Licha ya kuongezeka kwa mijadala inayohusu ukosefu wa usawa ambao wanawake wanakumbana nao katika maeneo ya kazi, bado kuna jitihada kubwa inayohitajika ili kuziba pengo la kijinsia katika ajira.
Ikilinganishwa na wanaume, wanawake wana uwezekano mdogo wa kuajiriwa katika kazi zenye malipo ya...
Nyumba ya vyumba vinne (self contained) inahitajika haraka.
Sifa:
1. Iwe jiji Mwanza (Ilemela na Nyamagana)
2. Hali nzuri
3. Usalama/fence
4. Inafikika bila changamoto
5. Parking ya gari 2 na kuendelea
Mawasiliano piga 0769746211
Isiwe na dalali
GARI YA KUBEBA CONTAINER 20FT INAHITAJIKA MUSOMA
Pana container linahitajika kusafirishwa ndani ya 50 km toka musoma mjini
Kwa yeyote wa kupata gari hilo tuwasiliane hapa
Mazungumzo yanayohusu ukosefu wa usawa wa kijinsia katika sehemu kubwa ya dunia ni ngumu kuepukika. Hata hivyo, katika miaka ya hivi karibuni wanawake wamekuwa wakipambana zaidi kuliko hapo awali ili haki yao ya kuonekana na kutendewa kwa usawa izingatiwe na kutekelezwa.
Ukosefu wa usawa wa...
Habari wanabodi,
Nimekuwa nikifatilia siasa za ndani na nje ya Tanzania yetu hii.kiukweli juzi kitedo cha Mama kufuta mashtaka yote ya TAL ni ishara kwmba tuna katiba mbaya kuwahi kutokea ,amemruhusu aje Tz kama kaweza kufuta mashtaka thats means anaweza mpa yoyote yule mashtaka.
Tubadili...
Salaam wana Jamii Forums
Nina uhitaji sana wa nyumba ya kupanga
Eneo la Uzunguni, Kisiwani, Vjibweni
Vyumba viwili na sitting room kimoja au vyote viwe Master
iwe ndani ya uzio
Kuwepo na Maji na umeme
Umbali kutka barabarani usizidi 1 kilometer
Bajeti yangu ni laki 2 kwa mwezi fungu...
Nahitaji kompyuta mpakato yenye sifa zifuatazo:
Brands: Dell au Hp
Processor: Core i3 2.2Ghz au zaidi
Ram: 4gb au zaidi
Hard drive disc: angalau 500gb
Screen size: 15" au zaidi
Ukiwa kanda ya ziwa kwa maana ya Mwanza, Shinyanga, Geita itakuwa poa zaidi
kama kichwa cha uzi kinavyosema, Gari ipo bandarini mwenye nayo kashindwa lipia. wajapan wanataka 5000USD wakupe Harrier yako
details zake kwa haraka ni ina mileage ya 241,499 km engine capacity 2360cc na ni ya mwaka 2004
kwa picha karibu inbox au whatsapp us kwa namba hii 0737 881 888
NOTE...
Tanzania leo ni siku yetu adhimu ya kufurahi na kujisikia furaha kwa siku ya uhuru wa nchi yetu ni mfano wa siku ya kuzaliwa lakini kwa baadhi ya watu na sehemu tofauti imekuwa tu ni siku ya kupumzika bila shamlashamla zozote hivi birthday yako uwa inapita hivyo kimya kimya.
Niliwahi kuwa Dubai...
Kuna mtu anahitaji Toyota Noah, roadtour yenye namba C au D. Ana kianzio cha shilingi mil tano, nyingine atamalizia baadae.
Kama unayo au kuna mtu anayo anataka kuisukuma, tafadhali, weka namba zako hapa, utapigiwa simu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.