jamii forums

  1. Analogia Malenga

    Afrika Kusini: Jamii Forums yasifiwa kufanya kazi kwa weledi

    Mail & Guardian moja kati ya gazeti linalopigania usawa na uhuru wa kujieleza katika nchi za Kiafrika limeandika kuwa Uandishi wa Habari unapoteza maana yake kwa kuwa waandishi wa habari wana Uanaharakati na urazini katika uandishi wao. Wameandika kuwa ni vyombo vichache ambavyo hufanya kazi...
  2. Roving Journalist

    Kamati ya Maudhui ya Mamlaka ya Mawasiliano (TCRA) yatembelea Ofisi za Jamii Forums

    Kamati ya Maudhui ya TCRA ikiongozwa na Makamu Menyekiti wake, Ndugu Joseph Mapunda, imetembelea ofisi za Jamii Forums ikiwa na lengo la kujifunza mambo kadha wa kadha kuhusu Taasisi na kujionea namna huduma inavyotolewa kwa wananchi. Kamati hiyo ilipokelewa na watendaji wa Jamii Forums...
  3. J

    Kuelekea Siku ya Mtoto Njiti Duniani: JamiiForums na Doris Mollel Foundation waingia makubaliano

    Wakubaliana kupaza sauti kutoa elimu kwa umma kuhusu masuala yamhusuyo Mtoto Njiti hususani Changamoto wanazopitia Watoto na wazazi wao. Pia, wanadhamiria kuielimisha Jamii kuhusu namna bora ya kuwalea Watoto Njiti. Kampeni hii imelenga kuifanya jamii iondokane na fikra potofu kuhusu...
  4. Elisha Sarikiel

    Hodi katika jukwaa lililo bora la JamiiForums

    BWANA ASIFIWE ............. ! Najitambulisha kwenu wana JamiiForums kwamba ni mgeni wenu. Natarajia mapokezi na ushirikiano kama mwanajamii mzee lakini kijana katika jukwaa ! Mimi nina mke mmoja mpaka kifo, na nina watoto wa kiume na kike katika familia niliyojaliwa, na Mungu aliyemwumba...
  5. T

    Msaada wenu waungwana wa Jamii Forums

    Heshima yenu wakuu: Mimi ni kijana wa kiume mkazi wa Dar es salaam na katika harakati za kielemu nimefanikiwa kuhitimu kidato cha sita. Pia kupitia marafiki nimefanikiwa kuwa na ujuzi wa kutumia Computer na applications zake mbalimbali ikiwemo namna ya ku install hizo apps na kuzitumia na kwa...
  6. okiwira

    Msaada: Mume wangu asipokunywa pombe, akimaliza kukojoa lazima matone madogo ya damu yatoke

    Ni baba wa watoto 3 tangu ameoa amechepuka mara 4. Kwa sasa ametulia kama miaka 2 bila kuchepuka. Ila kuna tatizo ameliona yeye ni mnywaji wa konyagi na bingwa. Akinywa pombe hizo halioni tatizo hilo ila asipokunywa analiona. Shida ni nini hasa? Asipokunywa siku tatu na kuendelea kila...
  7. Lord denning

    Mkutano Baraza Kuu CHADEMA: Hongera JamiiForums, Hongera Watetezi TV, Hongera Dar Mpya TV- Historia zitawakumbuka

    Amani iwe nanyi wadau! Naomba niende moja kwa moja kwenye mada. Leo Kuna mkutano muhimu wa Chama Kikuu cha Upinzani CHADEMA, ambapo macho na masikio ya watanzania wapenda demokrasia na wapenda maendeleo yapo kwenye mkutano huu wa CHADEMA. Moja ya ajenda kuu kwenye mkutano huu ni kumpitisha...
  8. palahingwe

    Wazo langu! Ingependeza kama zoezi la Sensa lingeambatana na upimwaji wa Virusi vya Corona

    Ningekuwa mwanasiasa au nipo kwenye kiwango cha kusikilizwa na Serikali bila kupingwa kwa asilimia kubwa, basi ningeishauri Serikali kila kipindi cha Sensa kuwe na taratibu za upimaji COVID-19 na maradhi mengine makubwa ya kuambukiza.
  9. Sharobaro la jf

    Hawa ndio wanawake watano ninaowakubali humu JF

    Wakuu poleni na mihangaiko ya hapa na pale. Katika maisha kila mtu anakuwa anakuwa inspired na watu flani either kimtazamo au life style yao inasababisha mtu kuvutiwa nao. Mfano mzuri ni humu JF kuna baadhi ya members wa jinsia ya kike nimetokea kuwakubali na kuwa shabiki wa kutupwa kwao. 5...
  10. Sharobaro la jf

    Siku niliyotongozwa na huyu Msichana wa Instagram (Shabiki wa Harmonize)

    Katika maisha hakuna kitu ambacho uwa kinaleta mshtuko kwa sisi mabaharia kama kutongozwa na demu mkali ambae na wewe ulikuwa unajiandaa kumtokea live, ilikuwa jumapili moja nipo zangu mtandao pendwa wa instagram naperuzi kwenye page ya mmakonde Harmonize Temboo. Sasa nakumbuka Harmonize...
  11. Sharobaro la jf

    Huyu Ex wangu kaniloga

    Wakuu habarnii za miangaiko ya hapa na pale, kiukweli kuna mwanamke tuliachana miezi mitatu imepita ila cha ajabu nashindwa ku move on jamani mda huu kanifanya mtumwa maana nimemuomba turudiane kakubali ila sasa hajawahi kunitumia SMS hadi mimi nimuanze na anajibu kifupi. Najua hanipendi na...
  12. DIDAS TUMAINI

    Mjue Oladee, kichwa kinachotembea akiwa analia bila Passport

    Jina lake halisi anaitwa Oladee kijana mzaliwa wa Nigeria. kwa sasa ni mwanafunzi wa chuo kikuu cha Ilorin kinachopatkana eneo la Kwara nchini Nigeria. Mwaka 2009 Oladee alipata mkasa mkubwa ambapo badae mkasa huo ukamfanya kuwa mtu maarufu sana duniani. Mwaka 2009 alipewa kiasi cha Naira200...
  13. Sharobaro la jf

    Alikiba jitambue bhana

    Habari zenu wakuu, Poleni na miangaiko ya hapa na pale, kiukweli huyu msanii wenu alikiba almaarufu kama kingkiba the real voice siku hizi naona kabisa uwezo wake wa utunzi umeshuka sana, alikiba wa sasa sio yule Alikiba wa 2011 hadi 2015, yule ndio Alikiba niliekuwa namkubari alikuwa...
  14. Sharobaro la jf

    Huu wimbo mpya wa WCB ft Diamond quarantine wamekopi hapa??

    Wakuuu nimeusikiliza wimbo wa wcb ft diamond platnumz unaitwa qurantine, naweza kusema ni kama hawa jamaa wameishiwa sana ukiangalia nyimbo zima wamekopi nigeria yaani hii video kila sehemu ni kopi kopi tu, pia naona kabisa hii nyimbo haitafikisha viewa millioni moja ikitokea naombeni mnipe...
  15. Sharobaro la jf

    Diamond hajui, anakwama hapa tu

    Binafsi mimi sio shabiki wa muziki ila sijatokea kumuelewa huyu msanii Diamond Platnumz kabisa kuanzia staili ya uimbaji wake yaani naona kabisa jina ndio linambeba mda huu. Kiukweli ukimuweka Diamond wa sasa na Mario basi jua kabisa bila jina, Diamond haingii kwa Mario hata mara moja, siku...
  16. Sharobaro la jf

    Je, ananipenda huyu mwanamke?

    Wakuu habari za siku ndugu zangu wanaJamiiForums? Natumahi mu wazima kabisa? wanachuo wenzangu nawakumbusha siku ni chache turudi katika pilika pilika la kusaini boom, Wakuu niende kwenye mada kama kichwa cha habari kinavyosema, kuna mwanamke mmoja ni mwanachuo pia kama mimi, sasa tumekuwa...
  17. Firmino bobby

    Jinsi JamiiForums ilivyobadilisha maisha yangu (Mrejesho)

    Muda mrefu nimekua msomaji tu wa mada zenu nikifuatilia karibu kila post inayowekwa katika mtandao huu, nina circle ndogo sana ya marafiki na watu ninao fahamiana nao kwa muda mrefu sasa hali inayo ni fanya muda mwingi ninao upata niwe nautumia kuwasomeni enyi wakuu wangu, ninavyo vingi vya...
  18. Sharobaro la jf

    Hivi ni sahihi kutoka kimapenzi na huyu binamu yangu?

    Wakuu nauliza tu kama una binamu wa kike mkali sana anaonyesha dalili za kukutaka kimapenzi, ni sahihi kuwa naye kimapenzi hau? Maana kuna binamu yangu hapa kazidi mazoea nataka kuwa naye
  19. Sharobaro la jf

    Vyuo Vikuu kufunguliwa wiki ijayo. Huyu msichana wa UDSM nimeshamkosa

    Wakuu poleeni na miangaiko ya hapa na pale. Leo Mkuu wetu wa Nchi, JPM ametangaza kuanzia wiki ijayo atafungua Vyuo vyote Vikuu kwani anadai ugonjwa wa COVID-19 ushaisha na Tanzania ni salama kabisa🙏🙏🙏, Nije kwenye mada hapa kitaani kuna msichana mmoja namfukuzia ni Mwanachuo pale UDSM...
  20. Sharobaro la jf

    Hivi ni sahihi Mwanaume kumsaidia Mkewe kazi za ndani?

    Hivi ni sahihi mwanaume kumsaidia kazi za ndani mkewe kama kuosha vyombo, kupika na kuogesha watoto?
Back
Top Bottom