliane. Simu 0656388678, Whatsapp 0676434611
  17. jahanbaksh

    Car4Sale Harrier kwa 5000 USD Gari ipo bandarini sasa hivi

    kama kichwa cha uzi kinavyosema, Gari ipo bandarini mwenye nayo kashindwa lipia. wajapan wanataka 5000USD wakupe Harrier yako details zake kwa haraka ni ina mileage ya 241,499 km engine capacity 2360cc na ni ya mwaka 2004 kwa picha karibu inbox au whatsapp us kwa namba hii 0737 881 888 NOTE...
  18. Mung Chris

    Inahitajika Toyota Noah new model

    Nahitaji Toyota Noah New Model ambayo haijawahi pata ajali, isiwe inadaiwa, isiwe imesha funguliwa gearbox. Namba iwe C a D Bajeti yangu mil6-6.9
  19. ommytk

    Watanzania mbona hatusheherekei kwa shamrashamra siku ya Uhuru?

    Tanzania leo ni siku yetu adhimu ya kufurahi na kujisikia furaha kwa siku ya uhuru wa nchi yetu ni mfano wa siku ya kuzaliwa lakini kwa baadhi ya watu na sehemu tofauti imekuwa tu ni siku ya kupumzika bila shamlashamla zozote hivi birthday yako uwa inapita hivyo kimya kimya. Niliwahi kuwa Dubai...
  20. GAGL

    Car4Sale Toyota Noah Roadtour namba C au D inahitajika

    Kuna mtu anahitaji Toyota Noah, roadtour yenye namba C au D. Ana kianzio cha shilingi mil tano, nyingine atamalizia baadae. Kama unayo au kuna mtu anayo anataka kuisukuma, tafadhali, weka namba zako hapa, utapigiwa simu.
Back
Top Bottom