ivory coast

Ivory Coast, also The Ivory Coast and formally Côte d'Ivoire, officially the Republic of Côte d'Ivoire, is a country located on the south coast of West Africa. Ivory Coast's political capital is Yamoussoukro in the centre of the country, while its economic capital and largest city is the port city of Abidjan. It borders Guinea to the northwest, Liberia to the west, Mali to the northwest, Burkina Faso to the northeast, Ghana to the east, and the Gulf of Guinea (Atlantic Ocean) to the south. The official language of the republic is French, with local indigenous languages also being widely used that include Baoulé, Dioula, Dan, Anyin, and Cebaara Senufo. In total, there are around 78 different languages spoken in Ivory Coast. The country has large populations of Muslims, Christians (primarily Roman Catholics) and various indigenous religions.
Before its colonization by Europeans, Ivory Coast was home to several states, including Gyaaman, the Kong Empire and Baoulé. The area became a protectorate of France in 1843 and was consolidated as a French colony in 1893 amid the European scramble for Africa. It achieved independence in 1960, led by Félix Houphouët-Boigny, who ruled the country until 1993. Relatively stable by regional standards, Ivory Coast established close political and economic ties with its West African neighbors while at the same time maintaining close relations to the West, especially France. Ivory Coast experienced a coup d'état in 1999 and two religiously-grounded civil wars, first between 2002 and 2007 and again during 2010–2011. In 2000, the country adopted a new constitution.Ivory Coast is a republic with strong executive power vested in its president. Through the production of coffee and cocoa, the country was an economic powerhouse in West Africa during the 1960s and 1970s, though it went through an economic crisis in the 1980s, contributing to a period of political and social turmoil. It was not until around 2014 that the gross domestic product again reached the level of its peak in the 1970s. In the 21st century, the Ivorian economy has been largely market-based, and it still relies heavily on agriculture, with smallholder cash-crop production being predominant.

View More On Wikipedia.org
  1. Kurunzi

    KIUNGO mpya wa Yanga, Stephane Aziz Ki ameshinda tuzo ya mchezaji bora wa Ligi ya Ivory Coast

    KIUNGO mpya wa Yanga, Stephane Aziz Ki ameshinda tuzo ya mchezaji bora wa Ligi ya Ivory Coast kwa msimu uliopita wakati akiichezea Asec Mimosas. Nyota huyo ambaye amejiunga na Yanga msimu huu usajili wake ulikuwa gumzo kutokana na utambulisho wake uliofanyika Julai 15 alfajiri huku akitegemewa...
  2. Lady Whistledown

    Wanaharakati Nchini Ivory Coast walaani Mswada wa Kuruhusu Wanaume kuoa wake wengi

    Wanaharakati wa Haki za Wanawake wamesema Mswada unaopendekezwa wa kuhalalisha na kurejesha tena ndoa ya wake wengi kwa Wanaume, ni kurudisha nyuma jitihada za vita vya usawa wa kijinsia Nchini humo. Ndoa za wake wengi zilipigwa marufuku nchini humo mnamo 1964 huku Tume ya Umoja wa Mataifa ya...
  3. JanguKamaJangu

    Mali yawakamata wanajeshi 50 wa Ivory Coast, yadaiwa ni mamluki

    Serikali ya Mali inawashikilia wanajeshi 50 wa Ivory Coast ikidai ni mamluki waliowasili Nchini humo kwa mgongo wa kuwa wanafanya kazi na Umoja wa Mataifa Msemaji wa Serikali ya Mali, Abdoulaye Maiga amesema wanajeshi hao waliwasili kinyume cha sheria akiwaita watu hao ni ‘mamluki’ na kuwa...
  4. Lady Whistledown

    Ivory Coast: Waziri Mkuu atangaza kujiuzulu

    Waziri Mkuu wa Ivory Coast, Patrick Achi amewasilisha barua ya kujiuzulu kwake na kwa Serikali yake. Rais Alassane Ouattara amekiri ukweli wa taarifa hiyo maamuzi ambayo yalitangazwa baada ya mkutano wa Baraza la Mawaziri ambapo alikubali kujiuzulu. Mkutano huo ulifanyika leo Aprili 13, 2022...
  5. Kurunzi

    Twende na Taifa Stars Ivory Coast AFCON 2023

    Natamani ifanyike kampeni kubwa ya kuhamasisha timu yetu ya taifa kwenye mashindano ya AFCON 2023 yatakayofanyika Ivory Coast 2023. TFF na Serekali huu ndiyo wakati wa kuunganisha nguvu kuwashirikisha wadau na wanachi kwa ujumla kwenye kampeni hiyo. Updates TIMU ya Taifa Tanzania 'Taifa...
  6. Anna Nkya

    Rais Samia anaweza kwenda Ivory Coast mwezi ujao

    Benki ya Maendeleo ya Afrika imemualika Rais Samia Suluhu kuhudhuria Jukwaa la Wawekezaji Afrika litakalotoa fursa ya kuwakutanisha na wawekezaji na kusaidia upatikanaji wa mitaji. Mualiko huo umetolewa leo na Rais wa Benki hiyo, Dkt Adesina Akinumwi alipozungumza na Rais Samia kwa njia ya simu...
  7. MK254

    Kampuni ya Kenya yatanua hadi Ivory Coast

    Mwendo wa kuendelea kutia Afrika yote kwapani na kukimbia nayo. Hapa Afrika Mashariki na Kati tulishamaliza mchezo, tumefika pia SADC sasa tunelekeza pua. Magharibi na Kaskazini mwa Afrika, hili bara lina watu zaidi ya bilioni, yaani parefu sana. ====== Sendy Ltd, a Kenyan digital logistics...
  8. jollyman91

    Mke wa Rais wa zamani wa Ivory Coast aasisi harakati ya kisiasa

    Mke wa Rais wa zamani wa Ivory Coast Bi Simone Gbagbo leo ameshiriki katika uzinduzi wa harakati ya kisiasa, ikiwa ni hatua moja kuelekea kuasisi chama chake cha siasa kwa ajili ya uchaguzi wa rais wa mwaka 2025. Simone Gbagbo ametilia mkazo mwelekeo wake wa kuwa na "Kodivaa yenye nguvu, iliyo...
  9. J

    Mkurugenzi Mkuu wa Posta Ivory Coast atembelea Posta Tanzania

    MKURUGENZI MKUU WA POSTA IVORY COAST ATEMBELEA POSTA TANZANIA. Na Mwandishi Wetu, Dar e's Salaam. Mkurugenzi Mkuu wa Posta Ivory Coast na Mwenyekiti wa Baraza la Utawala la Umoja wa Posta Afrika (PAPU) na Umoja wa Posta Duniani (UPU), Ndugu Isaac Gnamba Yao ametembelea Makao Makuu ya Shirika...
  10. beth

    Rais wa Ivory Coast, Alassane Ouattara, ajitenga

    Rais wa Ivory Coast, Alassane Ouattara amejitenga baada ya kuwa karibu na mtu ambaye aligundulika na Virusi vya Corona. Jina la mtu huyo halijawekwa wazi. Ametoa wito kwa Wananchi kupata Chanjo dhidi ya Ugonjwa huo na kuheshimu Kanuni ambazo zimewekwa ili kupambana nao. Endapo muda wake wa...
  11. Mwamuzi wa Tanzania

    Style mpya ya kutongoza yagundulika huko Ivory Coast. Mwanamke hachomoki

    Video inajieleza hapo chini. Haya madomo zege mshindwe nyie.
  12. Geza Ulole

    Yamoussoukro: Ivory Coast's abandoned Capital

  13. beth

    Ivory Coast: Serikali yawasimamisha wakaguzi wa majaribio ya udereva Nchini nzima

    Serikali ya Ivory Coast imewasimamisha Wakaguzi wote wa majaribio ya kuendesha magari Nchi nzima ikisema inasafisha sekta hiyo Miongoni mwa sababu za uamuzi huo zimetajwa kuwa ni udanganyifu, ufisadi na ongezeko la ajali za barabarani. Kuanzia wiki ijayo, zoezi la majaribio ya udereva...
  14. Webabu

    Ghana na Ivory Coast wapokea chanjo za bure

    Nchi jirani za Afrika ya Magharibi za Ghana na Ivory Coast wiki hii zimepokea mzigo wa chanjo za bure aina ya Covax na kuanza kuwachanja raia zao. Wa mwanzo kuonesha mfano wa kupokea chanjo hizo alikuwa ni raisi Nana Akufo-Addo Ghana. Mara baada ya kuchanjwa raisi hiyo alisema anataka aoneshe...
  15. Offshore Seamen

    "MV PROBO KOALA" meli ya Sumu, iliyoleta maafa Ivory Coast

    MV PROBO KOALA hii ilikuwa ni meli ya kubeba mafuta iliyokuwa imekodiwa na kampuni ya Traffigura yenye makao makuu nchini Singapore. Meli hii ilikuwa na usajili wa nchi ya Panama na kumilikiwa na kampuni ya wagiriki Prime Marine Management Inc. Meli hii ilikuwa imebeba petrol yenye ubora wa...
  16. Miss Zomboko

    Tume ya Uchaguzi ya Ivory Coast imetangaza Alassane Outtara kama mshindi wa Uchaguzi, aliyepata ushindi wa kishindo wa asilimia 94.27 ya kura

    Katika uchaguzi wa rais uliofanyika Cote d'Ivoire siku ya Jumamosi, tume ya uchaguzi ya nchi hiyo ya Afrika Magharibi imemtangaza Rais Alassane Ouattara kuwa mshindi kwa asilimia 94.27 ya kura zote zilizopigwa Tume ya Uchaguzi ya Ivory Coast imetangaza Alassane Outtara kama mshindi wa uchaguzi...
  17. Miss Zomboko

    Ivory Coast: Hofu ya kutokea ghasia yatanda baada ya Upinzani kususia Uchaguzi

    Opposition protesters see Ouattara's bid for a third term as unconstitutional Ivory Coast voted in a presidential election on Saturday with opposition leaders rejecting the ballot after a boycott and pockets of unrest against President Alassane Ouattara's attempt to secure a third term. At...
  18. beth

    Rais wa Zamani wa Ivory Coast, Laurent Gbagbo azuiwa kushiriki Uchaguzi Mkuu ujao

    Rais wa zamani wa Ivory Coast Laurent Gbagbo amezuiwa kugombea urais katika uchaguzi ujao baada ya mahakama kuidhinisha uamuzi wa tume ya uchaguzi. Wakili wake Claude Mentenon amelimbia shirika la habari la AFP amesema kuwa kuna matatizo menginezaidi ya kisheria ndani ya Ivory coast dhidi yake...
  19. Warue

    50% kwa 50% kwenye madini yetu. Tuna cha kujifunza kuondolewa kwa Laurent Gbagbo wa Ivory coast

    Salaam wanaJF. Kwa watu wanaomfahamu Laurent Gbagbo, wengi bado tunakumbuka alivyoondolewa madarakani kwa aibu na nguvu baada ya wapinzani wake kupata support kubwa kutoka ufaransa na washirika wake. Kwa mda kidgo, nimekuwa nikitafakari kilichokuwa nyuma ya nguvu kubwa ile na kwa namna gani...
  20. P

    TANZIA: Waziri Mkuu wa Ivory Coast afariki dunia baada ya kuzimia kwenye kikao

    Waziri Mkuu wa Ivory Coast, Amadou Gon Coulibaly amefariki dunia ghafla baada ya kuzimia, Bw Coulibaly alizimia ghafla wakati akiwa kwenye kikao cha Mawaziri Baada ya kuzimia alichukuliwa ni kukimbizwa Hospitalini ambako baada ya muda alitangazwa kuwa amefariki Bw Coulibaly alikuwa anatarajiwa...
Back
Top Bottom