ivory coast

Ivory Coast, also The Ivory Coast and formally Côte d'Ivoire, officially the Republic of Côte d'Ivoire, is a country located on the south coast of West Africa. Ivory Coast's political capital is Yamoussoukro in the centre of the country, while its economic capital and largest city is the port city of Abidjan. It borders Guinea to the northwest, Liberia to the west, Mali to the northwest, Burkina Faso to the northeast, Ghana to the east, and the Gulf of Guinea (Atlantic Ocean) to the south. The official language of the republic is French, with local indigenous languages also being widely used that include Baoulé, Dioula, Dan, Anyin, and Cebaara Senufo. In total, there are around 78 different languages spoken in Ivory Coast. The country has large populations of Muslims, Christians (primarily Roman Catholics) and various indigenous religions.
Before its colonization by Europeans, Ivory Coast was home to several states, including Gyaaman, the Kong Empire and Baoulé. The area became a protectorate of France in 1843 and was consolidated as a French colony in 1893 amid the European scramble for Africa. It achieved independence in 1960, led by Félix Houphouët-Boigny, who ruled the country until 1993. Relatively stable by regional standards, Ivory Coast established close political and economic ties with its West African neighbors while at the same time maintaining close relations to the West, especially France. Ivory Coast experienced a coup d'état in 1999 and two religiously-grounded civil wars, first between 2002 and 2007 and again during 2010–2011. In 2000, the country adopted a new constitution.Ivory Coast is a republic with strong executive power vested in its president. Through the production of coffee and cocoa, the country was an economic powerhouse in West Africa during the 1960s and 1970s, though it went through an economic crisis in the 1980s, contributing to a period of political and social turmoil. It was not until around 2014 that the gross domestic product again reached the level of its peak in the 1970s. In the 21st century, the Ivorian economy has been largely market-based, and it still relies heavily on agriculture, with smallholder cash-crop production being predominant.

View More On Wikipedia.org
  1. Waufukweni

    Tidjane Thiam aukana Uraia wa Ufaransa ili kugombea Urais wa Ivory Coast

    Aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu Mtendaji wa Benki ya Credit Suisse, Tidjane Thiam ,62, ameukana uraia wake wa Ufaransa ili kutimiza masharti ya kushiriki katika uchaguzi wa urais wa Ivory Coast unaotarajiwa kufanyika mwezi Oktoba. Mwaka 2023, Thiam alichaguliwa kuwa kiongozi wa PDCI moja ya vyama...
  2. Dalton elijah

    Ivory Coast :Aukana Uraia Agombee Urais

    Alliyekuwa Mkurugenzi Mkuu Mtendaji wa Benki ya Credit Suisse, Tidjane Thiam ,62, ameukana uraia wake wa Ufaransa ili kutimiza masharti ya kushiriki katika uchaguzi wa urais wa Ivory Coast unaotarajiwa kufanyika mwezi Oktoba. Mwaka 2023, Thiam alichaguliwa kuwa kiongozi wa PDCI, moja ya vyama...
  3. Mindyou

    Rais wa Ivory Coast awafukuza wanajeshi wa Ufaransa nchini Ivory Coast

    Rais wa Ivory Coast Alassane Ouattara ameamuru Wanajeshi wa Ufaransa nchini mwake kuanza kuondoka kuanzia Januari hii. Katika ujumbe wake mnamo Desemba 31, 2024, Rais Ouattara amesema “tumechukua uamuzi kwamba Wanajeshi wa Ufaransa waanze kuondoka Côte d’Ivoire kwa njia iliyopangwa.” Ufaransa...
  4. Mkalukungone mwamba

    Timu ya Taifa ya Ivory Coast timu bora ya Taifa ya wanaume

    Timu ya Taifa ya Ivory Coast ambao ni mabingwa watetezi wa AFCON , wametajwa kuwa timu bora ya Taifa kwa upande wa wanaume
  5. Mkalukungone mwamba

    Mke wa Rais wa zamani wa Ivory Coast, kuwania Urais mwaka 2025

    Familia imenogewa na kiti cha Urais baada ya Mume sasa Mke naye akitamani kiti hicho! =================== Mke wa Rais wa zamani wa Ivory Coast, Simone Ehivet Gbagbo ametangaza kuwa atagombea katika Uchaguzi wa Urais wa 2025, akisisitiza kwamba anataka kuijenga Ivory Coast mpya. Amesema kuwa...
  6. GENTAMYCINE

    Kama hiki nilichokiona katika Clip ya Mchezaji Pascal Sergi Wawa akiwafundisha Soka Vijana wa Ivory Coast ni kweli namshauri aachane tu na kuwa Kocha

    Yaani Clip nzima Yeye ni Kufoka tu huku akiwatukana Wachezaji Vijana na ninahisi hata mbeleni labda Aliwapiga pia.
  7. Dalton elijah

    WHO yazindua chanjo mpya dhidi ya Malaria, Ivory Coast

    Utafiti unaonyesha kuwa chanjo mpya ina ufanisi zaidi ya 75% katika kuzuia magonjwa na vifo vikali katika mwaka wa kwanza na kwamba kinga huongezwa kwa angalau mwaka mmoja zaidi kwa kupata chanjo ya ziada yaani booster. Zaidi ya 94% ya takribani visa milioni 249 vya malaria duniani na vifo...
  8. L

    Dickson Job arudishe posho zote alizolipwa kwenye safari ya Afcon Ivory Coast

    Mchezaji mfupi kuliko wote nchini akiwqzidi madifenda wa zamani akina George Magere Masatu au Paulo John Masanja Dickson, Dickson Job ameachwa katika kikosi cha stars kwa madai ya kugomea kucheza beki wa kulia kwenye mchezo dhidi ya DRC. Huyu bila kupepesa macho wala kuleta ushabiki, ingekuwa...
  9. Suley2019

    FT: Asec Mimosas 0 - 0 Simba | CAF CL | Felix Houphouet Boigny Stadium | 23.02.2024

    Wawakilishi wa Tanzania, Simba watakuwa dimbani wakisaka ushindi Ijumaa, Saa 4:00 usiku, Mnyama Simba SC atakuwa ugenini kuwavaa Asec Mimosas Dondosha maoni na utabiri wako kuhusu mchezo huu Kikosi cha Simba SC kinachoanza leo Kikosi cha Asec Mimosas kinachoanza leo Mchezo umeanza Dakika...
  10. SAYVILLE

    Sebastian Haller, mchezaji wa Ivory Coast akipokelewa klabuni kwake baada ya kushinda AFCON

    Sebastian Haller, mshambuliaji wa Ivory Coast aliyefunga magoli muhimu katika mechi za mwishoni zilizoipa Ivory Coast ubingwa wa AFCON 2023 amerudi kwenye klabu yake ya Borussia Dortmund na kupokelewa kwa staili hii. Mchezaji wa AFCON wa nchi yako amepokelewaje aliporudi klabuni kwake...
  11. I

    Wachezaji wa Ivory Coast, Nigeria na Afrika Kusini wapewa zawadi nono na serikali zao.

    Pesa, nyumba na heshima zinatolewa kwa wanasoka kutoka Ivory Coast na Nigeria, baada ya mchujo wa fainali ya Kombe la Mataifa ya Afrika Jumapili. Kila mchezaji katika kikosi kilichoshinda cha Ivory Coast ataweka mfukoni $82,000 (£65,000) zaidi ya shilingi milioni mia mbili za kitanzania na...
  12. JanguKamaJangu

    Baada ya AFCON hivi ndivyo wachezaji wa Ivory Coast na Nigeria wanavyokula mkwanja na kupewa nyumba

    Baada ya Ivory Coast kutwaa ubingwa wa Kombe la Matafa ya Afrika (AFCON 2023) kila mchezaji anatarajiwa kupata Dola 82,000 pamoja na nyumba ikiwa ni ahadi ya Rais wa taifa hilo, Alassane Ouattara. Upande wa Nigeria walioshika nafasi ya pili kila mchezaji atapata Tuzo ya Heshima, nyumba na...
  13. T

    Tazama Barabara za Ivory Coast, linganisha na Barabara za Tanzania

    Tazama hizi ni barabara za Ivory Coast kwa uchache. Ivory Coast ni nchi imekuwa kwenye vita ya wenyewe kwa wenyewe hadi miaka ya hivi karibuni. Angalia miundombinu yao ya barabara. Jiulize Tanzania tunakosea wapi?
  14. SAYVILLE

    Ivory Coast kuendelea kuisifu na kuiabudu Morocco ni upuuzi uliopitiliza

    Katika mechi za mwisho hatua ya makundi katika mashindano ya AFCON 2023, Ivory Coast walikuwa wanahitaji Morocco ishinde mechi yake dhidi ya Zambia ili iweze kuinusuru Ivory Coast kuweza kuvuka hatua iliyofuata ya 16 bora. Na kweli, Morocco ilishinda 1-0 na Ivory Coast ikavuka kama best loser...
  15. JanguKamaJangu

    Sebastien Haller: Kutoka kupambana na Saratani hadi kuwa shujaa wa Ivory Coast

    Baada ya Ivory Coast kutwaa ubingwa wa AFCON 2023, mfungaji wa goli la ushindi Sebastien Haller alihojiwa na Waandishi wa Habari, akiwa katikati ya mahojiano akaanza kulia. Hatua hiyo ilitokana na kumbukumbu kuwa mwaka mmoja uliopota alirejea uwanjani baada ya kuwa nje ya uwanja kwa miezi sita...
  16. Teko Modise

    FT: Nigeria 1-2 Ivory Coast | 2024 AFCON Final | Stade Alassane Outtara | 11.02.2024. Ivory Coast abeba ubingwa

    Majira ya Saa 5:00 Usiku kutapigwa mchezo wa Fainali ya AFCON 2024 ambapo Nigeria atawavaa wenyeji Ivory Coast. Ni mchezo unaovuta hisia za wengi hasa kutokana na viwango vya timu zote mbili. Nigeria ikionekana ni timu iliyokamilika huku Ivory Coast unyumbani ukiwasaidia. Kura yako unampa nani...
  17. M

    Dah! Nimeamini Kwenye Mpira uchawi upo, Sio kwa Alichokifanya Ivory Coast leo!

    ***** yaani Mali akanifanya nijione leo namkalisha kanji kipindi chote cha kwanza mpaka cha pili baada ya goli nikajiona nimemaliza kazi! ***** alooo Ivory coast walinishangaza kama mtu kavamiwa na nyuki, sio kwa boli lile jamani ule ni uchawi, yaani timu iko pungufu baada ya red card halafu...
  18. JanguKamaJangu

    Ivory Coast hiyoooo Nusu Fainali AFCON kwa kuifunga Mali magoli 2-1

    Licha ya Timu ya Taifa ya Ivory Coast kucheza pungufu kuanzia kipindi cha kwanza dhidi ya Mali katika Robo Fainali ya Kombe la Mataifa ya Afrika, bado hiyo haikuwa kikwazo cha kuingia Nusu Fainali kwa kushinda magoli 2-1, Februari 3, 2024. Ivory Coast ilimpoteza Odilon Kossounou aliyepata kadi...
  19. Mpigania uhuru wa pili

    Pacome Zouzoua alipokea tuzo ya mchezaji bora wa ligi ya Ivory Coast 2023 ila waziri hamjui

    Katika bara ambalo linavituko na linawatu ambo hawako serious bas ni Africa ndo maana umaskini umetamalaki na uongozi mbovu in general. Mwaka jana 2023 pacome alipokea tuzo ya mchezaji bora wa ligi ya ivory coast kupitia tuzo. Swali la kujiuliza mchezaji bora waziri humjui kabisa hiki ni...
  20. Greatest Of All Time

    Waziri wa Michezo wa Ivory Coast asema hamjui Pacome

    “Wakati tunaendelea na mazungumzo na Waziri wa Michezo wa Ivory Coast nikamuuliza kwanini mmemuacha Pacome akaniuliza Pacome ndiyo nani? Nikamjibu ni Mchezaji wa Yanga na ni nyota wa Ligi Kuu” Mheshimiwa Damas Ndumbaro, Waziri wa Michezo akieleza moja ya mahojiano yake aliyoyafanya na Waziri...
Back
Top Bottom