Jana Sena or Jana Sena Party (JSP) (People's Army Party) is an Indian Regional political party based in Andhra Pradesh and Telangana, India. It was founded by Tollywood actor and politician Pawan Kalyan on 14 March 2014. Jana Sena means "People's Army" in Telugu. The motto of the party is "fight for the rights of each and every common person".
Jana Mchana DW SWAHILI katika Kipindi cha meza ya Duara waliwaalika wanasiasa watatu nchini Tanznaia akiwemo John Pambalu Mwenyekiti wa BAVICHA, Steven Wasira Kada wa CCM, na Abdul Nondo Mwenyekiti ngome ya vijana ACT.
Walikuwa wana mjadala kuhusu 4RS za Rais samia kama zinaishi ama zimejifia...
Wadau hamjamboni nyote?
Ndugu zangu Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan alikuwa ziarani nchini Rwanda na sasa amerejea rasmi nyumbani kuendelea kuteketeza majukumu yake ya kila siku!
Aksanteni sana
Katika mchezo wa jana wa ngao ya jamii kati ya Yanga SC na Simba SC wakati timu zote zina wasili uwanjani.
Yanga waliwasili na Wachezaji wa nne pekee kwenye basi lao kubwa na wachezaji wengine na benchi la ufundi waliwasili na costa.
Wanasoka kitaalamu imekaaje hii?
Kuwazungumzia Yanga ni kujipotezea mda wale wao hawashuki na hakuna mtu ana hofu juu ya hilo.
Issue ipo kwa Simba, For real Jana Mtani umeupiga sana japo ilikua tu lazima Ufe na nilisema mi jana kwenye uzi wangu hivi kua Mhindi hua hatoi odd kijinga..ilikua lazima ufe.
ILA MMCHEZAVIZURI..
But...
1.Timu yetu ina wachezaji wazuri na wenye uwezo wa kutuletea mafanikio msimu huu, jana kwangu naona upangaji wa kikosi haukuwa mzuri, kwa mfano Yanga wameonekana wakomavu kwa sababu wanategemea sana kuchezesha viungo kama Simba ile ya akina Yussuph Macho, Shekhan Rashid.
Yanga kama kawaida yao...
Kwa mfumo ambao Mungu ameutengeneza huu ulimwengu, you don't chase for the things that you want, you attract them.
How do u attract them?
By positioning yourself accordingly.
All I want in this life of sin is having good time and having good time only.
Popote ninakapo kwenda ninakwenda...
Mashabiki wa Yanga tunapenda kusapoti timu yenu na wengi jana kuanzia asubuhi walifika uwanjani.
Wengine nyumbani wameacha familia, wengine wameaga wazazi kufanya angalau mtoko.
Wengine walikuwa na watoto, na wengine wameacha watoto nyumbani.
Watu wametoka Kimara, Kibaha, Tegeta, Chanika...
𝗠𝗔𝗗𝗨𝗡𝗗𝗨𝗞𝗔
Just imagine wewe KOLO umelipia App yako halafu admin anakudanganya Waziwazi Dakika ya 71 Chambi anatoka then Dakika ya 88 anafunga😂.
Kweli nimamini maneno ya Mzee wangu Rage.....
NB;#ZAANDANIIIII Kipa wetu Kagoma kutolewa kwenye system kwasababu hakupenda Kuumia,Kawapa sharti moja...
Kutenguliwa ni jambo moja, lakini kutenguliwa ukiwa katikati ya shughuli za nafasi uliyotenguliwa kwayo ni jambo lingine, hiki ndicho kilichomkuta aliyekuwa Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye ambaye si mara yake ya kwanza.
Taarifa ya kuondolewa kwa Nape katika...
Mh, mwamba anapambana sana! Hata akishindwa tunalo la kujifunza nalo ni kutokukata tamaa kwa namna yoyote ile!
US judge in Florida dismisses classified documents case against Trump
A judge in Florida has dismissed the criminal case relating to classified documents that were found at Donald...
Habari wanaJF mim ni mwanafunzi nahitaji kujiunga na diploma mwaka huu,
Ili nifanikishe ndoto zangu nahitaj mkopo wa diploma ili niendele na masomo yangu kwa ufanisi, maana nasikia mwaka Jana walipata mikopo ngazi ya diploma.
Nahitaji kwa wale mlioomba na mkapata mkopo mwaka Jana ,mnipe...
Habari wanaJF mim ni mwanafunzi nahitaji kujiunga na diploma mwaka huu,
Ili nifanikishe ndoto zangu nahitaj mkopo wa diploma ili niendele na masomo yangu kwa ufanisi, maana nasikia mwaka Jana walipata mikopo ngazi ya diploma.
Nahitaji kwa wale mlioomba na mkapata mkopo mwaka Jana ,mnipe...
Ndugu zangu Watanzania,
Naomba kusaidiwa jambo hili .tangia jana muda wa jioni naona kila nikiingia Twitter naona haufunguki wala kufanya chochote kile. Mara ya kwanza nikafikiri labda ni mtandao upo chini lakini nikaona mtandao upo vizuri na una kasi nzuri sana na unafunguka vyema kabisa.
Leo...
Wengi watadhani mpambanaji Mpina kuwa hajui kanuni za bunge ila kitendo cha kuchomokea kwa jamii ilikuwa turufu bora kabisa kwake maana nature ya bunge linavyopakatana na mhimili mmojawapo hatuko salama sana . Kama angesubiri spana za huyu supika angepunguzwa nguvu na tusingejua in first hand...
Ni miwani aina ya Alexander Mcqueen AM0372S-001 ambayo ni custom made with Diamond plated. Bei yake ni Euro 243 ambazo ni sawa na pesa ya madafu Shilingi 688,920/=
Habari!
Kila mtu anaweza kufanya backup ya habari ya saa 20:00 tarehe 31, Mei 2024. Ni habari nambari 2 kama sijakosea.
Nilisikia Makamu wa Rais anawaomba wafanyabishara wapunguze bei ya gesi ili wananchi wengi waweze kumudu.
Kipi kilinipa shock?
Bidhaa ya gesi ni miongoni mwa bidhaa ziko...
Hii ni makala ambayo nitaelezea kidogo yaliyokuepo Jana.
Baada ya shamrashamra za kujiandaa kupokea ubingwa ilibidi lipigwe kabumbu Moja matata sana,, kabumbu ambalo lilianza kwa furaha kedekede.
Lakini kipindi mchezo unaendelea nyuso za wapenda soka walioipenda young African's zilikosa...
Wanaukumbi.
Wiki hii nzima Israeli imeteseka L baada ya L; kidiplomasia, kisiasa na kisheria - na sasa: jana askari wao walitekwa kama POWs, na leo Hamas inaonyesha uwezo wao wa kijeshi haujashushwa, kiasi kwamba wameweza kufyatua risasi huko Tel Aviv.
Nentanyahu na wenzake wanasema wananenda...
Wakuu,
Yule muhandisi ni shemeji yangu kabisa na ana watoto 3.
Yule ni mtu mpole sana na ana hekima kuliko kawaida.
Makonda kusema ana mke mzuri kuliko shemeji yangu, ajue na sisi tuna wake wazuri kuliko mke wake.
Wakati anamlilia Kajala hadi akazidiwa na Harmo mke wake alikua mbaya?
Sasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.