ivory coast

Ivory Coast, also The Ivory Coast and formally Côte d'Ivoire, officially the Republic of Côte d'Ivoire, is a country located on the south coast of West Africa. Ivory Coast's political capital is Yamoussoukro in the centre of the country, while its economic capital and largest city is the port city of Abidjan. It borders Guinea to the northwest, Liberia to the west, Mali to the northwest, Burkina Faso to the northeast, Ghana to the east, and the Gulf of Guinea (Atlantic Ocean) to the south. The official language of the republic is French, with local indigenous languages also being widely used that include Baoulé, Dioula, Dan, Anyin, and Cebaara Senufo. In total, there are around 78 different languages spoken in Ivory Coast. The country has large populations of Muslims, Christians (primarily Roman Catholics) and various indigenous religions.
Before its colonization by Europeans, Ivory Coast was home to several states, including Gyaaman, the Kong Empire and Baoulé. The area became a protectorate of France in 1843 and was consolidated as a French colony in 1893 amid the European scramble for Africa. It achieved independence in 1960, led by Félix Houphouët-Boigny, who ruled the country until 1993. Relatively stable by regional standards, Ivory Coast established close political and economic ties with its West African neighbors while at the same time maintaining close relations to the West, especially France. Ivory Coast experienced a coup d'état in 1999 and two religiously-grounded civil wars, first between 2002 and 2007 and again during 2010–2011. In 2000, the country adopted a new constitution.Ivory Coast is a republic with strong executive power vested in its president. Through the production of coffee and cocoa, the country was an economic powerhouse in West Africa during the 1960s and 1970s, though it went through an economic crisis in the 1980s, contributing to a period of political and social turmoil. It was not until around 2014 that the gross domestic product again reached the level of its peak in the 1970s. In the 21st century, the Ivorian economy has been largely market-based, and it still relies heavily on agriculture, with smallholder cash-crop production being predominant.

View More On Wikipedia.org
  1. JanguKamaJangu

    Hii hapa ratiba ya Hatua ya 16 Bora ya AFCON 2023 Nchini Ivory Coast

    Baada ya Tanzania kushika nafasi ya mwisho katika Kundi F na kuondolewa kwenye michuano ya Kombe la Mataofa ya Afrika (AFCON2023), ratiba ya Hatua ya 16 imejulikana. Timu ambazo zimeingia hatua hiyo kupitia nafasi ya Mshindi wa Tatu Bora ni Guinea, Namibia, Mauritania na wenyeji Ivory Coast...
  2. GENTAMYCINE

    Ukiwasikiliza Watangazaji wa Vipindi vya Michezo vya Redio na Wachambuzi leo utaamini kuwa Congo DR anakufa huko Ivory Coast

    Na kuna mahala nimemuona Mtetemaji wa Kihistoria kamuomba Mwalimu amuanzishe ili amalize Kazi mapema kwani anamjua vyema Aishi na Beno. Kazi ipo leo nyie Jidanganyeni tu Ok?
  3. balibabambonahi

    Wenyeji wa AFCON, Ivory Coast wamekubali kupigwa na wamepigika, wachapika 4-0

    Tuwaombeetu lakini mwenyeji sijui anapigaje ======== WENYEJI WA AFCON, IVORY COAST WAMEKUBALI KUPIGWA NA WAMEPIGIKA Wenyeji wa Michuano ya Kombe la Mataifa ya Africa 2023 (AFCON), Timu ya #IvoryCoast imeishia Hatua ya Makundi baada ya kukubali kichapo cha magoli 4-0 kutoka kwa Equatorial...
  4. C

    Haya chukueni upesi haya yafuatayo kutoka kambini huko nchini Ivory Coast

    1. Kocha wenu ambaye pia ni dalali ameshafanya kutompanga kabisa mchezaji Kibu Denis katika mechi za Afcon kwakuwa amekataa kuwa wakala wake na hata ikitokea akaanza kumpanga kuanzia mechi ya Zambia na Congo DR itakuwa ni kwa kutuzuga tu ila hatompa dakika 90 bali atampa nusu tu yaani dakika 45...
  5. JanguKamaJangu

    AFCON: Shabiki wa Algeria atimuliwa Ivory Coast

    Sofia Benlemmane Ambaye ni raia wa Algeria amefurushwa toka Ivory Coast (deportation) baada ya kutoa maneno ya kashfa juu ya taifa hilo na wenyeji wake wa Afcon. Sofia alinukuliwa akisema Ivory Coast ni taifa maskini ambalo bado linaishi kama zama za kale na akaongeza kuwa Algeria imeendelea...
  6. Suley2019

    FT: Tanzania 0 - 3 Morocco | AFCON 2024 | San Pedro, Ivory Coast | 17.01.2024

    Tanzania (Taifa Stars) inatarajia kuingia kucheza Mchezo wake wa kwanza wa AFCON dhidi ya Morocco kwenye mji wa San Pedro, Ivory Coast. Mechi hii itachezwa saa 2:00 usiku Timu hizo zipo kwenye kundi F ambpo timu nyingine ni Zambia na DR Congo. Upi utabiri wako wa mechi hiyo? ===========...
  7. jmushi1

    Simba yasajili forward Freddy Michael Kouablan kutoka Ivory Coast

    Simba Confirmed new Sign of Striker. Simba has strengthened its ranks by officially confirming the signing of a talented striker from the Green Eagles. This player has gained recognition for his incredible goal-scoring ability, characterized by powerful shots and good headers. His ability to...
  8. Scars

    Simba yatambulisha mshambuliaji mpya kutoka Ivory Coast Freddy Michael Kouablan

    Ametokea timu ya Green Eagles kwenye ligi ya Zambia. Kwenye mechi 16 kafunga magoli 14
  9. Erythrocyte

    Uzalendo: Tundu Lissu aibuka Ivory Coast kushangilia Taifa Stars

    Huu ndio uzalendo tunaoutaka, Ukitaka kujua mtu ni Mkereketwa wa Timu ya Taifa basi Mwangalie huyu Jamaa. Yaani katumia hela zake binafsi kwenda kuishangilia Timu ya Taifa lake, Uzalendo mtupu.
  10. Lycaon pictus

    Kati ya Ivory Coast na Tanzania ipi imepiga hatua zaidi kimaendeleo?

    Eti wakuu. Nchi ipi imeendelea zaidi. Ywani kiuchumi, kielimu, umeme, afya, elimu nk.
  11. BARD AI

    Ivory Coast vs Guinea Bissau wanaanza leo, Nchi gani itaibuka na Ubingwa wa AFCON mwaka huu?

    Michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) inaanza leo Januari 13 ambapo Wenyeji #IvoryCoast watamenyana na #GuineaBissau kwenye Uwanja wa Alassane Ouattara mjini Abidjan. #Tanzania inayoshiriki Michuano hiyo ikiwa katika Kundi F pamoja na #DRCongo, #Morocco na #Zambia itatupa Karata yake...
  12. GENTAMYCINE

    Zifuatazo ndiyo Timu zangu pendwa ambazo GENTAMYCINE nitazishangilia mno katika AFCON ya 2024 Ivory Coast

    1. Morocco 2. DR Congo 3. Zambia Kwanini? Ni Timu ambazo zinacheza Mpira wa Kuvutia, wa Kisasa na kuna Vipaji vikubwa na Vingi. Pia ni Timu ambazo Makocha wake hawafichi Vikosi vya Wachezaji wao kwa Wananchi ili Visijadiliwe na Visikosolewe na Wadau. Lakini pia ni Timu ambazo hazitumiki na...
  13. Ojuolegbha

    Taifa Stars yatua salama yapokelewa kwa shangwe na mashabiki

    Timu ya Taifa ya Mpira wa Miguu (Taifa Stars) imetua salama alfajiri ya Septemba 9, 2023 katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere ikitokea nchini Algeria kwenye mchezo wa wa kufuzu mashindano ya AFCON 2023 yatakayochezwa mapema mwakani 2024 nchini Ivory Coast. Katika mchezo huo...
  14. KING MIDAS

    Je, mwaka 1993 Simba ilicheza fainali za michuano ipi Afrika na Stella ya Ivory Coast?

    Simba ina historia ya kuchezà mara nyingi robo fainali za mashindano mbalimbali ya CAF. Mwaka 1993 kuna mashindano ambayo Simba ilifika fainali, je yale yalikuwa ni mashindano gani? Kwanini Yanga itajwe kwamba ni nchi ya kwanza Afrika Mashariki kufika hatua ya Nusu fainali ya mashindano ya CAF?
  15. BARD AI

    Kolo Toure raia wa Ivory Coast ateuliwa kuwa kocha Wigan Athletic

    Wigan Athletic wamemteua beki wa zamani wa Ivory Caost, Arsenal na Manchester City, Kolo Toure kuwa meneja wao mpya kwa mkataba wa miaka mitatu na nusu. Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 41 anachukua nafasi ya Leam Richardson baada ya kutimuliwa na klabu hiyo ya Championship mapema mwezi huu...
  16. Lady Whistledown

    Mali yadai fidia ili kuwaachia huru wanajeshi wa Ivory Coast

    Rais wa mpito, Assimi Goita amesema anatazamia suluhu ya kidiplomasia itakayonufaisha pande zote mbili ili kuwaachia huru wanajeshi hao huku akiweka wazi kuwa Ivory Coast imewapa hifadhi wanasiasa wanaotafutwa na utawala wake. Mnamo Julai 10, wanajeshi 49 Ivory Coast walizuiliwa katika uwanja...
  17. BARD AI

    Ivory Coast yaunda simu maalum ya wasiojua kusoma na kuandika

    Simu hiyo mahiri inayofanya kazi kwa sauti inalenga soko kubwa ambalo halizingatiwi kutoka nchi za Kusini mwa Jangwa la Sahara ambako mamilioni ya watu wanakabiliwa na changamoto za kutojua kusoma na kuandika Itatumia mfumo wa uendeshaji unaoitwa "Kone" ambao umeundwa na kampuni ya Cerco...
  18. JanguKamaJangu

    Mali yawaachia Wanajeshi watatu wa Ivory Coast, 46 bado wapo kizuizini

    Wanawake watatu kati ya Wanajeshi 49 raia wa Ivory Coast wameachiwa huru kutoka katika mamlaka za Mali huku wengine wakiendelea kushikiliwa. Wanawake hao wamerejea Ivory Coast ikwa ni wiki 7 tangu waliposhikiliwa. Kundi hilo la Wanajeshi lilishikiliwa tangu Julai 10, 2022 baada ya Mali kudai...
  19. Lady Whistledown

    Mali: Wanajeshi wa Ivory Coast washtakiwa kwa kuharibu Usalama wa Taifa

    Wanajeshi 49 wa Ivory Coast waliokuwa wamezuiliwa kwa zaidi ya mwezi mmoja nchini #Mali baada ya kushutumiwa kuwa mamluki, wamefunguliwa mashtaka ya kujaribu kuharibu usalama wa taifa na kuwekwa rumande. Ivory Coast imekanusha shtaka la shughuli za mamluki na imekuwa ikitoa wito wa kuachiliwa...
  20. MamaSamia2025

    Ile Ivory Coast ya kina Drogba, Kolo Toure, Didier Zokora na wakali wengine ilituhujumu waafrika.

    Wakuu nimetafakari kwa makini na kujiuliza maswali mengi sana ila binafsi nimeona ni hujuma tu hakuna sababu nyingine. Haiwezekani timu iliyokuwa na wakali wote waliokuwa wanavuma kwenye timu zao za Ulaya ishindwe kufanya la maana kwenye world cup au mashindano mengine makubwa. Hii Ivory Coast...
Back
Top Bottom