Djamaa (Arabic: ﺟﺎﻣﻌﺔ) (also written Jama'a) is a town and commune in El Oued Province, Algeria. According to the 2008 census it has a population of 50,916, up from 37,438 in 1998, with an annual growth rate of 3.1%.
Nisiwachoshe sana, kuna binti mmoja nilitokea kumpenda sana, ila yeye hakunipenda alimpenda mshikaji mwingine, lakini kwa sababu nilihofia kumpoteza binti mrembo kama yule niliendelea kubembeleza penzi na kujipa imani kuwa '0ne day atanielewa na atakuwa sababu hata yule mshikaji mwingine alikuwa...
Wakuu
Tukio la kushangaza kutoka Kenya limekuwa gumzo mitandaoni baada ya video ya CCTV kuonyesha mwanamume akifanya kitendo cha aibu ndani ya duka huku akimwangalia mwanamke aliyekuwa dukani hapo.
Jamaa huyo alinaswa akipiga Punyeto, kitendo cha kujiridhisha waziwazi, jambo lililowafanya...
Niliwahi kupokea kejeli miaka kadhaa nyuma baada ya kununua eneo maporini, niliwashirikisha baadhi ya ndugu na marafiki twendeni kuna viwanja vinauzwa na almashauri.
Kejeli zao, nani akaishi mapori, huko wanaishi wanyama, mimi nikajilipua nikasema hii pesa yangu ngoja niiwekeze.
Ni miaka nane...
Ambha anadai kwamba alifanya production lakini hakutoboa akawa ameamua kufunga studio aachane na muziki maana nyimbo zilikuwa hazipigwi na hapati fedha. Sasa akiwa ashaamua kufunga studio, asubuhi kalala kaja yaki anamgongea dirishani anamwita ambha aamke kuwa kaja na faridah anataka wakarekodi...
Wakuu hii nchi ingekuwa na watu kama huyu proton pump aisee nchi ingesonga mbele itoshe kusema huyu jamaa ngoja nimpe maua yake hata kabla hajafa mwisho nakaonekana mnafiki jamaa ana madini sana Aisee hatari kiukweli kupitia yeye 90 percentage ya matatizo yangu yanaenda kupona!
Shukrani Sana...
Poleni na msiba wa kariakoo watanzania wenzangu.
Issue yangu iko hivi. Kuna mwanamke ni rika langu tumekua nae toka utotoni huko kwa kifupi alikua ni my childhood sweetheart, so ktk harakati za maisha tukajikuta tumepotezana.tumekuja kukutana ukubwani tukiwa chuo kikuu tukayaendeleza yale...
Mchoro unaonyesha simulizi ya Kusikitisha ya Jamaa mmoja aliyekuwa anafahamika kwa Jina La John Jones, ambaye alikwama kichwa chini miguu Juu ndani ya pango kwa saa 28 kabla ya kufariki dunia.
Alikwama mahali ambapo hakuweza kutoka alikuwa hawezi kwenda mbele wala kurudi nyuma. Baada ya...
Ni dereva wa malori ya mchanga. Ni takribani siku kumi na moja zimepita tangu kutokewa na hili janga. Kwa mujibu wa maelezo yake, baada ya kutoka kwenye mishe zake moja kwa moja alirejea nyumbani bukheri wa afya.
Usiku wakati yupo kwenye mapumziko na mwenza wake,ndipo tatizo lilipomuanzia. Ni...
TUSIPENDE KUWAHUKUMU WATU TUWANAO WAMEFANIKIWA KAMA HATUJUI KWA NINI WAKO HIVYO KWA NDUGU AU JAMAA ZAO
Wapo watu tunawatazama wamefanikiwa sana katika maisha yao ila ndugu zake wako nyuma sana kimaisha ukamhukumu katika ubaya tu
Yawezekana hata hao wanaolalamika juu ya huyo mtu hata hapo...
Naskia jamaa wa nyuma mwiko wanahamisha makao , haya ndo madhara ya kuwa na fikra za kishirikina , Kila muda unahisi unarogwa tu na kufitiniwa.
Tabia za nyuma mwiko ni kama nyuki, Kila siku wanahama tu.
Viwanja vyote vilivyopo Tanzania hii mpaka muhamie KMC!?. Kama sio choko choko ni nini...
Habari wakuu.
Nilileta andiko hapa la mchizi wangu wa Italy kufuma meseji kwenye simu yake akichati kimahaba na mwanaume mwingine.
Jamaa baada ya kukaa kikao cha familia ili ipatikane suruhu lakini mchizi wangu alishindwa kuvumilia.
Siku ya Leo jumapili amempa TALAKA tatu yaani sio Mke wake...
Mwenge Chacha Ghati, mkazi wa wilayani Tarime akielezea kushangazwa kwake baada ya kukuta jina la mke wake kwenye daftari la wapiga kura wakati amepotea miaka mitatu iliyopita
Pia soma: LGE2024 - Waziri Mchengerwa: Jumla ya wapiga kura milioni 31, 282,331 wamejiandikisha kupiga kura Uchaguzi...
Jamaa poa sana ni mtu ambaye anataka kuwaridhisha sana wengine ili apate kupendwa na watu wasimtenge, lakini je ni sahihi kwa mwanaume kuwa "mtu poa sana"?
Leo acha nikupe kisa cha 'JJ' jamaa poa sana na mke wake 'HH'
JJ alitoa kipande cha karatasi mfukoni mwake na akaanza kukifungua...
Yani Kwanza jamaa unaonekana hela ipo, demu mkali anae, halafu demu mwenyewe bado mdogo Mali mpya kabisaaaaa.
Na demu mwenyewe yupo romantic kuliko mademu wengi Sana hapa nchini
Natamani wanawake wengine mngekua kama huyu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.