MOSCOW — The Russian army on Sunday began flying medical help to Italy to help it battle the new coronavirus after receiving an order from President Vladimir Putin, a goodwill gesture that Moscow labeled “From Russia with Love.”
Giant Il-76 military planes began taking off from an airbase in...
Tuungane pamoja kuwaombea pumziko la Milele Mapadre hawa ambao wamefariki Dunia nchini Italia kutokana na Virusi vya Corona.
Mapadre hawa walipata maambikizi wakati wakitoa huduma ya Kiroho kwa waathirika wa Virusi vya Corona.
Ee Mwenyezi Mungu uwape Pumziko la Milele, na Mwanga wa Milele...
Hii ni kwa mujibu wa Mamlaka ya afya ya nchi hiyo.
Wengi wao walikuwa na Ugonjwa wa shinikizo la damu, kisukari na matatizo ya moyo.
Chanzo: Bloomberg
====
99% of Those Who Died From Virus Had Other Illness, Italy Says
More than 99% of Italy’s coronavirus fatalities were people who suffered...
Kaka yangu amewekwa quarantine China akitokea Italy kwa kifupi yupo Corona positive.
At the moment nahisi jambo pia tumekutana in two weeks, personally najiweka quarantine nione majibu.
Huu ni ujumbe wake wa mwisho.
"🇨🇳🙏🏽...it wasn’t easy leave my family in that way 🥺 I do miss them a lot and...
Waziri Mkuu wa Australia Bw. Scott Morrison akiwa katika mkutano na waandishi wa habari alitangaza kuongeza zuio la wananchi wake kusafiri kwenda nchini Italia ikiwa ni miongoni mwa mkakati wa nchi hiyo kuwalinda Wananchi wake dhidi ya ugonjwa wa Covid 19.
Sambamba na hilo, meelezwa kuwa nchi...
Serikali ya mapinduzi Zanzibar imesitisha safari zote za ndege kutoka Zanzibar na sherehe zote zinazohusisha wageni kutoka nje.
Waziri wa Afya Zanzibar Mh. Hamad Rashid amesema wamechukua hatua hizo ili kukabiliana na hatari ya Corona iliyoko huko duniani.
Source Star tv!
Starbucks imefungua mgahawa wake wa kwanza nchini Italia. Mgahawa huo umefunguliwa katika Jiji la Milan, kaskazini mwa nchi hiyo. Mojawapo ya kahawa zinazouzwa ni inayotoka Tanzania na inapatikana hapo kwa TZS 22,000 kwa gramu 100.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.