inasikitisha

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. S

    Inasikitisha, mchezaji wa zamani wa Mamelodi apata matatizo ya akili

    Kiungo mshambuliaji wa zamani wa Mamelodi Sundowns Khayelihle Shozi kwa sasa anapitia tatizo la ugonjwa wa akili. Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 28 alipitia Katika timu za vijana ya Mamelod Sundowns na kupandishwa hadi timu ya wakubwa, Khayelihle alipotea kwa mara ya kwanza mwishoni mwa...
  2. K

    Mhasibu wa Benki atekwa, achomwa petroli porini

    Gazeti la kila siku la Nipashe la leo limekuja na habari nzito inayoelezea namna ya mhasibu mkuu wa bank moja hapa nchini alivyotekwa na watu wasiojulikana kupigwa ,kuteswa kisha kuchomwa moto kwa petrol porini. ========= JESHI la Polisi mkoani Pwani limesema mhasibu wa benki ya BOA tawi la...
  3. Kamanda Asiyechoka

    Inasikitisha sana. Chadema tumekuwa watumwa wa CCM wanatugeuza wanavyotaka

    Hii ni aibu
  4. Abraham Lincolnn

    Nini umuhimu wa semina ya viongozi inayofanyika Arusha?

    Wakati wananchi wakiendelea kuteseka na kupanda kwa bei za bidhaa mbalimbali pamoja na gharama za maisha kiujumla, inasikitisha kuona jicho la serikali linazidi kuelekea katika matumizi ya hovyo ya fedha za umma. Mpaka kiongozi anateuliwa, maana yake anafahamu majukumu ya kiuongozi na mambo...
  5. D

    Inasikitisha sana. Kwanini Azam Media inaendekeza udini namna hii?

    Kwa mara ya kwanza nilipoomba kazi ndani ya Azam Media (Tv na Radio) watu wengi waliniambia si rahisi kupata kazi katika makampuni ya Bakhresa kama wewe si Muislamu. Walioomba kazi hiyo tulikuwa Wakristo 8 na Waislamu 4. Lakini nafasi zilikuwa 13. Cha ajabu kwa Wakristo alichukuliwa mtu mmoja tu...
  6. Analogia Malenga

    Mwanza: Bwana harusi ajinyonga akisubiriwa ukumbini

    Sherehe ya harusi kati ya Swadiku Abas (50) na mke wake, Elieth Rwegashora (40) ambao ni wakazi wa Mtaa wa Zenze eneo lililopo Kiseke wilaya ya Ilemela mkoani Mwanza, iligeuka msiba baada ya bwana harusi kujinyonga muda mfupi kabla ya sherehe kuanza. Kwa mujibu wa taarifa ya Jeshi la Polisi...
  7. Vifaranga200

    Napata fundisho la maisha. Inasikitisha inaniuma Sana

    Wakuu niende moja kwa moja kwenye mada. Miaka kadhaa imepita naona tabia zangu zimechange Sana. Ilikuwa Mwaka 2000 nilipoanza kunywa bia, tena safari. Tabia hii nilianza kutokana na mienendo yangu binafsi Kwa mfano kujenga confidence. Mwaka huo nilikuwa na vihela kiasi. Pombe nilipiga walau...
  8. Phobia

    Inasikitisha sana

    Aisee inasikitisha sana. Moyo wangu umejaa chuki na hasira kwa huu upumbavu wa CCM na Serikali aisee hatujifunzi? Nina hasira na chuki aisee. R.I.p my mate and colleugues
  9. MamaSamia2025

    My first date in Dubai, soma hapa inasikitisha sana

    Dah! Leo nimekumbuka mbali sana aisee. Nakumbuka miaka kadhaa iliyopita nikiwa na yule msichana niliyempenda kuliko KITIMOTO ROSTI NA NDIZI MBILI (Pilipili usiweke), tulienda first date pale Dubai. Mida ya saa 5 asbh hivi tukakwea pipa Emirates hadi huko Dubai na kufika kama saa 12 jioni...
  10. Nyuki Mdogo

    Ninachokiona sasa hivi kwenye account ya Facebook ya Queen Darleen inasikitisha sana, Serikali imuwajibishe

    Huyu msanii wetu amepost kwenye facebook story, video za ajabu sana. Lengo lake nini? Anajiuza? Au ametumwa kutumahasisha tufanye visivyo sawa?
  11. Komeo Lachuma

    INASIKITISHA : Simba tayari ameshapoteza hii game. Arudi tu kuja jipanga

    Nina jamaa yangu Angola yupo na Simba. Yeye ni mwandishi na mchagoat wa habari za Michezo. Anasema kwa aliyoyaona. Simba wanapitwa si chini ya Bao 3 Angola. Hili kanihakikishia hasa baada ya matokeo ya jana ya Mabingwa wa kihistoria kunyimwa bao kizandiki. Simba anapigwa...tena anapigwa vibaya...
  12. adriz

    Majibu ya hoja za uzi kwanini ardhi ya Mbagala haina thamani nitajibu humu

    Habari za muda huu wana Jf, nimeona na kusoma comments zote za uzi wa Retired wenye kichwa cha habari " Kwanini ardhi ya Mbagala haina thamani? Nilichogundua watu wamekosa umakini kwa kiwango kikubwa watu wengi wanajadili bila facts na porojo nyingi sasa nimejipanga kujibu baadhi ya hoja...
  13. MoseKing

    Binti Mkenya, Diana Chepkemoi apitia Jehanamu Saudi Arabia, baada ya kwenda kufanya kazi za Ndani

    This Kenyan girl called Diana Chepkemoi, Meru University student who went to find work in Saudi Arabia. She went healthy, now she is ENSLAVED. See her transformation. Our embassy has her location and employer's phone but they are sitting pretty waiting for her to die. Sad!
  14. N

    Inasikitisha sana: Mfahamu adui wa Yanga, Fouz Lekjaa) aliyeko Morocco

    Mwaka jana mwezi March wakati Motsepe anachaguliwa kuwa Rais wa Caf katika mkutano uliofanyika Rabat Moroko kiu na hamu ya wengi ilikuwa ni kumuona CEO Senzo na Injinia Hersi wa Yanga wakitia team mkutanoni Kiu hiyo siyo ya wabongo ni wadau mbalimbali wa Afrika waliokuwa na hamu wa kuona...
  15. Willima

    Waziri Ummy: Inasikitisha madaktari kuombana rushwa

    Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu amesema rushwa imekithiri na kuota mizizi katika Taasisi ya Mifupa na Mishipa ya Fahamu Muhimbili (MOI) kiasi cha madaktari kuombana rushwa wenyewe kwa wenyewe. Ummy aliyasema hayo juzi, alipozindua bodi mpya ya wadhamini wa Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI)...
  16. N

    INASIKITISHA: MTIBWA BADO HAWAJALIPWA USAJILI WA MSHERI

    ile klabu bora Tanzania na afrika mashariki na inayoogopeka Afrika nzima the dar young africans bado haijalipa pesa ya usajili wa kipa mshery toka mtibwa Klabu hiyo inayoendeshwa kisasa kabisa kwa kufata mfumo wa klabu za la liga pamoja na kupigiwa kelele kwa muda mrefu bado imekausha...
  17. Analogia Malenga

    Uganda: Shule yawavalisha wanafunzi sketi bila kuzingatia jinsia

    Shule ya Sekondari Nyakasura iliyoko Magharibi mwa Uganda imekuwa gumzo baada ya wanafunzi wa kiume wa nchi hiyo kuvaa sketi ikiwa ni sare ya shule hiyo ambayo imeanzisha tangu Mwaka 1926. Mkuu wa shule hiyo amesema mavazi yanayoonekana sio sketi bali ni mavazi ya heshima yaliyokuwa yanavaliwa...
  18. N

    Inasikitisha: Wamemgeuka Mzee Kilomoni kabaki mwenyewe

    Miaka kama minne au mitatu nyuma mzee Hamis kilomoni alipinga kwa nguvu zote simba kuwekwa chini ya mikono ya watu wachache na ma genius kama sisi tukamuunga sana mkono matokeo yake mzee huyo shujaa aliwekwa ndani na kufukuzwa kundini. Ona sasa leo simba iko chini ya ma chuplichupli kanjibai...
  19. mwanamwana

    INASIKITISHA: Msanii Dullayo awa mlevi kupindukia, atia huruma

    Msanii wa Muziki wa Kizazi kipya aliyewahi kutamba na vibao vikali mwenye maskani yake Ukonga Majumba Sita amejiingiza katika ulevi wa kupindukia. Wengi wanadai ni stress baada ya kushindwa kwendana na kasi ya muziki. Nisiongee sana ila tizameni video hiyo...
  20. N

    Video: Inasikitisha jinsi Mayele alivyologwa Kigoma vs Ruvu shooting

    Mshambuliaji anayeshika nafasi ya pili kwa ubora kwa sasa barani Afrika nyuma ya Peter Shalulile, the greatest Fiston Mayele ambaye takwimu zinaonyesha ni mshambuliaji hatari kuwahi kutokea katika ligi ya Tanzania alikumbana na mauzauza ya ajabu huko kigoma Mayele kama ilivyo kwa team nzima ya...
Back
Top Bottom