Waandaaji wa tamasha la muziki nchini Uganda la 'Nyege Nyege' wanasema jaribio la bunge la kupiga marufuku tamasha hilo kwa sababu ya wasiwasi kwamba linapotosha maadili limeongeza mauzo ya tiketi.
Tamasha hilo karibu na kingo za Mto Nile limevutia takriban watu elfu kumi na mbili, wengi wao...
Jamaa anaishi maisha magumu sana kama kibaka, anaogopa hadi kivuli chake ndani ya nchi yake pamoja na utajiri wote ule. Anawindwa kuuawa kila siku tena ndani ya nchi yake supapawa ambapo ndiye rais.
Najaribu kuwaza maisha wanayoishi wahudumu wake wakiwemo wapishi, lazima wananyimwa amani sana...
Mwanaume mmoja anashikiliwa baada ya jaribio la kutaka kumuua Makamu wa Rais wa Argentina, Cristina Fernandez de Kirchner alipokuwa akiwasalimia Wananchi nje ya nyumba yake Jijini Buenos Aires.
Mtuhumiwa amenaswa na picha za video zilizokuwa mubashara akiwa na bastola kisha kuielekeza kwa...
Kuna kijana alibambwa akiwa amejifungia chooni na Binti wa miaka 4 au 5 hivi akiwa ametelemsha suruali akijiandaa kumwingilia Binti huyo.
Raia wema walifanikiwa kuufungua mlango wa choo na kumwokoa mtoto kabla hajadhurika. Njemba huyo alipelekwa kituoni na kuwekwa ndani.
Kesho yake aliachiwa...
Ukiuliza watu wanaomiliki leseni za udereva walipata vipi leseni zao, asilimia kubwa watakwambia nilipiga mishe nikapita huku na kule nikapata leseni yangu. Wengi wa madereva hawa wanaomiliki leseni hizi hawajawahi kupata mafunzo rasmi ya udereva, jambo linalochangia kuwa na madereva ambao...
A court in Iran on Thursday ordered the United States government to pay over $4 billion to the families of Iranian nuclear scientists who have been killed in targeted attacks in recent years, state-run media reported.
The largely symbolic ruling underscores the escalating tensions between Iran...
Trump ametuhumiwa kupanga njama ya kuipindua Serikali ya Joe kwa kuchochea maandambano na vurugu zilizzofanyika Jan 6 2021 kwa waandamamji kuvamia jengp la Bunge
FUATILIA HAPA
Trump accused of 'attempted coup' in Capitol riot
Former US President Donald Trump orchestrated last year's Capitol...
Boris Johnson wins a confidence vote by Tory MPs 211 to 148. It means he will stay in his job as prime minister.
The result was announced by chairman of the 1922 Committee Sir Graham Brady
-----
After febrile speculation about the number of Conservative MPs who would vote against Johnson, the...
Russia imefanya jaribio la kombora la nuclear, ambalo Rais wa Nchi hiyo, Vladmir Putin amesema kwamba litawafanya maadui wao kuacha kuwafikiria.
Jaribio hilo limefanyika miezi miwili tangu Russia ilipoivamia Ukraine.
Putin alionekana kwenye televisheni akiambiwa na wakuu wa jeshi kwamba...
Uvamizi wa Ukraine pamoja na maelezo ya rais wa Urusi ni jaribio la kuanzisha ukoloni mpya. Nchi nyingi zinadai Urusi itoke tena katika nchi jirani na kulipia fidia.
Balozi wa Kenya alihotubia Umoja wa Mataifa akilaumu matendo ya Urusi. Tanzania ni kimya. Kwa nini?
Serikali haielewi ni nini...
Kuna tetesi za jeshi kumshikilia Rais na Waziri Mkuu wa Guinea-Bisau katika Mji Mkuu Bissau.
NB: Ni hivi karibuni jeshi liliipindua serikali ya nchi jirani ya Guinea-Conacry na sasa Guinea-Bissau wanajaribu.
===
Watu wawili wanasadikiwa kufariki katika Mji Mkuu wa Guinea-Bissau katika jaribio...
Burkina Faso: Milio mikubwa ya bunduki yarindima kwenye kambi kadhaa za jeshi
Burkina Faso Ouagadougou Unruhen
Milio mizito ya bunduki ilisikika kwenye kambi ya jeshi katika mji mkuu wa Burkina Faso, Ouagadougou mapema leo asubuhi. Huduma za mtandao wa simu zimepungua kasi kuanzia Jumapili...
Namba 1 kipindi cha Lissu- Deportivo la Corunia ilifanya yake
Namba mbili kipindi cha Lissu- Alijawa na huruma akaenda kumsalimia Lissu nairobi Mungu akampa Urais
Katibu Mkuu kiongozi kipindi cha Lissu- Huyu ndo anasimamia shughuli za Tiss nae deportivo la corunia ilifanya yake
Kipilimba na...
Vyombo vya habari vya Zimbabwe vimeripoti kuwa serikali ya Marekani kupitia ubalozi wake nchini humo imewahonga wanahabari wa vyombo binafsi, dola za kimarekani elfu moja ili kuandika makala moja ya kuchafua sura ya kampuni za China nchini Zimbabwe. Juu ya yote hayo, maofisa, vyombo vya habari...
Wakuu,
Bado sijarejea rasmi hapa jamvini ila nipende tu kuwataarifu kuwa nipo na naendelea na majukumu yangu ya kila siku.
Siku kadhaa zilizopita ndipo nilipokutana na msukosuko wa aina yake.
Ilikua siku ya jumapili nikiwa najiandaa kwenda ibadani, nikaona nipitie kwenye moja ya mgahawa...
Rais wa zamani wa mpito wa Bolivia Jeanine Anez amefanya jaribio la kujiua akiwa jela siku moja baada ya kufunguliwa mashtaka ya "mauaji ya halaiki" kutokana na vifo vya waandamanaji vilivyotokea mwaka 2019.
Mmoja ya mawakili wa Anez, Jorge Valda, amesema kiongozi huyo wa zamani ambaye...
Maafisa wa ngazi za juu wa Jeshi na Polisi wamekamatwa Nchini humo wakihusishwa na jaribio la kumuua Rais Andry Rajoelina ambalo lilishindikana. Hadi sasa watu 21 wanachunguzwa
Jaribio dhidi ya Rais Rajoelina ni miongoni mwa matukio yanayoendelea kutikisa Taifa hilo. Madagascar imekuwa Lockdown...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.