jamii forums

  1. Sharobaro la jf

    Leo Harmonize kahojiwa rasmi EATV, amtaja Diamond

    Wakuu atimae Harmonize leo ameamua kumaliza bifu lake na EATV, amepiga stori mbili tatu na Tbway katika kipindi cha Friday Night pia amemtambulisha msanii wake ibrah ambae alikuwa akitambulisha EP yake ya steps. Kilichonifuraisha ni kusikia Harmonize akiisifu WCB. Pia amesema hana ugomvi nao...
  2. Sharobaro la jf

    Nimfanye nini huyu EX wangu?

    Wakuu kuna mwanamke nimeachana naye tuna mwezi sasa na tuliachana kwa kukata mawasiliano tu kutokana na tabia yake aliyokuwa ananifanyia, sasa jana kanitumia sms kuwa amenimiss sana. Naombeni ushauri nifanyaje?
  3. Cytochrome p450

    Hivi watu wanaanzaje kuifananisha Prison Break na Money Heist?

    Hivi unaanzaje kwa mfano!! Yaani Messi umfananishe na Kichuya kweli?! Haiingii akilini! Niseme tu, mimi ni mmoja kati ya watu tulioangalia series hizo zote 2 na sioni kama ubora ama uzuri wa The Heist unaweza kuupita ule wa Prison Break Nilichogundua ni kwamba watu wengi wanaosifia The Heist...
  4. Sharobaro la jf

    Huu ndio ukweli kuhusu wanawake, njooni mpinge

    Wakuu kuna kitu kimekuwa kikinishangaza sana kuhusu mapenzi. Leo nimeamua kidogo niliulize ili swali maana kwangu naliona sio la kawaida. Hivi kwanini mtu ukiwa upo kwenye mahusiano ukimtongoza mwanamke yoyote nje hakatai tena unampata kirahisi tu? ila mfano ukiwa single ukijaribu kumtongoza...
  5. Sharobaro la jf

    Huyu msichana kaniacha ila ana-like picha zangu za Instagram

    Wakuu habari zenu za toka juzi kati? Natumahi mpo poa kabisa Wale wanaondelea kusoma simulizi yangu ya penzi la mfungwa nimeshapost vipande vipya kuanzia sehemu ya 11 hadi 14, ni bonge la simulizi sio poa pita kule kwenye jamvi la Entertainment utaikuta. Nije kwenye mada, kuna demu wangu...
  6. YEHODAYA

    Matangazo ya vifo yatolewe na ndugu na hati ya kifo iambatanishwe wakati wa kuposti JamiiForums

    Tuheshimu vifo vya watu ni ndugu tu waruhusiwe kuleta tangazo jamii forums na liambatanishwe na cheti cha kifo tusianze kuzuliana vifo humu na kukejeli marehemu Uongozi Wa jamii forums zingatieni hill kifo huwa hakitangazwi kiholela tu
  7. Sharobaro la jf

    Huyu jirani yangu wa kike ananipenda

    Habari zenu wakuu poleni kwa miangaiko ya hapa na pale katika kutafuta chochote riziki ili kujikwamua kiuchumi Nije kwenye mada, mimi nipo eneo x sasa ninapoishi nyumba yetu imepakana na nyumba fulani yaani pua na mdomo. Hapo kuna msichana mmoja tulisoma wote shule ya msingi ila baada ya hapo...
  8. Sharobaro la jf

    Huyu mwanamke ananipelekea kuwa chizi

    Wakuu nakiri mapenzi ni kitu kingine ndio maana Mungu aliyaumba mapenzi. Kuna mwanamke ambae ninampenda sana ila tumegombana now wiki ya pili ila kakaa moyoni mwangu. Mimi ndie niliyeamua kumchunia kutokana na tabia zake alizokuwa akinifanyia ila kiukweli mawazo yananitesa muda mwingi nashinda...
  9. Sharobaro la jf

    Wakuu nahisi huyu jamaa ananigongea demu wangu

    Daaah wakuu nahisi huyu jamaa ananigongea demu wangu, inshort nina wiki sina maelewano na demu wangu ambae tunakaa mbali mbali sasa na jamaa angu ambae ni msela yaani tunapatana utadhani sisi ni ndugu wa damu. Juzi kati kampost FB demu wangu akaandika caption ya love is blind Then demu wangu...
  10. Sharobaro la jf

    Hivi haya yalishawahi kukukuta?

    Wakuu, huyu msichana anaonyesha kila dalili kuwa hanipendi lakini nikimwambia tuachane kama vipi hatakii. Nikisema nimsemehe anaendelea na tabia zake zilezile nikisema nimpotezee ananitafuta huku analalamika. Nitumie mbinu ipi kumuacha?
  11. Sharobaro la jf

    Nataka nimuache huyu Mwanamke ila nashindwa

    Wakuu nipo kwenye mahusiano nisiyoyaelewa kwa maana kuna mwanamke nipo nae nampenda sana ila yeye inaonyesha hanipendi lakini nikijitahidi kusema nimkaushie nashindwa. Mwanzoni alikuwa ananipenda sana kweli lakini kadiri siku zinavyozidi ndio upendo umepungua. Yaani wiki nzima mimi ndio...
  12. Sharobaro la jf

    Nipo kwenye haya mahusiano nisiyoyaelewa

    Kiukweli mapenzi yanauma sana jamni acheni tu, kuna mwanamke nipo nae sasa tuna miezi mitatu, tulikutanaga instagram ndipo tukawa tunawasilana hadi baadae tulipoingia kwenye uchumba, bahati nzuri tunakaa mtaa sio mbali mbali, yeye yupo kihonda mimi nipo msamvu na uwa tunakutana mara kwa...
  13. Sharobaro la jf

    Hivi ananipenda kweli huyu demu?

    Wakuu niaje mazee, kuna kademu kamoja ni karfk kangu tu, tumezoeana hata wiki 2 hazijaisha ila kameanza kunionyeshea vitu vya ajabu, kanaweza kunitumia sms ya uck mwema saa6 uck, mara saa12 asubuhi kakanitumia sms ya siku njema mimi nakasoma tu nakatafutia gia, leo nimekajarbu kukaambia...
  14. Sharobaro la jf

    Kisa corona jana nimenyimwa tunda na huyu demu wa kisomali

    Aisee hii corona imetuletea majanga sisi mabaharia, Jana katika harakati zangu za kusaka angalau tunda kwaajili ya kujiburudisha nalo usiku nimejikuta nikilikosa huku sababu za kulikosa tunda ikiwa ni corona, kuna ex wangu wa muda mrefu ambae tumekuwa tukipashana vipolo kipindi cha nyuma sasa...
  15. chama mpangala

    Wagonjwa wa Corona wadaiwa kuvunja geti hospitali ya Amana na kutoroka. Mwananyamala waleta vurugu wakitaka waruhusiwe

    Kuna taarifa zinasambaa ambapo inasemekana wagonjwa wa COVID-19 walikuwa wamelazwa hopitali ya AMANA wamevunja Geti na kutoroka. Inasemekana hii ni kutokana na kutelekezwa bila ya kupatiwa huduma na kutelekezewa maiti hospitalini. Mwenye update kamili atujuze mimi nimepata Clip za Audio...
  16. Sharobaro la jf

    Simulizi ya kusisimua- (penzi la mfungwa)

    PENZI LA MFUNGWA Mtunzi : sharobaro la jf CONTACT : 0765168293 SEHEMU YA KWANZA-01 "Mwizi mwizii mwiziii..", mayowe yalisikika, mayowe amabayo yalisambaa kwa kasi ya ajabu usiku ule, kitendo ambacho kilipelekea wanakijiji waliokuwa wamelala wakaamka ili kumkimbiza mwizi huyo ambaye alionekana...
  17. Sharobaro la jf

    Huyu msichana kaninunia ghafla bila sababu

    Katika kitu ambacho kilikuwa kinaniumiza kichwa kipindi nimeanza mapenzi kipindi hicho nipo Form 3 mwaka 2012 ni kuhusu mapenzi. Zamani nakumbuka nilishawahi kupendana na msichana mmoja tulikuwa tupo mtaa mmoja, sasa kama mnavyojua hawa viumbe wakiona wanapendwa sana basi wataanza kuleta visa...
  18. Sharobaro la jf

    Naombeni msaada wa haraka kuhusu huyu mwanamke

    Poleni na majukumu ya kujenga nchi wakuu, nije kwenye mada kuna mwanamke ninampenda sana ila sasa tumejenga urafiki mkubwa sana na yeye anaamini mimi ni rafiki yake sasa hapa ndio pananichanganya hata kumtongoza maana nawaza atanionaje. Japo nampenda sana ila nimeshindwa kumwambia ya moyoni...
  19. Sharobaro la jf

    Huyu ndie mwanamke wa jf ninaemkubali

    Toka nimejiunga humu ndani nimetokea kumkubari sana, ledada kutokana na misimamo yake, na naweza kusema mimi ni shabiki wake wa kutupwa. Na hauniambii kitu kuhusu ledada wa humu jf, wewe unamkubari dada gni wa humu jf na kwanini unamkubari???
  20. J

    Pascal Mayalla: JamiiForums ndio mtandao bora kwenye utoaji elimu japokuwa wengine waliomba corona ije kupitia hukohuko

    Mwandishi wa habari nguli na mwanasheria Pascal Mayalla amesema mtandao wa JamiiForums ndiyo bora katika utoaji elimu pamoja na kwamba kuna baadhi ya members waliomba Corona ije nchini. Mayalla alikuwa anaongea katika kipindi cha Jicho Letu ndani ya habari kinachorushwa mubashara na Star TV...
Back
Top Bottom