Wajukuu zangu, umri umeenda, ninawahusia haya!
1. Hakuna mtu anayeheshimu ragi hadi viatu vyake vichafuke, basi kaa kwenye kona yako. Usiombe watu wajue thamani
yako, muda ukifika, hakuna atakayewaambia watafute.
2. Usiwe upatikanaji sana kwa watu maana longtime no see ni bora kuliko...