Ndugu msomaji, namba yangu ni 0712 148001.
Magari nitakayopost kwenye uzi huu, bei yake ni milioni tano kushuka chini, usije kukubali kupigwa.
Nunua gari kuendana na uchumi wetu wa mitano tena.
WhatsApp 0712 148001.
bajaj
benz
brevis
carina
fuso
ist
kilimanjaro porters assistance project
kushuka
land cruiser
magari
mama salma
mama samia
mazda cx-5
mazda demio
mazdacx5
milioni
mitano tena
noah
passo
pickup
pilau la mama samia
prado
range rover
raum
simba fc
suzuki escudo
suzuki swift
toyota
vitz
wadau wa biashara
Habari wakuu,
Kuna huyu mdogo wetu kitaani hapa amemaliza chuo miaka kadhaa iliyopita ila yupo home Hana mishe za kueleweka. Sasa Mzee kastaafu na ameshachukua kiinua mgongo. Dogo amemwomba Mzee anunue gari ili awe anapiga mishe za taxi mtandao(Uber,bolt nk).
Chaguo lake yeye lilikuwa ni...
Karibu kwenye maandalizi ya sherehe, malaika wa bwana ameanza kupasha habari kwa watumishi
Safari ilikuwa ni ndefu na ya kuchosha lakini kwa hapa tulipofika nisisite kusema ni haki malaika kupaa angani wakiwa wanashangilia kwani ushindi umeonekana mbele ya macho yao
Ile ahadi ya bwana mungu...
Niliona juzi kati kunaa mdau anaulizia gari ambalo akiendesha watu wajue amejipata.
Sasa leo nikawa nafanya comparison ya kutaka kuagiza magari mawili, yote ya mwaka mmoja 2006.
BMW 3 series, 2006 generation ya E90, model 320i, ikiwa mpya 2006 iliuzwa $40,000 na leo naweza ipata kwa $930...
Wengi tukiongelea Toyota IST tunaongelea first gen na 2nd generation, ambazo nchi nyingine ikiwemo America na UK wanaziita Urban Cruise.
Sasa leo, jamaa kutoka JP wamezindua generation nyingine ya Urban Cruise ambayo ni full EV.
Inakuja na power options mbili, kubwa ni AWD, 182 hp dual motor...
Katika kuendesha kwangu gari barabarani, nimegundua kwamba madereva wengi wa hivi vigari vidogo vidogo kama IST, wana fujo sana barabarani. Na mara nyingi utakuta ni vigari vichafu vichafu na vilivyochakaa.
Kila nikiangalia dereva wake, nakuta ni vijana wa kiume. Inaonekana wengi wao ni...
Ndio its a fresh import hii Safari tembo mafuta Mbuzi kazi ni kwako....
Machine ni YA 2005 ina km 58,000 CC 1290 na imetoka Japan juzi tu bado inanukia Ki Japan Japan...
Service yake haizi 100K oil Filter 10K, Engine Oil Mafuta ya Kula Air Cleaner unapuliza Labour Charge 5K..
Sasa ukianza...
"Halafu utakuta Mtu bila Aibu anaendesha IST yake halafu na Yeye akifika Kwake anapiga Honi afunguliwe Geti. Hivi hawaoni Aibu? Mwenye Range Rover na Gari zingine za Thamani kama Mercedes Benz na Landcruiser V8 VX wapige Honi na Wewe mwenye Gari yenye Thamani kama ya hii Simu yangu ya Shilingi...
Habari
Siku hizi kuna mtindo umeingia sana bodaboda zinasanya kama daladala na mara nyingi mwanamke huwekwa kati huku dume likipumulia Kwa nyuma
Mwanaume jipinde mnunulie mkeo au mpenzi wako ata IST usikubali kuwa lofa.
Nina rafiki yangumambo yamemkalia kombo,anataka kuigeuza altezza yake kuwa bolt.
Lakini kwa injini iliyomo hawezi kupata faida,je anaweza kuweka injini ya IST?
Is it compatible??
ANGALIA PICHA ya gari yako unichek kwa hitaji la spea.
WhatsApp 0712 148001.
Pia nanunua magari chakavu .
Ukiniunganisha nikanunua gari posho MLIMA.
Pia nitakua natoa vocha mara moja moja kwenye uzi huu.(simu ziite jamani).
Mods uzi usiunganishwe.
benz
bmw
carina
escudo
gx100
harrier
ist
kioo
landcruiser
magari
mark2
mazda
noah
pajero
picha
premio
raum
rav4
side mirror
spea
steelring
suzuki
taa
toyota
used
vitasa
vitz
voxy
wish
wishbone
ANGALIA PICHA ya gari yako unichek kwa hitaji la spea.
WhatsApp 0712 148001.
Pia nanunua magari chakavu .
Ukiniunganisha nikanunua gari posho MLIMA.
Pia nitakua natoa vocha mara moja moja kwenye uzi huu.(simu ziite jamani).
benz
bmw
carina
escudo
gx100
harrier
ist
kioo
landcruiser
magari
mark2
mazda
noah
pajero
picha
premio
raum
rav4
side mirror
spea
steelring
suzuki
taa
toyota
used
vitasa
vitz
voxy
wish
wishbone
Nasikis paredi imeandaliwa kabisa baada ya kutwaa IST Cup. Wanayanga watatembea vifua mbereee kunadi hicho kikombe ambacho wakifanya mchezo hawanyanyui tena kwapa msimu huu.
Yanga bana. Waliyakejeli mashindano ya Kombe la Muungano kisa yalikuwa na timu 4 tu, wao wameenda kukenua meno na...
mKWA NINI TOYOTA IST HUWA ZINA CHOKA MAPEMA
Toyota IST zina injin ambayo ina uvumilivu kwakipindi kifupi
1) INJIN KUA NA MLIO WA TOFAUT
Hapa tatizo ni kutumia oil ambayo sio sahihi hivyo injin hizi zitakuvumilia kwa kipind kifupi baada ya hapo
Utashangaa gari ni IST ila ina mngurumo wa...
TOYOTA IST INAUZWA BEI NZURI
LOC: MBEZI BEACH.
YEAR OF MANUFACTURER:~2002
PRICE:8750000 ml
ENGINE CAPACITY: 1490 CC
ENGINE : 2NZ
MAWASILIANO
----0784379396
---- 0673805806
NOTE: GARI HAINA CHANGAMOTO YEYOTE YA KIUFUNDI, KARIBU NA FUNDI WAKO UJE UKAGUE UJIRIZISHE TUFANYE BIASHARA.
Nilikuwa sijui kama kuna ng'ombe mwenye thamani inayozidi milioni tano.
Lakini hii clip imenifungua macho! Ng'ombe wa maziwa anauzwa Tsh 12,000,000/=
Milioni kumi na mbili si bei ya IST used?
Ufugaji wa ng'ombe wa maziwa unalipa!
Mmiliki wa gari aina ya Toyota IST mwenye shida na fedha ya haraka, namba zinazonzia
DP..DQ..DR....DS...na kuendelea anicheki inbox bajeti yangu ni Tsh.8.5mil.
Tafadhali madalali habari ya kuambiana fedha yangu ndogo au kukatisha tamaa tuache pembeni