Mh. Rais Samia ,
Naamini unafahamu kabisa kuwa, Mwaka 2020 wakati tunampigia kampeni Dr. Magufuli, tulikupigia kampeni na wewe ukiwa mgombea mwenza.
Tuliwaamini nyote wawili kwamba ni watu sahihi kuliongoza Taifa letu.
Sasa wewe ni Rais wetu, hakuna ubishi katika hilo.
Sasa Mh. Rais napata...