italy

  1. Ituzaingo Argentina

    Finalissima, Italy and Argentina, Tomorrow!

    Tarehe 1/june, kutakua na mechi babkubwa, kati ya Argentina ambao ni mabingwa wa bara lao (Amerika ya kusini) wanakutana na Italy ambao pia ni mabingwa wa bara lao (Ulaya) Game litachezwa tarehe 1/june, saa 3:45, usiku.
  2. Sky Eclat

    Photo: Rome when it became the capital of the Kingdom of Italy (1871)

    Wakati huu nchi za Ulaya iliyojulikana ki diplomasia na kibiashara ilikua England, France na Austria.
  3. Sky Eclat

    The roof of an old Fiat factory. (Lingotto, Turin - Italy)

  4. V

    INAUZWA Wauzaji wa suti genuine kutoka Uturuki na Italy

    Karibuni smart collection ni wauzaji wa suti genuine kutoka Italy na Uturuki Suti zetu ni slim body Size 32mpka 40 unapata Kwa bei ya Tsh 250,000 Utapata koti kizibao na suruali Tuko kariakoo Mkoani tunatuma kwa uaminifu mkubwa Whatapp 0657710078
  5. B

    DIPLOMASIA - Dr. Liberata Mulamula: Tanzania relationship with Italy is strong

    12 October 2021 Rome, Italy In an exclusive interview with Vatican News Liberata Mulamula Rutageruka Minister of Foreign Affairs and Cooperation in East Africa of the United Republic of Tanzania, highlights the important results of the third edition of the Italy-Africa Ministerial Conference...
  6. MK254

    Maembe ya Kenya yapita mtihani na kukubalika Italy, sasa ni mwendo wa biashara

    Tunaendelea kutanua soko la matunda yetu Ulaya na Mashariki ya mbali...mkulima wa Kenya ushindwe mwenyewe. Kilimo biashara ndio mwendo sasa..... ================================= Kenya’s mangoes have received a clean bill of health in Italy in a major boost to growers as the country prepares to...
  7. Greatest Of All Time

    Euro 2020 - Special Thread | Pata kujua yanayojiri katika Michuano hiyo

    Salama wakuu, Michuano ya Euro 2020 inategemewa kuanza hapo Juni 11 takribani wiki tatu kutoka sasa. Michuano hii ilitakiwa ifanyike juni mwaka jana 2020 ila ilihairishwa kutokana na Corona. Hivyo Uefa ikaamua michuano hiyo ifanyike mwaka huu lakini iendelee na jina lilelile la Uefa Euro 2020...
  8. Napoleone

    Jamaa yangu amepata maambuki ya Virusi vya UKIMWI, namuonea huruma. Inabidi arudi kwao Italy

    Kuna jamaa yangu m1 bwana yupo bongo mwaka wa pili huu ila kwa maisha aliyokuwa anaishi anayoish had sasa kiukwel nilijua tu ipo siku kitu kama hiki kingetokea hapa kachanganyikiwa week ya pili hii hata nje hatoki. Huyu jamaa ni muitaliano. Mzungu Og kabisa yaani Kwa jinsi alivyokuwa na list ya...
  9. T

    Baada ya miaka 11 kupita: Inter Milan yatwaa ubingwa wa Italy 2020/21

    Inter Milan imetwaa ubingwa wa Italy baada ya miaka 11 kupita na kumaliza utawala wa Juventus ambayo imetwaa ubingwa kwa Mara kumi(10) mfululizi. Mara ya mwisho inter kutwaa ubingwa ni msimu 2010/11 Chini ya kocha Mourinho na leo imetwaa ubingwa chini ya kocha Antonio Conte baada ya Atalanta...
  10. Infantry Soldier

    Ni nani alifuatilia mauaji ya Giulio Regeni? Mwanafunzi wa Italia aliyetekwa nyara Misri kisha kuuawa kwa tuhuma za ujasusi

    EGYPTY - ITALY ON THE VERGE OF DIPLOMATIC STANDOFF: Mvutano mkubwa wa kidiplomasia baina ya Italia na Misri juu ya kifo cha mwanafunzi Giulio Regeni. Mnamo Septemba 5, Misri na Italia zilianza tena uhusiano wao wa kidiplomasia baada ya mwaka mmoja na nusu, wakimrudisha Balozi wa Italia...
  11. babukijana

    Luis Vuitton (LV) Italy na lus vutton ya mchina

    Naangalia tu hapa ivideo cha online kuna mtu mmoja anaongea sana kwenye hii habari kuhusu koti na hilo koti limewekwa kwa euro nyingi sana ni uongo. Kuvaa Koffi hana jipya ndio maana nguo zake hamzielewi ye anavaa modo na zile za bei kali always na instructor wake ni Papa Wemba(Le Sarpeur)view...
  12. Geza Ulole

    WSF: Italy signs Kenya's debt cancellation

    WSF: Italy signs Kenya's debt cancellation Home / APC Talk / WSF: Italy signs Kenya's debt cancellation By APC | 23 January 2007 At the World Social Forum the International Alliance of Inhabitants (IAI) entered in a dialogue with the Italian Minister for Development Co-operation, Patrizia...
  13. Ndombwindo

    Started in Wuhan as a virus, landed in Italy as a pandemic and now in Kenya as multi-billion Ksh corruption enterprise

    Ama hakika dunia hadaa ulimwengu shujaa, Asante sana Magufuli kwa kutuepusha na hii enterprises from Wuhan.
  14. hiram

    Klabu ya AS Roma (Italy) yatoa neno msiba wa Mkapa

    Imagine Klabu ya soka ya AS ROMA ya nchini italia ina ukurasa maalum wa twitter wa kiswahili na hata tarehe 24 july walitoa hisia zao kuhusiana na kifo cha Rais mstaafu B.W. Mkapa, ni wakati sasa wa vilabu vyetu kuwa na kurasa maalum za Kiingereza.
  15. T

    Italy inatarajia kuiondoa Huawei kwenye mpango wake wa 5G

    Nchi ya Italia inatarajia kuiondoa Huawei kwenye mpango wake wa 5G sawa na nchi kadhaa za Umoja wa Ulaya Mwaka jana Italia ilitoa green light kwa kampuni ya Huawei kushiriki kwenye uanzishwaji wa 5G nchini humo. Sasa kutokana na shinikizo kubwa la Marekani kwa nchi washirika kuachana na Huawei...
  16. B

    Corona: Machine rahisi za kupima zilivyoleta mapinduzi ya ugonjwa Italy

    Moja kwa moja kwenye mada itifaki yote imezingatiwa. Ninaandika uzi huu nikiwa ninafahamu kuwa Corona imetangazwa kuwa imedhibitiwa Tanzania, pasipokuwapo na takwimu zozote rasmi za kimaabara hadharani. Ninaandika uzi huu nikiwa ninafahamu mafanikio haya makubwa ambayo Tanzania imeyapata...
  17. R

    Vifo vyaongezeka Uingereza, vyazidi vya Italy

    1. Vyafikia 29,427 2. Ndiyo nchi yenye madhara makubwa Ulaya Sky Eclat kuna nini mbona kunazidi kutisha? What is wrong there? pamoja na measures zote ===== UK overtakes Italy to record highest coronavirus death toll anywhere in Europe A member of the UK ambulance service wearing personal...
  18. M

    Inasikitisha sana wazungu wanaposhangaa na kuhuzunika hadi sasa Corona haijaua kwa wingi Waafrika kama Italy na New York

    Walitabiri wiki tatu zilizopita ikifika pasaka waafrika weusi watapuputika kama Nzi kwaugonjwa wa Corona na walikuwa wanasubiri kwa hamu sana itokee. Hadi jana walishangaa masela bado tunadunda tuu licha ya kujisaidia porini na vichakani na IQ zetu mbovu zenye Mushkheli. Kuna kahusuda fulan...
  19. S

    Corona; Ufaransa yahodhi shehena ya mask zilizokuwa zipelekwe Italy na Spain

    Corona yaendelea kuwatoa utu mabeberu. Kampuni ya utengenezaji wa vifaa tiba ya Uswizi, imelalamika kuwa Ufaransa imewachezea rafu mbaya mno Italy na Spain baada ya kuhodhi mzigo wa mamilioni ya mask za uso na glovu zilizokuwa zinasafirishwa kwenda kwenda Itali na Spain kupunguza maambukizi ya...
  20. Mtini

    Italy hali yazidi kuwa mbaya: Kabla hujalala tumia walau dakika moja kuwaombea kwa Mungu

    Pamoja na hatua zote walizochukua hali bado ni tete sana. Siku ya leo tu watu 919 wamefariki kutokana na corona. Badala ya idadi ya vifo kupungua inazidi kuongezeka kila siku, pls kabla hujalala tumia hata dakika moja kuwaombea kwa Mungu awasaidie
Back
Top Bottom